Usiku najikuta nikikesha asubuhi ndio nalala naamka saa 5 ndio life style yangu ya sasa

Huo uvivu umekumba vijana wengi hasa wa Dar es salaam,unakuta mtu anaenda kwenye mishe mishe saa 5 ama sita,halafu saa mbili yupo nyumbani na kukesha kuimba vyuma vimekaza
 
Usingizi wa usiku mapema ni bora zaidi kiafya, na wa alfajiri si bora kiafya, unaweza kusearch kwa faida zaidi, sorry, niko busy sikuweza kukutaftia link.
 
Kama sijakosea wewe bado kijana mdogo,majukumu bado kivile. Enjoy your youth,kwa sababu kuna wakati ukifika mchaka mchaka wake siyo wa kitoto. Inafikia muda hadi unaona waliokufa wamepumzika.
 
Kama sijakosea wewe bado kijana mdogo,majukumu bado kivile. Enjoy your youth,kwa sababu kuna wakati ukifika mchaka mchaka wake siyo wa kitoto. Inafikia muda hadi unaona waliokufa wamepumzika.
Kweli kbs
 
Kama sijakosea wewe bado kijana mdogo,majukumu bado kivile. Enjoy your youth,kwa sababu kuna wakati ukifika mchaka mchaka wake siyo wa kitoto. Inafikia muda hadi unaona waliokufa wamepumzika.
Kweli
 
Acha uzembe...uzezeta unaanzaga hivyo hivyo Ukijiona tu unaanza dondosha mate UJUE tayari.

Changamka ebu..utafia usingizini shauri ako.
Ni kifo kizuri kuliko vyote kwa mtazamo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…