ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
kila siku na ahadi zako....tukifika kilele cha Kibo mie basi nitakua nimeridhika
Mie hupendelea kukufikia mawenzi, lol..
ila nasikia ati tiwasikilize wenzetu wanataka kupitia wapi hadi wafike huko. Ile ahadi yangu bado ninayo, nitakuja...nipe physical and postal address yako nisijepotea.