Usiku wangu na mgonjwa wa Corona virus

Usiku wangu na mgonjwa wa Corona virus

Daisy Llilies

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,017
Reaction score
2,158
Mimi ninafanya kazi kama freelance, ninalipwa kutokana na shift ninazofanya. Tarehe 5 usiku niliamua kufanya night shift amabayo hunilipa malipo zaidi kuliko day shift. Kwakuwa Nina mambo mengine night moja kwa wiki inatosha kulipa bills za wiki, chakula na mafuta ya Gari.

Nilifika kazini saa mbili usiku, niliambiwa Emergency Unit Kuna uhaba wa staff uko tayari kwenda? Nilikubali kwenda. Kufikia kule nilimkuta mama wa miaka 55 yuko kwenye litre 15 za oxygen lakini bado anapumua kwa shida na sats ziko 82%.

Alipewa frusemide infusion ili akikojoa kidneys zi compasate acidic levels za damu, na 1 litre ya soduim cloride infusion kwa masaa 8 akawekewa catheter ili kuepuka Usumbufu pia tujue kiwango cha mkojo anaotoa. Alikua pia kwenye IV antibiotics
ABG ilionyesha yuko hypoxia. Aliwekewa CiPAB mchine isaidie kutoa CO2 kwenye damu.

Mwisho alikuwa kwenye 30 minutes monitor. Hakuna mabadiliko. Asubuhi alihamishiwa kwenye hospitali kubwa zaidi pale walisema hawana vifaa vya ku deal na ugonjwa wake. Wote tukiamini ni Pneumonia kali sana.

Katikati ya wiki kupigiwa simu kuwa hospitali kubwa wamegundua ni Corona Virus na ninatakiwa kuwa kwenye isolation kwa siku 14.

Mgonjwa alikuwa side room yenye choo chake. Kuna sink ya kunawa mikono. Kwakuwa walihisi ni swine flu nje walituwekea meza ina aprons, gloves, masks na pedal bin pembeni pia kulikuwa na chupa ya sanitizer juu ya meza.

Hospitali zinahitaji oxygen ya kutosha huu ugonjwa unashambulia mapafu.

Ninamaliza isolation yangu J5 niendelee na maisha yangu kama kawaida. Lakini Corona imefanya nimekosa pay last week kwakuwa ni freelance.
 
Kwanza pole sana. Uko nchi gani mkuu?
Habari za huu ugonjwa inabidi kwenda nazo kwa tahadhari ya hali ya juu sana.
 
Hapo kwenye mashambulizi ya mapafu ndio giza kabisa maana hata ventilators hazitoshi ugonjwa utakapogonga hodi huko home


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Asante kwa kushare uzoefu.

Nje ya mada..PM haiambukizi Corona? Maana huu ukware utatuua
 
Asante kwa kushare uzoefu.

Nje ya mada..PM haiambukizi Corona? Maana huu ukware utatuua
Uzuri wanasema wanaotumia ARV’s na wako stable huu ugonjwa hauwapati kwani hata wagonjwa wanatibiwa na ARV’s
 
Hii inaonesha ni hapa hapa bongo TZ
Mleta uzi ni vema ukatujuza tukio hili limetokea katika hospitali gani, huenda tunao wagonjwa wengi zaidi ya tunavyofikiri
Mimi ninafanya kazi kama freelance, ninalipwa kutokana na shift ninazofanya. Tarehe 5 usiku niliamua kufanya night shift amabayo hunilipa malipo zaidi kuliko day shift. Kwakuwa Nina mambo mengine night moja kwa wiki inatosha kulipa bills za wiki, chakula na mafuta ya Gari.

Nilifika kazini saa mbili usiku, niliambiwa Emergency Unit Kuna uhaba wa staff uko tayari kwenda? Nilikubali kwenda. Kufikia kule nilimkuta mama wa miaka 55 yuko kwenye litre 15 za oxygen lakini bado anapumua kwa shida na sats ziko 82%.

Alipewa frusemide infusion na 1 litre ya soduim cloride infusion kwa masaa 8 akawekewa catheter ili kuepuka Usumbufu pia tujue kiwango cha mkojo anaotoa. Alikua pia kwenye IV antibiotics
ABG ilionyesha yuko hypoxia. Aliwekewa CiPAB mchine isaidie kutoa CO2 kwenye damu.

Mwisho alikuwa kwenye 30 minutes monitor. Hakuna mabadiko. Asubuhi alihamishiwa kwenye hospitali kubwa zaidi pale walisema hawana vifaa vya ku deal na ugonjwa wake. Wote tukiamini ni Pneumonia kali sana.

Katikati ya wiki kupigiwa simu kuwa hospitali kubwa wamegundua ni Corona Virus na ninatakiwa kuwa kwenye isolation kwa siku 14.

Mgonjwa alikuwa side room yenye choo chake. Kuna sink ya kunawa mikono. Kwakuwa walihisi ni swine flu nje walituwekea meza ina aprons, gloves, masks na pedal bin pembeni pia kulikuwa na chupa ya sanitizer juu ya meza.

Hospitali zinahitaji oxygen ya kutosha huu ugonjwa unashambulia mapafu.

Ninamaliza isolation yangu J5 niendelee na maisha yangu kama kawaida. Lakini Corona imefanya nimekosa pay last week kwakuwa ni freelance.
 
Hii inaonesha ni hapa hapa bongo TZ
Mleta uzi ni vema ukatujuza tukio hili limetokea katika hospitali gani, huenda tunao wagonjwa wengi zaidi ya tunavyofikiri
Numetoa clue ya pesa ninayopata kwa night moja ili mjue kuwa si Tanzania. Hii hospitali ni ndogo lakini walikua na vifaa kama vya kuangalia ABG, CPAB machine nk. Sasa umpeleke mgonjwa Sinza Palestina ndiyo shughuli itakapoanza.
 
Mimi ninafanya kazi kama freelance, ninalipwa kutokana na shift ninazofanya. Tarehe 5 usiku niliamua kufanya night shift amabayo hunilipa malipo zaidi kuliko day shift. Kwakuwa Nina mambo mengine night moja kwa wiki inatosha kulipa bills za wiki, chakula na mafuta ya Gari.

Nilifika kazini saa mbili usiku, niliambiwa Emergency Unit Kuna uhaba wa staff uko tayari kwenda? Nilikubali kwenda. Kufikia kule nilimkuta mama wa miaka 55 yuko kwenye litre 15 za oxygen lakini bado anapumua kwa shida na sats ziko 82%.

Alipewa frusemide infusion ili akikojoa kidneys zi compasate acidic levels za damu, na 1 litre ya soduim cloride infusion kwa masaa 8 akawekewa catheter ili kuepuka Usumbufu pia tujue kiwango cha mkojo anaotoa. Alikua pia kwenye IV antibiotics
ABG ilionyesha yuko hypoxia. Aliwekewa CiPAB mchine isaidie kutoa CO2 kwenye damu.

Mwisho alikuwa kwenye 30 minutes monitor. Hakuna mabadiliko. Asubuhi alihamishiwa kwenye hospitali kubwa zaidi pale walisema hawana vifaa vya ku deal na ugonjwa wake. Wote tukiamini ni Pneumonia kali sana.

Katikati ya wiki kupigiwa simu kuwa hospitali kubwa wamegundua ni Corona Virus na ninatakiwa kuwa kwenye isolation kwa siku 14.

Mgonjwa alikuwa side room yenye choo chake. Kuna sink ya kunawa mikono. Kwakuwa walihisi ni swine flu nje walituwekea meza ina aprons, gloves, masks na pedal bin pembeni pia kulikuwa na chupa ya sanitizer juu ya meza.

Hospitali zinahitaji oxygen ya kutosha huu ugonjwa unashambulia mapafu.

Ninamaliza isolation yangu J5 niendelee na maisha yangu kama kawaida. Lakini Corona imefanya nimekosa pay last week kwakuwa ni freelance.
🤔
 
Back
Top Bottom