Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Shukrani Khantwe nawe pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani Khantwe nawe pia.
Asante dadangu mzuri[emoji8][emoji8].
Naiona Leo hii jamani[emoji7]
Wewe naye I'd yako inatuchanganya Sana[emoji23]Ahsante sana my dear Khantwe, usiku mwema kwako pia mumie!!
ID yangu usiikosee sana sipati notification ujue, Nitaliaa!
Usali..!!
Eeh nashukuru umeelewa kuwa nimekosea, wewe nae kutaka kutuchanganya tu sasa huto tuherufi tuwili uliweka twa nini[emoji3]Ahsante sana my dear Khantwe, usiku mwema kwako pia mumie!!
ID yangu usiikosee sana sipati notification ujue, Nitaliaa!
Usali..!!
Hahahaha.!!Wewe naye I'd yako inatuchanganya Sana[emoji23]
😂 😂Eeh nashukuru umeelewa kuwa nimekosea, wewe nae kutaka kutuchanganya tu sasa huto tuherufi tuwili uliweka twa nini[emoji3]
[emoji3][emoji3] we unaona nimekusifia au nimekugombeza?[emoji23] [emoji23]
Mumie hata si kupenda kwangu, nimejikuta tu tayari ishatokea, nachanganywa sana maskiini mimi!
Hapo sijui umenisema ama umegomba??
Inabidi ufanye utaratibu wa kubadili username.Hahahaha.!!
Nimejiunga nikaja jikuta kuna sweetlee mwingine nikaishiwa pozi,
Ila yangu ina herufi kubwa halafu pia avatars zinatofautiana!!
Poleni jamani lovers.!!
😂 😂 😂[emoji3][emoji3] we unaona nimekusifia au nimekugombeza?
Haha..!! hadi wewe unanitengaa mdogo wangu??Inabidi ufanye utaratibu wa kubadili username.
Mimi mwenyewe Ni victim wa hili[emoji134]..Hadi naogopa kukutag siku hizi.
Mimi nalikosea Mara nyingi.Haha..!! hadi wewe unanitengaa mdogo wangu??
Nilitaka kufanya hili ila Kaka SHIMBA YA BUYENZE akanishauri nisifanye hivyo, maana hili jina lina baraka flani.!!
[emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivii una nini lakini.!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Eeh nashukuru umeelewa kuwa nimekosea, wewe nae kutaka kutuchanganya tu sasa huto tuherufi tuwili uliweka twa nini[emoji3]
Usiku mwema Anne[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Akhsante.Usiku mwema Anne
Amen.. ngoja tusafishe macho na muvi kwanzaAkhsante.
Uwe mwema kwako pia.