Usije Ulaya

Tunaenda yaani unatupangia kisa we umeenda bila mipango ?
Nampango wa kwenda kuanzisha ka bustani cha mboga mboga pale new York ...najua nikipanda tembele na sukuma week zitakubali mno maana ardhi ya new York ni kichanga
 
Kaka we acha tu, nina kaka yangu toka mwaka2001 yuko UK na ni doctor ila hataki kabisa kuskia nasisi tunataka tufike huko kuangalia fulsa
 
Kaka we acha tu, nina kaka yangu toka mwaka2001 yuko UK na ni doctor ila hataki kabisa kuskia nasisi tunataka tufike huko kuangalia fulsa
Mkuu ndivyo walivyo sijui anaona atapoteza attention kwa family ndugu na jamaa ndio thinking yao mm aunt yupo sweeden huko hata wadg zake ajawai hata kuwaalika huko sema hii tabia ni za hasa wanyakyusa mkuu
 
Kaka we acha tu, nina kaka yangu toka mwaka2001 yuko UK na ni doctor ila hataki kabisa kuskia nasisi tunataka tufike huko kuangalia fulsa
Mkuu Kuna watu roho zao ziko hivyo ila kama unampango wa kwenda pambana mwenyewe Kuna jamaa ata miaka miwili aijafika ndugu zake wawili ameshawavuta mambele.
 
Mkuu ndivyo walivyo sijui anaona atapoteza attention kwa family ndugu na jamaa ndio thinking yao mm aunt yupo sweeden huko hata wadg zake ajawai hata kuwaalika huko sema hii tabia ni za hasa wanyakyusa mkuu
Loli gwandile amahelu..Abhanyakyusa tukani ndumbula nyaliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ujo nsafwa..
 
ebana mbona ni kama tupo wote hapa kwa mtogole
 
Endelea kutupa nondo tupo tunaoziokota huku moja moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…