Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 919
- 1,192
Nadhani hukunielewa.... Sijasema kuwa kununua simu cash na kununua kw mkopo bei ni sawa...... Soma vizuri unielewe kabla hujanihukumuUmedanganya bei ya kununua simu kwa mkopo na kwa cash ni vitu viwili tofauti
Ndio maana nawaelewa sana wale wanaocheza ile michezo ya kuchanga kila siku 1000, 2000 au zaidi. Siku ukija chukua Hela Yako unafanyia kitu cha maana.Kama hiyo gharama ni kubwa mno jaribu kasave Tsh 2000 mpaka ifike laki nne ununue cash.
Kabisa mkuuNdio maana nawaelewa sana wale wanaocheza ile michezo ya kuchanga kila siku 1000, 2000 au zaidi. Siku ukija chukua Hela Yako unafanyia kitu cha maana.
Kwani taasisi zinazolalamikiwa Kwa riba kandamizi, ni Kwa nini zinalalamikiwa!? Zinaonewa wivu!?Unajua ni kwanini? Huwa hatupigi hesabu ya faida tunayopata tunaangalia anachopata mwingine na kama ni kikubwa bora biashara ife au malalamiko yanaanza.
Mtu anaweza jenga nyumba kwa thamani ya m10, akasema anaiuza m15. Huyu ataridhika kabisa na hiyo m15 ikipatikana ila dalali atakapoleta mteja wa m35 na kumwambia achukue 15 zake nyingine azitoe biashara inaweza kufa. Sababu ni hajaangalia tena 15, ameangalia anayopata mwingine.
Mfano hapa, mtu analalamika gharama ya laki tatu kwa mwaka ni kubwa mno ila hapigi mahesabu hiyo laki nne anayokaa nayo inaweza kuzalisha kiasi gani ili apime kama laki tatu ni kubwa au ndogo, yeye kaangalia tu hiyo laki tatu.
Jiulize huo ukubwa wa laki tatu unaolalamikiwa umepimwa vipi?
Hujachukua kwa majaribio. Ulichukua kwa nia kwani hukuwa na pesa. Hakuna unyonyajo, lazima ufanye kwa kulingana na makubaliano yenu. Lipa pesa hakuna ujanja ujanja hapo.Nilichukuwa kwa majaribio ila sasa najuta, ni unyonyaji wa kiwango cha juu!
Ni wajibu wa mteja kukopa katika taasisi isiyo na riba kandamizi kwake. Inashangaza sana kupigia kelele riba ya mkopo ambao uliijua kabla na taasisi zenye riba ndogo zipo.Kwani taasisi zinazolalamikiwa Kwa riba kandamizi, ni Kwa nini zinalalamikiwa!? Zinaonewa wivu!?
NINAUZA SIMU YA SAMSUNG GALAXY A14 0756294771utaratibu wa kukopa ukoje nijilipue naona mambo yangu hayajakaa poa na ninataka A14 SAMSUNG. mwenye ABC please
Ya mkopo hiyo unataka umchomeke.NINAUZA SIMU YA SAMSUNG GALAXY A14 0756294771
Watu wanadhani ni rahisi kumpa mtu bidhaa then wew uwe unakusanya elf mbili mbili kila siku,Kama hiyo gharama ni kubwa mno jaribu kasave Tsh 2000 mpaka ifike laki nne ununue cash.
Tupe pichaNINAUZA SIMU YA SAMSUNG GALAXY A14 0756294771
Njoo inbox mkuuleta tuitoe hiyo lock chap 50 tu
Mikopo huwa ni dozi ya adabu kwa watu wasio na adabu ya pesa. Huwezi kuta mtu mwenye discipline ya pesa anahangaika na mikopo kuendesha maisha yake. Labda iwe dharula kweli kweli.Mikopo ya aina nyingi huwa haiko fair
Sio simu tu