Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Usije PM, rusha mistari yako hapa nikufuate mwenyewe PM

Najivunia kuwa domo zege....huku hapanihusu🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️
 
nakupenda cutelove najua ni vigumu kunielewa na sitaki kuamini kama una mtu au la but moyo wangu unateseka kwa ajili yako.....natamani hata nifungue moyo wangu nikuoneshe ni jinsi gani nina hisia na ww naomba nafasi katika moyo wako natumaini nitakupenda na kukujali zaidi na kukufanya mwenye furaha......
Na naomba unisameehhe sana kama nitakuwa nakupa mawazo naweza nisiwe handsome machoni Pako lakini ni handsome wa moyoni, lakini katika mapenzi upendo na kuheshimu hisia za mtu ni zakuzingatia sana!!
nisikuchoshe sana natumaini utanifikiria na I hope u will understand my fellings kwako!!

love u so much!! [emoji8][emoji8]
 
Usiku Silali Nakuwaza Wewe.

Nikinywa Maji Nakuona Kwenye Grass.

Nakupenda Kuliko Nyumba Ninayo Lala.

Naomba Tupendane Kama Chupi Na Matako.

Sili Nikashiba Kwa Sababu Yako.

Ukinikubali Nipo Tayari Kuuza Nyumba Ya Family Pesa Zote Nikupe Wewe.

Vipi Umenikubali!!

[emoji23][emoji23][emoji23] kimasihara unaweza kupata demu kupitia mistari hii hii ujue
 
Wewe ndo yule jamaa mmoja alikukimbia akakuachia 7800 baada ya kuona upo tofauti na matarajio yake?
 
Daaah mi sijui kutongoza ila kuna wananchi ni wazembee aisee [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Dah mkuu, hizi swaga zako unaweza kuta ukajitwalia kimwana hivi hivi kirahisi kabisa. Ngoja nikopi mahali kwa matumizi ya baadae
nakupenda cutelove najua ni vigumu kunielewa na sitaki kuamini kama una mtu au la but moyo wangu unateseka kwa ajili yako.....natamani hata nifungue moyo wangu nikuoneshe ni jinsi gani nina hisia na ww naomba nafasi katika moyo wako natumaini nitakupenda na kukujali zaidi na kukufanya mwenye furaha......
Na naomba unisameehhe sana kama nitakuwa nakupa mawazo naweza nisiwe handsome machoni Pako lakini ni handsome wa moyoni, lakini katika mapenzi upendo na kuheshimu hisia za mtu ni zakuzingatia sana!!
nisikuchoshe sana natumaini utanifikiria na I hope u will understand my fellings kwako!!

love u so much!! [emoji8][emoji8]
 
Au kisa siripuki, daily mitumba midosho/
Ukiniona huzuzuki, sana sana unaona michosho/
Bring bring sinyuki/ sina mvuto sitoki smart/
Mrefu sio mfupi/ bora ningekua saizi ya kati/
Au sikuvutii ndio maana hunipi uthamani/
Kioja ndani ya jamii na kwanza hatulingani/
Pia hujiskii kua na kapuku kama Mimi/
Ambaye mswaki situmii sina hadhi ya kukunyonya ndimi/
Hahaha daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, nilitumiaga hizi verse za Nikki mbishi enzi hizo nipo 4m3
 
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Unaweza shuka vina kumbe ni mwanafunzi wakidato cha pili



Shaaabaaaaaaashiiiiiiiiiii
 
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Mimi siwezi kukuahidi saana mambo mengi ila nachojua ntakupa mapenz ya dhatii na maisha pia na ninaamini utafurahi pia kama ijumaa hii ukiweza tunaweza kupata dinner wote ili kufahamiana zaidi.Nnipo Mwanza maeneo ya capri point ndo ninapoishi.Karibu
 
Diamond autolink mida ya dinner
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao

Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM

I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
 
"Kwakweri mmama mzuri mzuri kama wewe unanifanya moyo wangu uende mbio kama speed ya mbuni ......"

"Natamani nikuhonge wiraya maana kuna mavyeoo meeengi kama serekali ya Magu"

Usitake nikaandika nikupendavyo kwa machozi na damu huku nikitweta kwa kila pigo la moyo nipumuapo

Niroge Kabisa nikupende, nmekuruhusu hata ukitaka kwenda kwa mganga nakupeleka

ATM yangu unakaa nayo wewe hata mama akiniomba chochote, nitaomba ruhusa kwako.
;
 
Back
Top Bottom