cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Haya bwana mambo ya kufundwa hayo, mh lakini wewe unaonyesha kumbe staki na taka angebeleza 2 ungekumbuka mahusia ya kufundwa ukakubali wewee.
Mh ikifikia hapo, nikujiandaa kutengana vyumba then baada yakutengana mazoea yanabaki au kila mmoja ajiju. Si kawaida.
Haaaa yani wewe unanivunja mbavu kwa hiyo huyo hakujua wanawake hua hawakubali ovyo ovyo bila kukataa kwanza eeeh, kujivunga saingine muhim, ila na ye akisusa ageuke inaumaga ha haaa.mambo ya kufundwa shosti yanahu,lkn kama atafanikiwa 'kunibembeleza' hadi nijisikie kumkubalia kwa nini niendelee kumkatalia?
cha muhimu ni jinsi ninavyojisikia,akifanikiwa kunifanya nijisikie vizuri then naupa ukuta mgongo!
Sasa mami ikifkia hamfanyi tendo la ndoa kwa miezi miwili, hapo tayari ndoa inakua na shida, coz jiulize mume anakua anaishije kama hana nyumba ndogo tayari, bora yetu sisi uvumilivu tunao na maumivu ya mahusiano hua hayajifichi bt wenzetu ndo kwanza hawazii, ikifika hapo unajiandaa kufungasha siju labda mh nashindwa.my dear mkishatengana hadi vyumba hiyo sio ndoa tena na wala sijui huo uhusiano utapewa jina gani lkn hautaitwa ndoa!
Haaaa yani wewe unanivunja mbavu kwa hiyo huyo hakujua wanawake hua hawakubali ovyo ovyo bila kukataa kwanza eeeh, kujivunga saingine muhim, ila na ye akisusa ageuke inaumaga ha haaa.
Ntalia machozi mgongoni kwake mpaka atakubali.
mweh,you are too good,to be with any girl..kilio kabisaaa???:yuck: