mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
- Thread starter
- #41
Tuna mfikishieni ajie kwa kweli , baadhi yao nilisikia kawafukuza akawarudisha kwanza waanza kumsema yeye vibaya halafu wanahamia kwa waumini yaani wale wanakusema unahisi kila mtu anajua mambo yako kiasi kwamba unatembea unaona kila mtu anakung'ong'a .... aaah I CANT THEM KWA KWELIWanaojiita wanamaombi hawajui hata wanamwomba nani.
Ila pole, kanisani siyo mahali salama tena.
Vile umesema ngoja wampelekee Matsai ajue kundi lake lilivyo.
Ndo maana serikali inawaweka watu wake hapo mzena ukianza kuzidiwa na nusu kaputi ukaropoka wanayajua wao .