Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Ukinipa nafasi kwenye moyo wako naahidi nitahama man u, nitakukopesha ela ya mtaji uanze biashara kikubwa zaidi ya yote naahidi nitakua mume bwege

Ndukiiiii [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Maneno yote yalishasemwa na kuongea, we cha msingi usikolezwe na niseme nakuoenda halafu kesho unifumanie, nikuimbie shairi la mapenzi kisha badae utambue nakusaliti, matendo ni kipimo kizuri, maneno hayanifungi naweza sema hivi jioni nikavunja kiapo.
Ila kweli
 
Nitaaminije?
Mbona mimi hujanijibu? unabagua?
Screenshot_20191025-065132-picsay.jpeg
 
Haya maneno ni mazuri,nina mashaka huenda ni maneno tu bila vitendo
Mm sisemi kitu hapo, kumbuka wahenga walisema usilolijua ni sawa na usiku wa giza vivyohivyo ukitaka kuujua utamu wa ngoma lazima ucheze

Cutelove bila hiyana nakukaribisha ujionee yaliyomo na nina iman yamesheheni.
 
Ukinipa nafasi kwenye moyo wako naahidi nitahama man u, nitakukopesha ela ya mtaji uanze biashara kikubwa zaidi ya yote naahidi nitakua mume bwege

Ndukiiiii [emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha; mi staki mume bwege
 
Nina vijihela vya kutumia siku mbili kwa kila saa 30,000/= Nina imani ombi langu litakubaliwa
 
Mm sisemi kitu hapo, kumbuka wahenga walisema usilolijua ni sawa na usiku wa giza vivyohivyo ukitaka kuujua utamu wa ngoma lazima ucheze

Cutelove bila hiyana nakukaribisha ujionee yaliyomo na nina iman yamesheheni.
Nisipo yakuta je?
 
Nisipo yakuta je?
Hapo n ww sasa utaamua unipokee au la hii ni kwa sababu katika mahusiano kuna uhuru wa kuchagua.

But jua mm kufika na kukuambia haya niliyonena hakika nmekuchagua uwe mtu wangu wa karibu

Na tukifanana tutashare hayo yatakayokua mbele yetu.
 
Back
Top Bottom