Wanichome? Ila 7,800 ulipokea guest pale ubungo ulipotoka mwanza?Nimesema matusi staki,moderator wakupe burn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanichome? Ila 7,800 ulipokea guest pale ubungo ulipotoka mwanza?Nimesema matusi staki,moderator wakupe burn
Kwahyo Umenikubali Au Sio!
Itategemeana na mazingira na mke mwenzangu atakuwaje
Ila kweliManeno yote yalishasemwa na kuongea, we cha msingi usikolezwe na niseme nakuoenda halafu kesho unifumanie, nikuimbie shairi la mapenzi kisha badae utambue nakusaliti, matendo ni kipimo kizuri, maneno hayanifungi naweza sema hivi jioni nikavunja kiapo.
Mbona mimi hujanijibu? unabagua?Nitaaminije?
Twende chumbani utakifahamuKipi hicho
Hahaha nilicheka Sana alivokuuliza,[emoji23] dada ako yule anakujali sanaHahaaaaaaaa hilo ni neno la aibu mwanaume kulizungumza..acha tu
Mm sisemi kitu hapo, kumbuka wahenga walisema usilolijua ni sawa na usiku wa giza vivyohivyo ukitaka kuujua utamu wa ngoma lazima uchezeHaya maneno ni mazuri,nina mashaka huenda ni maneno tu bila vitendo
Nisipo yakuta je?Mm sisemi kitu hapo, kumbuka wahenga walisema usilolijua ni sawa na usiku wa giza vivyohivyo ukitaka kuujua utamu wa ngoma lazima ucheze
Cutelove bila hiyana nakukaribisha ujionee yaliyomo na nina iman yamesheheni.
Haujaacha tuu mambo ya chura?Chura ipo?
Hapo n ww sasa utaamua unipokee au la hii ni kwa sababu katika mahusiano kuna uhuru wa kuchagua.Nisipo yakuta je?