Usiku waa leo utafanyika ugawaji wa tuzo za Grammy

Usiku waa leo utafanyika ugawaji wa tuzo za Grammy

Tylar anachukua sio kwa kiuno kile🙌
Kame shinda aisee😆😆
FB_IMG_17070864055048940.jpg
 
Hapo Tayla lazima akimbize, akina Zuchu huku kwetu wanaishia kutuimbia chapati na ujinga mwingine.

Hapo Taylor Swift anaenda kujiongezea tena tuzo kabatini, Miley Cyrus ngoma yake ya Flowers na album ya Endless vacation haitamuangusha, Dua lipa,SZA,Olivia na Nicki lazima waondoke na tuzo!
Taylor Swift kazoa ya album bora ya mwaka.
 
Mimi nilijua tu tyla anasepa na tuzo. Na usimuite mwepesi, probability ya kuwa the next Rihanna ni kubwa sana maana ana average vocals na sexual appeal kama young riri mkuu
Hiyoo category hata Mimi Nili hisi hivyoo, Ila ya best album wame feli Sana.
👉Uliona speech ya Drake, tuzo hizo za kiwaki mnoo
 
"The Grammys is not a relevant award in my opinion. It's just an award where a few people sit in their room and decide to give it to. In my world, things like that are not relevant. If you are an aspiring artist, I want you to focus on your music and forget about the awards. The real Grammy Award is when you have 1 million people listening to your songs and singing them." — American rapper Drake on Instagram last night with a speech 👀.
FB_IMG_17071229012443689.jpg
 
Hiyoo category hata Mimi Nili hisi hivyoo, Ila ya best album wame feli Sana.
👉Uliona speech ya Drake, tuzo hizo za kiwaki mnoo
Mwaka huu Jay Z na Drake wameona waropoke maana wamechoka kuona black artists wakidhulumiwa

Taylor Swift ameshachukua japo naujua wimbo wake mmoja tu 😁😁 Of course ni yule white girl ambaye amewekwa mbele ya industry so, chochote anachofanya kitakuwa awarded
 
Mwaka huu Jay Z na Drake wameona waropoke maana wamechoka kuona black artists wakidhulumiwa

Taylor Swift ameshachukua japo naujua wimbo wake mmoja tu 😁😁 Of course ni yule white girl ambaye amewekwa mbele ya industry so, chochote anachofanya kitakuwa awarded
Kuna kipindi kile da baby ana classic song ya rockstar.
👉Rody rich ana the box

Afu ana kuja kupewa mega stallion kisa tu ana urafiki na Beyonce🤣😄
 
Back
Top Bottom