Usiku wa deni hauchelewi. Likizo ya RC Makonda inakaribia ukingoni

Tafuta bwana utulie
 
Chugga imepoa kama ipo msibani, wacha aje kuchsngamsha , Dubai amekaa sana.
 
Sijaona jambo la kujifariji hapo, unless umekosa cha kuchangia ukaamua kujificha kwenye hilo neno lisilo na mantiki hapa.
Hoja ya kutetea imestahili hilo jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…