Usijichanganye ukachukua “Simu za mkopo”

Usijichanganye ukachukua “Simu za mkopo”

yes unakuwa umepigwa sana. nadhani ndivyo mikpo iliyo. hata seriklini, mabenki yanatoza riba kubwa miaka 9. Weziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kukopa sio laana, ni worldwide trend hiyo, nduo maana hata nchi matajiri zinakopa tu. Miaka ya nyuma niliishi sehemu ambayo simu ilikuwa inakopeshwa hivi hivi, sisi tunaiga tu.

Hapa nataka nikakope pikipiki yangu(japo naogopa kufa na hizi ajali, kibajaj kinanifilisi🤣), kwa nini nichukue 3.5m kununua cash wakati nina option ya kulipa 400k na nyingine nikawa nalipa kidogo kidogo. Ni trend ya dunia sio umasikini.
Tatizo sio kukopa. Tatizo ni kukopa sehemu ambayo hata riba yake inashangaza, unakopa ili Nini Hilo nalo ni swali
 
Vijana wengi bado vichwani mwao kufikiri ni kazi kubwa.Unakuta kijana Hana kazi,au anaishi na wazazi anaenda kopa Simu ili aitumie kuingia FB na Instagram kuangalia TU wasanii.Haimuingizii chochote simu hiyo ukumbuke na Bado hapo hajanunua bando.Ukijumlisha gharama za bando na marejesho ya mkopo pengine ange amua ku save mwisho wa mwaka ana mtaji wa biashara ndogo.
 
mkuu wewe ulichukua aina gani? Maana kuna watu nawafahamu waliochukua za mkopo huwa wanapewa MB kama ifuatavyo;
1. samsung A04 - Anapata MB 100 kila akilipa deni la TZS 1000 (tigo)
2. Samsung A04S - anachukua MB 200 kila akilipa mkopo (tigo).
3. Samsung A04e anapata GB 1.5 kila akilipa mkopo wa TZS 8100. Huyu malipo yake anafanya kwa wiki, hizo GB anapewa za kutumia kwa siku 3. Mtandao ni airtel.
Utaratibu wa kukopa ni upi nami nikope?? natakiwa niende na nini ofisini kwao??
 
Tatizo sio kukopa. Tatizo ni kukopa sehemu ambayo hata riba yake inashangaza, unakopa ili Nini Hilo nalo ni swali
Unataka long term mkopo uwe na riba ya asilimia ngapi mkuu? Yaani ukope simu kwa mwaka mzima ulipe riba kiasi gani? Simu inauzwa cash 400k, wewe umepewa option ya kulipa 2k per day kwa mwaka mzima, weka risk factors in place, ulitaka ulipe 0.5k per day?(yaani 500 x 30 x 12 = 180,000?) QUOTE ulitakaje?
 
Naomba utaratibu wa kukopa hizo simu nami nikope, natakiwa niwe na vitu gani kama viambatanisho?
Nenda duka la voda na nida tu then kesho unarudi na sumsung Galax. Tigo unatakiwa uende ns mdhamini mmoja
 
Tanzania hakuna anaedhibiti wizi kila mtu anaamua cha kufanya wengine sijui Songesha wanawakopesha watu kwa riba kubwa mno ila BOT wapo kimya kama vile hilo sio swala lao...hapo kwenye simu TBS na BOT wanahusika watu wanakopeshwa simu za hovyo hovyo kweli aisee na Serikali ipo kimya...
 
mkuu wewe ulichukua aina gani? Maana kuna watu nawafahamu waliochukua za mkopo huwa wanapewa MB kama ifuatavyo;
1. samsung A04 - Anapata MB 100 kila akilipa deni la TZS 1000 (tigo)
2. Samsung A04S - anachukua MB 200 kila akilipa mkopo (tigo).
3. Samsung A04e anapata GB 1.5 kila akilipa mkopo wa TZS 8100. Huyu malipo yake anafanya kwa wiki, hizo GB anapewa za kutumia kwa siku 3. Mtandao ni airtel.
8100 *4*12=388800 hiyo.simu ni laki tatu..so ukiweka na data ni mule mule
 
Tanzania hakuna anaedhibiti wizi kila mtu anaamua cha kufanya wengine sijui Songesha wanawakopesha watu kwa riba kubwa mno ila BOT wapo kimya kama vile hilo sio swala lao...hapo kwenye simu TBS na BOT wanahusika watu wanakopeshwa simu za hovyo hovyo kweli aisee na Serikali ipo kimya...
TBS wameanza kukopesha lini?
 
Hawa jamaa sio wazuri sumsung A03 sijui A14 hahaha et kwa siku 2000 kuanzio 50k.

Kwa mwaka inakuja kama laki 7 na elf 70.

No huu ni unyonyaji.
. Mbona zinatolewa hiyo lock mkuu, alafu maisha yanaendelea kama kawaida...

. Ongea na mafundi vizuri...

. Baada ya hapo unaenda ku report kuwa simu nimeibiwa.
 
Back
Top Bottom