Usilale kioo cha delressing table unajiona

Sasa wewe si ni jini jamani unaogopa nini kulala na Kioo?
 
Hii itasaidiaje kupatikana amani ya kudumu huko mashariki ya kati?
Hii itasaidia sana kwa Sababu M23 watakuwa wakihamka wamechoka na hivyo kuacha kusumbua raia wa Congo
 
Hiyo yote ni kiwewe cha kuweza nunua dressing table. Utasema mengi sana mwaka huu. Baadaye utaanza sema umegundua pia kioo kinaweza kukusemesha au ukacheza nacho segere au draft.
 
Umechelewa sana kugundua Hilo,mabaharia hatukai na kioo geto
 
Umechelewa sana kugundua Hilo,mabaharia hatukai na kioo geto
Kwa kweli naona nimechelewa, na Unadhani hata lilikuwa lengo, ni hivi tu kwenye pilika za kununua kabati kwa ajili ya upangaji wa mavazi basi chaguo likaja na kioo fulani ndani yake na ndio hiki nachozungumzia
 
Hivi vitu mimi nilikuwa siviamini ila recently baada ya kianza kuvipractice nimeviamini, ofcourse sio uchawi ila vipo.
1. Kioo kama nlivokisema
². Kyogea chumvi
Hii imeniletea vitu vingi sana vya faida maishani mwangu na ni vya kudumu
3. Kuna vingine naogopa kuvifanya sababu vina matokeo makubwa either ya kuumiza mtu
 
Hizo ni hekaya za abunuasi mkuu,,
Ila ukweli ni kwamba usilale ikiwa kichwa chako umekielekeza mlangoni.
Mbaya sn AISEE.
Kila ninapolala kichwa kinaelekea mlangoni naweweaeka na kuota ndoto za kutisha sn.
 


Wewe jini kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…