Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Freedom of speech!!!...Tangu wanawake walipojua kufikishwa...aaaaah!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Freedom of speech!!!...Tangu wanawake walipojua kufikishwa...aaaaah!!!
Eti eeh hakuna kuremba wala nini hahahahaaa.
Kumbe eh!!Freedom of speech!!!
Kuna watu huw ni ma "mr right" wanajiona kila kitu wapo sawa
mtu wa hivi umwambie wa kazi gani? Ni kumuacha tu ili aendelee kuachwa kila siku....
bora mie mechi zangu nachezea viwanja vya nyasi bandia na zote huwa ni michepuko tu
sawa kungwi ukianza kutoa mafunzo kwa vitendo unijulishe nije na kamera yangu mimi nitakuwa mtazamaji tu
Kwa kweli mheshimiwa sungura nakutaka radhi na naahidi kutokurudia tena kitendo changu kiovu cha kuwaita wakufunzi wanafunzi wenzangu hakika naamini ntafanya vizuri na ntajituma kwa dhati katika kipindi chote niwapo mafunzoni.... Bantu wakike nakutaka radhi pia...
Weng waoga hasa wanawake
Matokeo ya mechi yanajadiliwa uwanjani sio barabarani
Mi nimeshakusamehe kabisa, uje tu na my wii.
Ukitaka ufaidi ufanye hili
Kila mnapotaka kumegana mmoja awe staring na mwingine awe anafuata maelekezo yastaring tu ili siku hiyo staring afaidi
Siku nyingine staring awe mwingine yaani wewe kama siyo staring ni kufanya kila atakalo staring ili apate utamu zaidi
Yaaani utafurahia hutatamani kutoka nje ya mgegedo huo .
kipaumbele changu cha kwanza ni kuhakikisha mupenzi wangu ameridhika...
wanawake wagumu sana kusema yaha masuala sometimes kidume inabidi ujiongeze tu...
Hahahahaaa naja axeeeee mpango mzima mama Bantu
Mara nyingi uhusiano wa kimapenzi kwa watu wengi unafikia kikomo, kutokana na kutoelezana ukweli.
Haya mambo ya kuficha kama umeridhika katika kugegedana, ndio watu hutafuta majenereta ya kuwatosheleza.
Usione aibu shughuli haikuwa kiwango mwambie ili ajue alikosea wapi, asirudie tena.
Hii iwe kwa mwanaume ama mwanamke, kaeni mjadili mwenzako anapenda nini na huwa hapendi nini.
Kuna vitu utajipinda kufanya kumbe mwenzako anaona karaha tu, ila mngekuwa mmeyaongea ukajua hapendi usingemfanyia.
Ungefanya yale anayopenda na mkaridhishana, mapenzi ni sanaa so kila mara ni kuendelea kujifunza.
wengine ukiwaambia wanasema mie siwezi fanya hivyo...loh sasa bora utulizane tuu. hakupi katafute kwengine
Urizishwe ili iweje ? Hebu rizika mwenyewe bana. Teh teh teh...