Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
- Thread starter
-
- #101
hujasikia lolote kweli kutoka kwake juu yangu sis?
Hajasema kitu ila kama alikuwa na kaupweke fulani hivi. Kuna kitu umemfanyia mrembo yule eeh
Dah aisee sijui nitajisikiaje ukiambia hujafika kunako na mie nimepga uno la kufa mtu km Fally Ipupa
ok... let it go...! hatujaonana siku 2 , 3 hivi!
kwema kwako huko?
Okay, huku kwema kabisa.
Gudnite bro
unalala ama?
goodnight too! sleep well in the power of JESUS CHRIST!
Amen, thanks. Sina usingizi ila nataka nijilazimishe tu kulala, ili niwahi kuamka asubuhi.
ok sis.. najua mishe mishe huanza asubuhi... usingizi umeenda wapi lakini?
Utaamini sijalala, sikwenda job, ili nisichoke na kuona uvivu kwenda kanisani. Si unajua jana ilikuwa jumatano ya majivu.
Ningechoka usingizi faster
ooh! hivi kwanza mpaka saa hii unafanya nn sis?
we ngoja... jamaa akistuka tu.. qudadeki!
Leo majanga bro acha tu. Ingekuwa siyo kwaresma mbona ningegida wine ili nilale.
Ila aaaah, huyu kalala hashtuki hapa japo kanihug anajua nimelala.
hahaaa! zima taa ulale bana! akijua unachat na mtu qudadeki tutaona uzi wako ukiomba ushauri!
lala sis... si unajua mko wengi eenh?
Kumbe unanipenda sisy wako eeeh. Asante naziba macho nitalala humohumo.
Now naondoka humu kabisa.
Mbona majanga. Ni ya Snura ama?
Unamwacha kama alivyo. Maana km unafanya yote bado aaah kweli unamwangalia tu.
Mi ukiniambia sijakuridhisha nakuchukuliwa Malay.a ushazoea kupigwa game nyingi maana kuna K nyingine ishakua na sugu hata usugue vipi m/mke bado hatosheki na hapo ushamuandaa.
Mbona wengine unapiga game unajua kabisa huyu ashajipiga mbili saa hizi kwa Kick za kufa mtu unazompa.
me huwa naona raha sana mpenzi wangu akiniambia mapungufu yangu ili nijirekebishe,,maana madem wa siku hizi anaweza akakaa kimya kumbe haujamfikisha,,kinachofuata hapo ni mchepuko
Nilijua tu utanidanganya! jicho liko kodo kodo!
Issue ni skills... unaweza kupiga laini laini ila kwa technique! Tatizo wanaume wengine wamezoea kutwanga maana akipanda utasikia mpaka kitanda kinalalamika... kuna wanawake wengine hawapendi kutwangwa hivyo mpaka k inataka kutoka cheche kwa friction!