H sanny
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 245
- 298
Naunga mkono hojakweli K zimekosa soko ad imeamua kwenda kwa wanunuzi.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojakweli K zimekosa soko ad imeamua kwenda kwa wanunuzi.!
Usiku Silali Nakuwaza Wewe.
Nikinywa Maji Nakuona Kwenye Grass.
Nakupenda Kuliko Nyumba Ninayo Lala.
Naomba Tupendane Kama Chupi Na Matako.
Sili Nikashiba Kwa Sababu Yako.
Ukinikubali Nipo Tayari Kuuza Nyumba Ya Family Pesa Zote Nikupe Wewe.
Vipi Umenikubali!!
Cc MAGALLAH RTena akamsimulia na jamaa kuwa babu yake anamtaka arithi mkoba wa uganga!
Eti mamie cutelove vp kuhusu mkoba wa babu.
[emoji3][emoji3][emoji3] hii mbinu yako nimeipenda zaidi mkuu."Cuteluve mambo??".."Nimepotea,naomba unielekeze njia ya kuingia ndani ya moyo wako"...
nakupenda cutelove najua ni vigumu kunielewa na sitaki kuamini kama una mtu au la but moyo wangu unateseka kwa ajili yako.....natamani hata nifungue moyo wangu nikuoneshe ni jinsi gani nina hisia na ww naomba nafasi katika moyo wako natumaini nitakupenda na kukujali zaidi na kukufanya mwenye furaha......
Na naomba unisameehhe sana kama nitakuwa nakupa mawazo naweza nisiwe handsome machoni Pako lakini ni handsome wa moyoni, lakini katika mapenzi upendo na kuheshimu hisia za mtu ni zakuzingatia sana!!
nisikuchoshe sana natumaini utanifikiria na I hope u will understand my fellings kwako!!
love u so much!! [emoji8][emoji8]
Samahani, Wewe ni Da Vinc kwa I'd nyingine?Mimi sio bora sana ila nakuahidi kukupenda na Kukujali kwa moyo wangu wote..
Hiko tu ndio cha thamani nilichonacho ninachoweza kukupatia
Hahaha daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, nilitumiaga hizi verse za Nikki mbishi enzi hizo nipo 4m3Au kisa siripuki, daily mitumba midosho/
Ukiniona huzuzuki, sana sana unaona michosho/
Bring bring sinyuki/ sina mvuto sitoki smart/
Mrefu sio mfupi/ bora ningekua saizi ya kati/
Au sikuvutii ndio maana hunipi uthamani/
Kioja ndani ya jamii na kwanza hatulingani/
Pia hujiskii kua na kapuku kama Mimi/
Ambaye mswaki situmii sina hadhi ya kukunyonya ndimi/
Unaweza shuka vina kumbe ni mwanafunzi wakidato cha piliJamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao
Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM
I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Mimi siwezi kukuahidi saana mambo mengi ila nachojua ntakupa mapenz ya dhatii na maisha pia na ninaamini utafurahi pia kama ijumaa hii ukiweza tunaweza kupata dinner wote ili kufahamiana zaidi.Nnipo Mwanza maeneo ya capri point ndo ninapoishi.KaribuJamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao
Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM
I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto
Jamani pale pm nimekuta request zaidi ya 50 wakiomba nichati nao
Naomba muweke vina na mizani hapa a.k.a mistari yenu,maneno yatakayoshika moyo wangu,nataku-quote kukutaarifu kukufuata PM
I'm serious, kwa wale wa matani na matusi wapite kushoto