Usiku wa Afrimma Awards ni leo, Alikiba kumnyoosha Diamond

ukitaka kufa mapema mkunjie MOND utaona dunia chunguuuuuu
 
Amejtahid kufata nyayo,kachkua jokate,urafk na wema,kapga kampen ccm,kaenda kwa godfather,kashoboka kwa davdo na ne-yo bt bado 2 tatzo nn?
ALI KIBA NI MPUUZI sana na sitompigia tena kura yangu....akaombe kwa magufuli
ni bora diamond aliyekuwa wazi tokea mapema kuwa ni mtu wa ccm kuliko kiba kuja kutuangusha mwishoni

hapa diamond tu...ili kumkomesha kibakuli
 

Kibakuli hana kipaji kabisa uwezo wake ni kulelewa n kukaa nyumba za wanawake.....labda ashindanishwe tuzo ya mdananda yani kiba,lemutuz na nuhu nziwanda hapo ataweza kushida
 
kiba fans wana roho ngumu kama smigo wa lord of the ring..dah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…