Usiku waa leo utafanyika ugawaji wa tuzo za Grammy

Usiku waa leo utafanyika ugawaji wa tuzo za Grammy

Sema wasanii wa Tanzania wanazingua sana yani tumeshindwa kujikakamua tutoe hata msanii mmoja tu kwenye Nominees,

Sema siwezi kulaumu maana huku Tanzania msanii akishatoa ki Hit song kimoja basi anaridhika anaanza kufukuzana na matako ya mabinti sasa.
Mkuu ile single again ya harmonize, Ange tafuta PR team nzuri Basi Ange enda extra miles.
👉Kaishia kwenda kufanya collaboration na up coming Ruger.
 
Mkuu Jana mpaka kina Drake want sema, hizi tuzo Ni uwaki tu

Hizi tuzo wengne huwa wanapewa kwa Mchongo tu,....ila nimefurahi Billie Eilish kabeba za kutosha,

huyu binti Hajawahi niangusha kama kuna upcoming artist wa Bongo anataka kujifunza namna ya kuteka Global music industry basi aangalie uimbaji wa huyu Binti. Billie Eilish ni Motooo
 
Hizi tuzo wengne huwa wanapewa kwa Mchongo tu,....ila nimefurahi Billie Eilish kabeba za kutosha,

huyu binti Hajawahi niangusha kama kuna upcoming artist wa Bongo anataka kujifunza namna ya kuteka Global music industry basi aangalie uimbaji wa huyu Binti. Billie Eilish ni Motooo
Billie Yuko vizuri mno, Grammy huwa Wana tafuta jinsi ya kuji tangaza tu.
👉Una ita wasanii, Kisha una mpa tuzo lofa mmoja😆
 
Mkuu ile single again ya harmonize, Ange tafuta PR team nzuri Basi Ange enda extra miles.
👉Kaishia kwenda kufanya collaboration na up coming Ruger.

Wasanii wa Bongo hawajui namna ya Kufanya marketing nafikiri na Elimu inachangia,

Ndomaan tunashauri ukijiona we msanii kichwani ni mweupe basi anagalau tafuta Manager ambaye ni kakuzidi umri na ana walau Degree ya sanaa au ya kitu chochote kile maana huyo uwezo wake wa kufikiri hautokuwa sawa na wako.

Hata huyu Diamond ataishia hapo hapo kama ataendelea kushikana na hao wakina Babu tale na mkubwa fella na Sallam, anahitaji aajiri Manager mwenye connection za kutosha na mwenye Profile iliyoshiba kwenye masuala ya kusimamia wasanii,

Mwenzake Wizkid alianza na Yule meneja wake mnaijeria nimesahau jina lake, ila alipoanza kutambulika zaidi akamuajiri yule Mwanadada aliyewahi kuwa meneja wa Chris brown.....na ndo alimsaidia jamaa mpka kuanza kupata Colabo na wakina Drake na wengineo na sasaivi ukimuweka Diamond na Wizkid ni Jua na Ardhi.
 
Wasanii wa Bongo hawajui namna ya Kufanya marketing nafikiri na Elimu inachangia,

Ndomaan tunashauri ukijiona we msanii kichwani ni mweupe basi anagalau tafuta Manager ambaye ni kakuzidi umri na ana walau Degree ya sanaa au ya kitu chochote kile maana huyo uwezo wake wa kufikiri hautokuwa sawa na wako.

Hata huyu Diamond ataishia hapo hapo kama ataendelea kushikana na hao wakina Babu tale na mkubwa fella na Sallam, anahitaji aajiri Manager mwenye connection za kutosha na mwenye Profile iliyoshiba kwenye masuala ya kusimamia wasanii,

Mwenzake Wizkid alianza na Yule meneja wake mnaijeria nimesahau jina lake, ila alipoanza kutambulika zaidi akamuajiri yule Mwanadada aliyewahi kuwa meneja wa Chris brown.....na ndo alimsaidia jamaa mpka kuanza kupata Colabo na wakina Drake na wengineo na sasaivi ukimuweka Diamond na Wizkid ni Jua na Ardhi.
Ww kwenye carrier yako umefikia wapi?
Au ndio ya kuona boriti kwa mwenzio huku ww uko na kibanzi kwenye macho.
 
Nilifarijika tu kuona one of my favourite song ya Tracy chapman-fast car

Ova
 
Nilifarijika tu kuona one of my favourite song ya Tracy chapman-fast car

Ova
Ni uabaguzi tu; hawatueua wimbo huo mpaka ulipoimbwa na Mzungu. Tracy Chapman alikuwa mtunzi mzuri sana ingawa alamua kutoendelea na Muziki
 
Ni uabaguzi tu; hawatueua wimbo huo mpaka ulipoimbwa na Mzungu. Tracy Chapman alikuwa mtunzi mzuri sana ingawa alamua kutoendelea na Muziki
Huo mziki aliuimba tokea 1988
Mpaka collabo sasa na luke combs
Ule mziki kwangu ulikuwa miaka miaka nenda rudi

Ova
 
Back
Top Bottom