Usikurupuke kutetea haki za Watanzania. Jiulize na ujiridhishe wanastahili kutetewa?

Usikurupuke kutetea haki za Watanzania. Jiulize na ujiridhishe wanastahili kutetewa?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Usije ukakurupuka huko baada ya kula zako Ugali matole, au mkande yako ya kisamvu ukaanza kujifanya mtetezi wa HAKI za Watanzania.

Kabla hujafanya hivyo ni muhimu kujiuliza, je ninaoenda kuwatetea HAKI zao wanahaki ya kutetewa? Yaani wanastahili kutetewa?

Mtu yeyote ambaye hahitaji kutetewa huyo huna HAKI ya kumtetea. Hustahili kumtetea.

Mtu ambaye hahitaji utetezi alafu wewe ukamtetea huyo ni kama nyoka mwenye sumu Kali. Nafikiri unaelewa nini hutokea unapoenda kumuokoa nyoka aliyekwenye Hatari.

Sio kila mtu anayeonewa anahitaji utetezi.

Wapo wanaostahili kuonewa. Yaani wapo watu ambao ni HAKI yao kuonewa. Haki ni kitu kizuri Sana lakini kwa upande mwingine HAKI ni mbaya Sana.

Yaani kuna mtu mtu anaweza kumwona anateseka kumbe yeye anaona hateseki. Hivyo hahitaji msaada wako. Hahitaji utetezi wako. Na endapo ukifanya hivyo wewe ndiye utaingia kwenye matatizo makubwa.

Hivyo ndivyo Watanzania wengi walivyo.

Usijiingize kwenye matatizo Kwa lengo la kumtetea mtu asiyestahili kutetewa. Hiyo Sio HEKIMA.

Ukiona kundi kubwa la watu linaonewa na kundi dogo basi elewa hapo huna haja ya kutetea HAKI za kundi kubwa linaloonewa kwa sababu hao wanastahili kuonewa.

Yaani haiwezekani watu Mia wawaonee watu milioni Moja alafu wewe uje utetee hao milioni Moja.

Ila ukiona watu milioni Moja wanaonea watu elfu Moja basi unaweza kutetea hao elfu Moja. Hiyo ni HAKI.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Kwema Wakuu!

Usije ukakurupuka huko baada ya kula zako Ugali matole, au mkande yako ya kisamvu ukaanza kujifanya mtetezi wa HAKI za Watanzania.

Kabla hujafanya hivyo ni muhimu kujiuliza, je ninaoenda kuwatetea HAKI zao wanahaki ya kutetewa? Yaani wanastahili kutetewa?

Mtu yeyote ambaye hahitaji kutetewa huyo huna HAKI ya kumtetea. Hustahili kumtetea.

Mtu ambaye hahitaji utetezi alafu wewe ukamtetea huyo ni kama nyoka mwenye sumu Kali. Nafikiri unaelewa nini hutokea unapoenda kumuokoa nyoka aliyekwenye Hatari.

Sio kila mtu anayeonewa anahitaji utetezi.

Wapo wanaostahili kuonewa. Yaani wapo watu ambao ni HAKI yao kuonewa. Haki ni kitu kizuri Sana lakini kwa upande mwingine HAKI ni mbaya Sana.

Yaani kuna mtu mtu anaweza kumwona anateseka kumbe yeye anaona hateseki. Hivyo hahitaji msaada wako. Hahitaji utetezi wako. Na endapo ukifanya hivyo wewe ndiye utaingia kwenye matatizo makubwa.

Hivyo ndivyo Watanzania wengi walivyo.

Usijiingize kwenye matatizo Kwa lengo la kumtetea mtu asiyestahili kutetewa. Hiyo Sio HEKIMA.

Ukiona kundi kubwa la watu linaonewa na kundi dogo basi elewa hapo huna haja ya kutetea HAKI za kundi kubwa linaloonewa kwa sababu hao wanastahili kuonewa.

Yaani haiwezekani watu Mia wawaonee watu milioni Moja alafu wewe uje utetee hao milioni Moja.

Ila ukiona watu milioni Moja wanaonea watu elfu Moja basi unaweza kutetea hao elfu Moja. Hiyo ni HAKI.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
na jambo la muhimu na la maana zaidi, ni kua muangalifu na makini mno na huyo kimbelembele mtetezi, asije kukurubuni na akakuingiza katika jamii yenye fedhaha na matokeo yake ukaiabisha familia, ndungu, jamaa na marafiki zako.

Inasikitisha sana my friends, ladies and gentlemen 🐒
 
Sahivi siwaoni wanaharakati kama kipindi cha JK sijui nini kimetokea ni kwamba uonevu hamna tena ama watanzania hawatete eki
 
Sahivi siwaoni wanaharakati kama kipindi cha JK sijui nini kimetokea ni kwamba uonevu hamna tena ama watanzania hawatete eki
Watanzania wanakatisha Sana tamaa. Wewe fikiria mtu ana haki ya kuongezwa mshahara na kupandishwa daraja kazini kwake lakini anakataliwa kinyume cha Sheria kwa miaka mitano kupandishwa daraja na kuongezwa mshahara na yeye anakaa kimya.

Watanzania kwenye kupigania haki zao ni wadhaifu Sana.
 
Kwema Wakuu!

Usije ukakurupuka huko baada ya kula zako Ugali matole, au mkande yako ya kisamvu ukaanza kujifanya mtetezi wa HAKI za Watanzania.

Kabla hujafanya hivyo ni muhimu kujiuliza, je ninaoenda kuwatetea HAKI zao wanahaki ya kutetewa? Yaani wanastahili kutetewa?

Mtu yeyote ambaye hahitaji kutetewa huyo huna HAKI ya kumtetea. Hustahili kumtetea.

Mtu ambaye hahitaji utetezi alafu wewe ukamtetea huyo ni kama nyoka mwenye sumu Kali. Nafikiri unaelewa nini hutokea unapoenda kumuokoa nyoka aliyekwenye Hatari.

Sio kila mtu anayeonewa anahitaji utetezi.

Wapo wanaostahili kuonewa. Yaani wapo watu ambao ni HAKI yao kuonewa. Haki ni kitu kizuri Sana lakini kwa upande mwingine HAKI ni mbaya Sana.

Yaani kuna mtu mtu anaweza kumwona anateseka kumbe yeye anaona hateseki. Hivyo hahitaji msaada wako. Hahitaji utetezi wako. Na endapo ukifanya hivyo wewe ndiye utaingia kwenye matatizo makubwa.

Hivyo ndivyo Watanzania wengi walivyo.

Usijiingize kwenye matatizo Kwa lengo la kumtetea mtu asiyestahili kutetewa. Hiyo Sio HEKIMA.

Ukiona kundi kubwa la watu linaonewa na kundi dogo basi elewa hapo huna haja ya kutetea HAKI za kundi kubwa linaloonewa kwa sababu hao wanastahili kuonewa.

Yaani haiwezekani watu Mia wawaonee watu milioni Moja alafu wewe uje utetee hao milioni Moja.

Ila ukiona watu milioni Moja wanaonea watu elfu Moja basi unaweza kutetea hao elfu Moja. Hiyo ni HAKI.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Haki zipi hizo ambazo Watanzania wanahitaji kutetewa?
 
Kwa kifupi Watanzania ni Wajinga na ujinga wao ndo mtaji mkubwa wa kikundi kidogo cha Wanasiasa kinachoshiba kwa kuwaibia hawa wajinga wasiojali hata kama wanaibiwa.
 
Back
Top Bottom