Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Utapata hata huo muda wa kumueleza msichana wako Dar kama haujaridhika?Wasichana Dar wapo too bize bana
Si kweli
Utapata hata huo muda wa kumueleza msichana wako Dar kama haujaridhika?Wasichana Dar wapo too bize bana
Mara nyingi uhusiano wa kimapenzi kwa watu wengi unafikia kikomo, kutokana na kutoelezana ukweli.
Haya mambo ya kuficha kama umeridhika katika kugegedana, ndio watu hutafuta majenereta ya kuwatosheleza.
Usione aibu shughuli haikuwa kiwango mwambie ili ajue alikosea wapi, asirudie tena.
Hii iwe kwa mwanaume ama mwanamke, kaeni mjadili mwenzako anapenda nini na huwa hapendi nini. Kuna vitu utajipinda kufanya kumbe mwenzako anaona karaha tu, ila mngekuwa mmeyaongea ukajua hapendi usingemfanyia. Ungefanya yale anayopenda na mkaridhishana, mapenzi ni sanaa so kila mara ni kuendelea kujifunza.
Dada Heaven on Earth ninayosema mm yamenikuta kwa wasichana 3 tofauti!
Tena wote simu zao tu zikiita hao wamevaa tukamba twao wanaaga pasipo hata ku discuss game ilikuaje ahahahahaah!Basi mm nika conclude kuwa likely wengi wao wapo hivyo
Nina wasiwasi labda walikuwa watoto wa shule
...Tangu wanawake walipojua kufikishwa...aaaaah!!!
Dada Heaven on Earth ninayosema mm yamenikuta kwa wasichana 3 tofauti!
Tena wote simu zao tu zikiita hao wamevaa tukamba twao wanaaga pasipo hata ku discuss game ilikuaje ahahahahaah!Basi mm nika conclude kuwa likely wengi wao wapo hivyo
haha hao noumer au wanapiga mechi za michangani nini............
Naomba ntambue eneo ulipo dada'ngu nkuletee huyu mwanamke'ngu koz kila nkimweleza haya huwa ananambia "unataka nikajifunze nje ya nyumba?"labda wewe utansaidia kumwambia axee Maana mi hanielewi na nampenda sana..
haha hao noumer au wanapiga mechi za michangani nini............
...Tangu wanawake walipojua kufikishwa...aaaaah!!!
Ni sahihi ila kuwa mwangalifu ni namna gani nzuri ya kumwambia sio unakurupuka na kusababisha mwenzio kukata tamaa kwa sababu pengine hapo alipofikia kwa upande wake alijitutumua sana, sasa we ukimwambia hajaridhika atakuona unamdharau.
Naomba ntambue eneo ulipo dada'ngu nkuletee huyu mwanamke'ngu koz kila nkimweleza haya huwa ananambia "unataka nikajifunze nje ya nyumba?"labda wewe utansaidia kumwambia axee Maana mi hanielewi na nampenda sana..