Usiku wa Afrimma Awards ni leo, Alikiba kumnyoosha Diamond

Wakuu nimejaribu kuzifatilia hizi tuzo, kumbe ni za kiswahili sana, hazijulikani popote duniani, hizi tuzo zipo kibiashara zaidi, bila kufanya collabo na mnaijeria au bila kuroga huwezi kupata.

Bora uwe mchawi kuliko kuwa na wivu kama wako!! by the way mbona unaumia sana mtanzania mwenzako kufanikiwa? hiyo ni roho ya kichawi!! hata hivyo ukasirike,ufurahi au ziwe za vichochoroni ndo keshachukua tayari!! kafanye mambo yako ya maendeleo ili na wewe ujulikane siku moja sio kuwa na chuki kwa kijana mwenzio.
 

Toa ushahidi
 
Hatimaye ile siku iloyosubiriwa na wengi ni leo, Diamond yupo category 7 ila probably hata tuzo 3 anaweza asinuse.


Wakuu nimejaribu kuzifatilia hizi tuzo, kumbe ni za kiswahili sana, hazijulikani popote duniani, hizi tuzo zipo kibiashara zaidi, bila kufanya collabo na mnaijeria au bila kuroga huwezi kupata.

Hadithi inayokuja, ni ya Sungura sikia,
Hadithi uliyongoja, leo ninakuletea,
Alitoka siku moja, njaa aliposikia,
Njaa aliposikia, Sungura nakuambia

Siku ile akaenda, Porini kutembelea,
Akayaona matunda, mtini yameenea,
Sungura akayapenda, mtini akasogea,
Mtini akasogea, Sungura nakuambia.

Sungura karukaruka, lakini hakufikia,
Matunda hakuyashika, mikononi hakutia,
Hakika alisumbuka, nguvuze zikapungua,
Nguvuze zikapungua Sungura nakuambia.

Mtazame hapo juu Sungura amelegea,
Mtazame na miguu, matunda anarukia,
Atafanya sikukuu, matunda akifikia,
Matunda akifikia, Sungura nakuambia.

Karuka tena karuka, matunda akarukia,
Mwisho Wave akachoka, kachoka hata mkia,
Penye mti akatoka, pembeni akasogea,
Pembeni akasogea, Subgura nakuambia.

"Sizitaki mbichi hizi" Sungura akagumia,
"Naona nafanya kazi, bila faida kujua",
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.

Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.

Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikia,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.

 

Weka wazi hivyo vigezo
 

Heshima yako saana mkuu

UMETISHAAAAA!!!!
 
hizi tuzo ni feki, Ommy Dimpoz ana muda gani kwenye mziki?

Kimataifa ommy dimpoz ndo kwanza anaanza sasa unashangaa nin? hata kiba siku mtv wakimueka kwenye new artist usishangae maana bado hana ukubwa africa
 
Huyo mbona hamna kitu, amshukuru sana diamond kwa kumvutavuta kupitia kibeef chao...

Na ndio maana wabasema, GARI YA KUVUTWA HAI OVERTAKE kwahiyo mashabikiwa kiba kama mnategemea makuwa kama mnavyoona kwa chibu msahau!!!!!!!

DIAMOND NI KITU KINGINE!! MSANII PEKEE ANAOWANYIMA USINGIZI WASANII WAKUBWA WA NAIJA!!!

NA WATANYOOKA TU!!!
 

Well said..angekuja hapa huyo king kiba kusoma muongozo wa jins ya kufanya mziki wake ukue
 

Diamond plutnumz mond bin award amekunyoosha sijui kwa pasi gani maana huu uzi kama ulikurupuka utafuta!!!
 
komaa na ukawa ila andaa kitu kingine cha kukomaa nacho endapo hiyo option yako itafail
 
Wakuu nimejaribu kuzifatilia hizi tuzo, kumbe ni za kiswahili sana, hazijulikani popote duniani, hizi tuzo zipo kibiashara zaidi, bila kufanya collabo na mnaijeria au bila kuroga huwezi kupata.

Mkuu pole sana inaonekana Chibu anakunyoosha kweli kweli!!!!!!!!!
 
alikiba ni kama best naso tu ila katika muonekamo tofauty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…