Usiku wa mabingwa wa ndondi: Wabongo wawachakaza vikali Wamalawi

Usiku wa mabingwa wa ndondi: Wabongo wawachakaza vikali Wamalawi

Kiukweli nimeshangaa jamaa amepiga haswaaa!!!
Yani Marefa waliposikia tu Rais na Waziri Mkuu wanawatch game nikajua watapendelea sijui wamfurahishe nani sasa.Yaani aibu kwelikweli.​
 
Kuna Uzalendo na Upumbavu kilichotokea kwa Mmalawi dhidi ya Mfaume ni dhulma. Tujue kutofautisha kati ya haki na Uzalendo.

NB: Au waweke sheria mpya mgeni ni lazima ashinde kwa KO katika ardhi ya Tanzania maana kwa points majaji wetu ni wazalendo sana kamwe hawawezi kushinda.
 
Ujinga tu, ushindi gani Mfaume kaupata? Umewahi kuona ushindi unaanza kutolewa ufafanuzi? Sirudi tena kwenye kuangalia ngumi bora ningelala tu. Ukumbini ulikuwa kimya mwanzo mwisho japo alikuja na watu wengi, walibaki wameshika tama tu, hizo hela agawane na majaji
 
Mzimbabwe alianza vizuri sema punch zake hazina nguvu.
Galiatano movement zake ziko poa huchoki kumwangalia sema punch zake bado hazina uzito wa kumkalisha mpinzani. Movement za Galiatano safi sana u anatamani pambano lisiishe.​
Yeah yule asingepata timing ingekuwa shida yuko well organised
 
Tanzania ni nchi ya Hovyo sana ,
Tunalazimisha uzalendo wa kipumbavu kwa kudhurumu haki ya mtu mwingine.
 
Kiukweli nimeshangaa jamaa amepiga haswaaa!!!

Na Hii ndio sababu michezo ya Kitanzania haifiki mbali. Kwanza Mfaume Sio Professional and Strategic. Inaelekea amejifunza ngumi kwenye Viroba vya Mchanga na Matairi.

Yule Mmalawi ameshinda na hata 90% ya sapota wa Mfaume walikuwa wameshaanza kuondoka wakijua Mshind ni nani.

Mmalawi ameshinda idara zote. He is tactical, Observer and Professional. Japo alijua yeye ndio Mshindi, lakini wala hajamaindi Mfaume alipotangazwa.

Shida Watz hatujui kuwa dunia inatizama na hii inatuathiri kwenye international games . Hata majaji wetu watabaki kuwa majaji wa hapo hapo ; hawawezi kupanda kimataifa, they are stupid and ignorant. Hawathamini kazi yao kwa vi laki 3 wanavopewa kama Hongo. Ni ujinga.

Tutaishia humu humu. Haiwezekani mtu ashinde obviously na usimtangaze kisa game imechezwa kwenu —— SHAME ! And the worst part ni kwamba tunajiharibia wenyewe kimichezo.

Na hiyo Simba safari yake ya mwisho iwe Benjamin Mkapa . Hatuwezi kushiriki michuano ya kimataifa. We are not serious.
 
Na Hii ndio sababu michezo ya Kitanzania haifiki mbali. Kwanza Mfaume Sio Professional and Strategic. Inaelekea amejifunza ngumi kwenye Viroba vya Mchanga na Matairi.

Yule Mmalawi ameshinda na hata 90% ya sapota wa Mfaume walikuwa wameshaanza kuondoka wakijua Mshind ni nani.

Mmalawi ameshinda idara zote. He is tactical, Observer and Professional. Japo alijua yeye ndio Mshindi, lakini wala hajamaindi Mfaume alipotangazwa.

Shida Watz hatujui kuwa dunia inatizama na hii inatuathiri kwenye international games . Hata majaji wetu watabaki kuwa majaji wa hapo hapo ; hawawezi kupanda kimataifa, they are stupid and ignorant. Hawathamini kazi yao kwa vi laki 3 wanavopewa kama Hongo. Ni ujinga.

Tutaishia humu humu. Haiwezekani mtu ashinde obviously na usimtangaze kisa game imechezwa kwenu —— SHAME ! And the worst part ni kwamba tunajiharibia wenyewe kimichezo.

Na hiyo Simba safari yake ya mwisho iwe Benjamin Mkapa . Hatuwezi kushiriki michuano ya kimataifa. We are not serious.
Yaani hadi nilijihisi aibu kuwa mtanzania kwa kile alichofanyiwa yule Mmalawi!
Usengelema mtupu!
 
mzimbabwe kapigwa na Tony Rashid from Tanzania
 
Na Hii ndio sababu michezo ya Kitanzania haifiki mbali. Kwanza Mfaume Sio Professional and Strategic. Inaelekea amejifunza ngumi kwenye Viroba vya Mchanga na Matairi.

Yule Mmalawi ameshinda na hata 90% ya sapota wa Mfaume walikuwa wameshaanza kuondoka wakijua Mshind ni nani.

Mmalawi ameshinda idara zote. He is tactical, Observer and Professional. Japo alijua yeye ndio Mshindi, lakini wala hajamaindi Mfaume alipotangazwa.

Shida Watz hatujui kuwa dunia inatizama na hii inatuathiri kwenye international games . Hata majaji wetu watabaki kuwa majaji wa hapo hapo ; hawawezi kupanda kimataifa, they are stupid and ignorant. Hawathamini kazi yao kwa vi laki 3 wanavopewa kama Hongo. Ni ujinga.

Tutaishia humu humu. Haiwezekani mtu ashinde obviously na usimtangaze kisa game imechezwa kwenu —— SHAME ! And the worst part ni kwamba tunajiharibia wenyewe kimichezo.

Na hiyo Simba safari yake ya mwisho iwe Benjamin Mkapa . Hatuwezi kushiriki michuano ya kimataifa. We are not serious.
Mkuu hapo kwenye Simba ndi umeharibu. Uko ki utopolo zaid. Anyways umeingea points in general. Ukumbi ulikua kimya na wasiwasi mwingi kumaanisha mfaume kapigwa. Nilishangaa kwa kweli the other way round.
Kama ingalikua si pambano na mkanda baasi labda labda tungeiita draw.
 
Wachambuzi Ibrahim class na wenzie walishakosa cha kusema. Alafu hata Galiatano, mpinzani wake alishamuweza zamani. Ila ndio hivyo.. bora zile K.O tuliziona waziwazi
Na Hii ndio sababu michezo ya Kitanzania haifiki mbali. Kwanza Mfaume Sio Professional and Strategic. Inaelekea amejifunza ngumi kwenye Viroba vya Mchanga na Matairi.

Yule Mmalawi ameshinda na hata 90% ya sapota wa Mfaume walikuwa wameshaanza kuondoka wakijua Mshind ni nani.

Mmalawi ameshinda idara zote. He is tactical, Observer and Professional. Japo alijua yeye ndio Mshindi, lakini wala hajamaindi Mfaume alipotangazwa.

Shida Watz hatujui kuwa dunia inatizama na hii inatuathiri kwenye international games . Hata majaji wetu watabaki kuwa majaji wa hapo hapo ; hawawezi kupanda kimataifa, they are stupid and ignorant. Hawathamini kazi yao kwa vi laki 3 wanavopewa kama Hongo. Ni ujinga.

Tutaishia humu humu. Haiwezekani mtu ashinde obviously na usimtangaze kisa game imechezwa kwenu —— SHAME ! And the worst part ni kwamba tunajiharibia wenyewe kimichezo.

Na hiyo Simba safari yake ya mwisho iwe Benjamin Mkapa . Hatuwezi kushiriki michuano ya kimataifa. We are not serious.
 
Kama kawa wadau leo kutakuwa na mapambano nane wadau wakirushiana makonde pale kati, fuatilia hapa

Mapambano ya leo
  1. Mfaume Mfaume Vs Chikondo Makawa (Malawi)
  2. Twaha Kiduku Vs Guy Tshimanga Tshitundu (Mkongo)
  3. Abdallah Pazi Vs Simon Tcheta (Malawi)
  4. Tonny Rashid Vs Hasan Milanzi (Zimbabwe)
  5. Seleman kidunda vs Limbano Lano (Malawi)
  6. Ismail Galiatano Vs Israel Kamwamba
  7. Haidary Mchanjo Vs Loren Japhet
  8. Juma Choki Vs Issa Nampepeche
Pambano la Twaha Kiduku linaweza kuahirishwa kwa sababu mpinzani wake ameshindwa kufika ndani ya muda, hadi muda huu bado yupo kwenye ndege anaweza kufika usiku sana

Pambano la Haidary Mchanjo halitakuwepo, mpinzani wake Loren Japhet ameingia mitini

Pambano la Kwanza
Juma Choki Vs Issa Nampepeche
Uzito: Light Weight
Rounds: 10
Winner: Juma Choki, TKO round ya tatu

Pambano la Pili
Ismail Galiatano(Tz) Vs Israel Kamwamba(Malawi)
Uzito: Super Middle Weight
Rounds: 08
Winner: Galiatano kwa Points


Pambano la tatu
Seleman Kidunda(Tz) vs Limbano Lano (Malawi)
Uzito: Middle Weight (Ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati)
Rounds: 10
Winner: Seleman Kidunda kwa KO, Round ya pili

Pambano la nne
Abdallah Pazi (Dullah Mbabe) Vs Simon Tcheta (Malawi)
Uzito: Super Middle weight
Rounds: 08
Winner: Dulla Mbabe(Abdallah Pazi) kwa KO, round ya kwanza

Pambano la tano
Tonny Rashid Vs Hasan Milanzi (Zimbabwe)
Uzito: Super Bantamweight (Title) African Boxing Union (ABU)
Rounds: 12
Winner: Tonny Rashid kwa KO Round ya tatu

Pambano Kuu(La sita na la mwisho kwa leo)
Mfaume Mfaume Vs Chikondo Makawa (Malawi)
Uzito: Super Welterweight
Rounds: 10
Winner: Mfaume Mfaume
Yani watanzania tunazingua haiwezekan mtu kapigwa roundi zote halafu yeye anaibuka kuwa bingwa.
Kwa halii hii hatuwezi kufika mbali "Mfaume"
 
Mabondia wote wamecheza vizuri isopokuwa.
Mfaume na Galiatano.
Mgumi zao ni nyepesi sana, na sio za Professional Boxing.
Huyu Mfaume huwa anatamba sana na wapambe wake wanamsifia kuwa ndiye mwenye mgumi nzito zaidi katika uzito wake, hadi aliwahi kumpasua bondia mwenzake fuvu la kichwa.
Mfaume Huenda kalewa sifa, huku watangazaji waliendelea kumsifia eti amefanya mazoezi mengi mazito hadi anashindwa kurusha ngumi nzito, utadhani hana kocha.
Galiatano na Mfaume lazima wajifue zaidi kama unataka kuendelea na Boxing.
Galiatano alicheza round mbili tu kachoka hoi, anabaki anazunguka tu na kudokoa dokoa vi jab huku anakimbiakimbia ulingoni. Mpaka mpinzani wake anasimama na kumwuliza vipi huonekani. Mwisho akaamua ampigie saruti kabisa.
 
Sasa simba inaingia vipi kwenye boxing, ? Nenda kashabikie barcelona ndugu
Na Hii ndio sababu michezo ya Kitanzania haifiki mbali. Kwanza Mfaume Sio Professional and Strategic. Inaelekea amejifunza ngumi kwenye Viroba vya Mchanga na Matairi.

Yule Mmalawi ameshinda na hata 90% ya sapota wa Mfaume walikuwa wameshaanza kuondoka wakijua Mshind ni nani.

Mmalawi ameshinda idara zote. He is tactical, Observer and Professional. Japo alijua yeye ndio Mshindi, lakini wala hajamaindi Mfaume alipotangazwa.

Shida Watz hatujui kuwa dunia inatizama na hii inatuathiri kwenye international games . Hata majaji wetu watabaki kuwa majaji wa hapo hapo ; hawawezi kupanda kimataifa, they are stupid and ignorant. Hawathamini kazi yao kwa vi laki 3 wanavopewa kama Hongo. Ni ujinga.

Tutaishia humu humu. Haiwezekani mtu ashinde obviously na usimtangaze kisa game imechezwa kwenu —— SHAME ! And the worst part ni kwamba tunajiharibia wenyewe kimichezo.

Na hiyo Simba safari yake ya mwisho iwe Benjamin Mkapa . Hatuwezi kushiriki michuano ya kimataifa. We are not serious.
 
Mabondia wote wamecheza vizuri isopokuwa.
Mfaume na Galiatano.
Mgumi zao ni nyepesi sana, na sio za Professional Boxing.
Huyu Mfaume huwa anatamba sana na wapambe wake wanamsifia kuwa ndiye mwenye mgumi nzito zaidi katika uzito wake, hadi aliwahi kumpasua bondia mwenzake fuvu la kichwa.
Mfaume Huenda kalewa sifa, huku watangazaji waliendelea kumsifia eti amefanya mazoezi mengi mazito hadi anashindwa kurusha ngumi nzito, utadhani hana kocha.
Galiatano na Mfaume lazima wajifue zaidi kama unataka kuendelea na Boxing.
Galiatano alicheza round mbili tu kachoka hoi, anabaki anazunguka tu na kudokoa dokoa vi jab huku anakimbiakimbia ulingoni. Mpaka mpinzani wake anasimama na kumwuliza vipi huonekani. Mwisho akaamua ampigie saruti kabisa.
Hahaaah galiatano alikua kama kipepeo
 
At least Galiatano kidogo alimpiga mpinzani wake akapata pointi nyingi raundi za mwanzo. Ila Mfaume Mfaume kadundwa wazi kabisa. Aliingia kwenda kulazimisha KO tangu raundi ya kwanza. Japo hiyo mbinu yake ilishindwa kufanya kazi toka mwanzo hakuwa na mbinu mbadala matokeo yake kila akipiga ngumi moja ya usoni yenye pointi jamaa anarudisha hapo hapo tatu. Naona majaji walikuwa wanachukua pointi za Mfaume wanampa mmalawi na za mmalawi wanampa Mfaume. Kiufupi Mfaume alipigwa kwa pointi nyingi sana kiasi ilihitijika moyo wa chuma na uso usio na haya kumpa ushindi na kumnyima mmalawi

Niwapongeze sana Azam kwa kurudisha hamasa ya mchezo wa ndondi nchini kwani mimi ni mmojawapo ambaye kila nikisikia kuwa ngumi huwa nawahi nyumbani kuangalia mapambano mwanzo mpaka mwisho hata kama saa kumi asubuhi. N ahuu mchezo umeshaanza kutoa ajira kwa vijana wengi Dar es salaam. Lakini majaji wanataka sasa kuurudisha mchezo wa ngumi shimoni tena. Ombi langu kwa serikali iingilie kati ili yaliyotokea ya maamuzi ya upendeleo kwenye pambano la Mfaume yasijirudie tena. Serekali ikiusimamia huu mchezo wa ngumi vizuri kwa kushirikiana na wadau kama Azam na mapromota mbalimbali nina hakika ndani ya miak hii miwili utakwenda kutoa ajira kwa vijana wengi kama ulivyo mpira wa miguu kwa sasa. Kwa mwelekeo uliopo ngumi zinakwenda kurudi enzi za akina Koba Kimanga, Emmanuel Mlungwa, Issak Mabushi, Nasoro Michael na wengineo wakati uo ngumi zilikuwa moto kweli kweli.
 
Back
Top Bottom