mkakaflani
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 702
- 2,716
Ni bora mkopo kuliko cashKama hiyo gharama ni kubwa mno jaribu kasave Tsh 2000 mpaka ifike laki nne ununue cash.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora mkopo kuliko cashKama hiyo gharama ni kubwa mno jaribu kasave Tsh 2000 mpaka ifike laki nne ununue cash.
Ni bora mkopo kuliko cash, maana kuna wengine kuzihesabu cash hua zinatuuma Sana.
Kuna jamaa angu alichukua mkopo wa simu akatanguliza 250k, na akatakiwa awe analipa 113,300/= per month ndani ya miezi3. Now kamaliza deni mpk anahisi kawapunja jamaa
Kampuni ya simu au inayotoa mkopo?Kampuni gani
Binafsi nmewapa watu wangu wa karibu wote simu za kueleweka ila kutoa cash inauma,bora hii kidogo kidogo kama baridi baridiNi bora mkopo kuliko cash, maana kuna wengine kuzihesabu cash hua zinatuuma Sana.
Kuna jamaa angu alichukua mkopo wa simu akatanguliza 250k, na akatakiwa awe analipa 113,300/= per month ndani ya miezi3. Now kamaliza deni mpk anahisi kawapunja jamaa
Vipi ukitoa spare parts kisha ukaziuza?Mpya au kesh? Ni laki 4.ukijaribu kutorosha unatrakiwa na kitengo cha cyber crime.. Kwanza picha linanzia baada ya siku ya 3 ya kushindwa kulipia ile 2000 simu inzimwa then tracking inanza
Sasa muuza mahindi c ununue tu kiswaswadu then uendeshe hiyo choma mahindi mpaka upate smartphone?. Najiuliza kuna ulazima wa kukopa hiyo smartphone? Hiyo smartphone Kwa wakati husila inafaida Gani zaidi ya kuperuzi umbea.Hakuna ujinga wowote iwapo hiyo laki nne itatengeneza zaidi ya laki tatu ambayo ungewapa wauza simu ndani ya mwaka mzima.
Mfano: Kama mm ni muuza mahindi na nina laki nne nitaopt kuiingiza hiyo laki nne kwenye mtaji wa mahindi iwapo hiyo laki nne itanipa faida zaidi ya laki tatu kwa mwaka mzima. Yaani hiyo laki nne ikinipa zaidi ya TSH 900 kwa siku tu kama faida sinunui simu cash naikopa.
Kwani mumelazimishwa kukopa?Hawa jamaa sio wazuri sumsung A03 sijui A14 hahaha et kwa siku 2000 kuanzio 50k.
Kwa mwaka inakuja kama laki 7 na elf 70.
No huu ni unyonyaji.
Badala ya shilingi ngapi bila mkopoKwa mwaka inakuja kama laki 7 na elf 70.
Unaenda na loss report from polisi, then unapewa nyingineInakuwa vipi hiyo simu ikipotea kabla hujamaliza deni!??
400kbadala ya shilingi ngapi bila mkopo
Mkuu wewe ulichukua aina gani? Maana kuna watu nawafahamu waliochukua za mkopo huwa wanapewa MB kama ifuatavyo;Ngoja nikuonyeshe na mm natumia simu ya mkopo kutoka tigo
Kukopa sio laana, ni worldwide trend hiyo, nduo maana hata nchi matajiri zinakopa tu. Miaka ya nyuma niliishi sehemu ambayo simu ilikuwa inakopeshwa hivi hivi, sisi tunaiga tu.Hamna kitu kibaya na laana kama umasikini. Umasikini ni kitu kibaya Sana, yaana matajiri wanawaza watamnyonyaje masikini licha ya umasikini wake