Usijifiche kama hujaridhika mweleze mpenzi wako "awajibike"

Usijifiche kama hujaridhika mweleze mpenzi wako "awajibike"

Kuna watu huw ni ma "mr right" wanajiona kila kitu wapo sawa
mtu wa hivi umwambie wa kazi gani? Ni kumuacha tu ili aendelee kuachwa kila siku....

Kama una mapenzi naye ya dhati unamrekebisha kiutaratibu. Ila kama ni mpita njia unamwacha alivyo, atajifunza mbele ya safari.
 
sawa kungwi ukianza kutoa mafunzo kwa vitendo unijulishe nije na kamera yangu mimi nitakuwa mtazamaji tu

No pic mrembo. Wanafunzi wataogopa kuja sasa, nawewe unakuja na kaka yangu Excel.
 
Kwa kweli mheshimiwa sungura nakutaka radhi na naahidi kutokurudia tena kitendo changu kiovu cha kuwaita wakufunzi wanafunzi wenzangu hakika naamini ntafanya vizuri na ntajituma kwa dhati katika kipindi chote niwapo mafunzoni.... Bantu wakike nakutaka radhi pia...

Mi nimeshakusamehe kabisa, uje tu na my wii.
 
Ukitaka ufaidi ufanye hili

Kila mnapotaka kumegana mmoja awe staring na mwingine awe anafuata maelekezo yastaring tu ili siku hiyo staring afaidi

Siku nyingine staring awe mwingine yaani wewe kama siyo staring ni kufanya kila atakalo staring ili apate utamu zaidi

Yaaani utafurahia hutatamani kutoka nje ya mgegedo huo .
 
kipaumbele changu cha kwanza ni kuhakikisha mupenzi wangu ameridhika...
wanawake wagumu sana kusema yaha masuala sometimes kidume inabidi ujiongeze tu...
 
Ukitaka ufaidi ufanye hili

Kila mnapotaka kumegana mmoja awe staring na mwingine awe anafuata maelekezo yastaring tu ili siku hiyo staring afaidi

Siku nyingine staring awe mwingine yaani wewe kama siyo staring ni kufanya kila atakalo staring ili apate utamu zaidi

Yaaani utafurahia hutatamani kutoka nje ya mgegedo huo .

Hahahahaa hii njia nzuri tu pia.
 
kipaumbele changu cha kwanza ni kuhakikisha mupenzi wangu ameridhika...
wanawake wagumu sana kusema yaha masuala sometimes kidume inabidi ujiongeze tu...

Hongera sana Kalou, taratibu itafika nayeye atakuwa wazi kwako kukwambia.
 
Mara nyingi uhusiano wa kimapenzi kwa watu wengi unafikia kikomo, kutokana na kutoelezana ukweli.

Haya mambo ya kuficha kama umeridhika katika kugegedana, ndio watu hutafuta majenereta ya kuwatosheleza.

Usione aibu shughuli haikuwa kiwango mwambie ili ajue alikosea wapi, asirudie tena.

Hii iwe kwa mwanaume ama mwanamke, kaeni mjadili mwenzako anapenda nini na huwa hapendi nini.

Kuna vitu utajipinda kufanya kumbe mwenzako anaona karaha tu, ila mngekuwa mmeyaongea ukajua hapendi usingemfanyia.

Ungefanya yale anayopenda na mkaridhishana, mapenzi ni sanaa so kila mara ni kuendelea kujifunza.

wengine ukiwaambia wanasema mie siwezi fanya hivyo...loh sasa bora utulizane tuu. hakupi katafute kwengine
 
Urizishwe ili iweje ? Hebu rizika mwenyewe bana. Teh teh teh...
 
wengine ukiwaambia wanasema mie siwezi fanya hivyo...loh sasa bora utulizane tuu. hakupi katafute kwengine

Kwanza mpendane kidhati lazima utatamani wewe uridhike na umpendaye aridhike.
Mwingine si kwamba hataki kujifunza ila tatizo labda hajakupenda so anaona tabu kuyafanya. May be yuko kwenye mawindo yote yanawezekana.
 
Mi ukiniambia sijakuridhisha nakuchukuliwa Malay.a ushazoea kupigwa game nyingi maana kuna K nyingine ishakua na sugu hata usugue vipi m/mke bado hatosheki na hapo ushamuandaa.

Mbona wengine unapiga game unajua kabisa huyu ashajipiga mbili saa hizi kwa Kick za kufa mtu unazompa.
 
Back
Top Bottom