Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa SawaMkuu, labda kuna shida nyingine ila kioo hakijawahi kua tatizo.
Nashangaa 😅😅😅Mkuu, labda kuna shida nyingine ila kioo hakijawahi kua tatizo.
Mtu mwenyewe anajiita Jini Kisiranii ndo tatizo linaanzia hapo.Sasa wewe si ni jini jamani unaogopa nini kulala na Kioo?
Acha uvivu kama unahisi kinafaida kwako fatilia mwenyeweTupeni ushahidi nyie mliofuatilia.
Shida na nyie mnaamini vitu vya mitandaoni bila shaka hii story ya vioo mmeitoa youtube au fb.Acha uvivu kama unahisi kinafaida kwako fatilia mwenyewe
Hahaa ndo hapo Sasa...Mtu mwenyewe anajiita Jini Kisiranii ndo tatizo linaanzia hapo.
Ujinga mtupu ndo unawasumbua. Kmaa kinabaki na copy chukua kioo nenda kaprint hiyo copyKioo ni sawa na photocopy image yako huwa inabakia kwenye kioo.
Wale wapumbavu wa usiku hawahitaji kushughulika na wewe live wanadili na image yako kwenye kioo
Nalala nacho kila siku, miaka nenda, miaka rudi, hakina shida yoyote.Kioo ni shida kubwa usibishe bila kifatilia
Hio technology bado isipokuwa fingerprint kwenye kioo ndo inapritiwaUjinga mtupu ndo unawasumbua. Kmaa kinabaki na copy chukua kioo nenda kaprint hiyo copy
Hii itasaidia sana kwa Sababu M23 watakuwa wakihamka wamechoka na hivyo kuacha kusumbua raia wa CongoHii itasaidiaje kupatikana amani ya kudumu huko mashariki ya kati?
Hongera kwa kuwa na dressing roomKwanza kwanini kabati la kuvalia nguo aweke chumbani? Ama analala dressing room?
Hiyo si kwenye kioo tu hata kwenye mbao au plasticHio technology bado isipokuwa fingerprint kwenye kioo ndo inapritiwa
Hiyo yote ni kiwewe cha kuweza nunua dressing table. Utasema mengi sana mwaka huu. Baadaye utaanza sema umegundua pia kioo kinaweza kukusemesha au ukacheza nacho segere au draft.Habarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
Umechelewa sana kugundua Hilo,mabaharia hatukai na kioo getoKumbe Kioo ndio majanga, basi ndio maana kila nikichakata ule uchakataji, nagusa moja nikijitahidi sana ya pili, baada ya hapo chali, nahisi hiki kioo kilichopo magetoni kinanimaliza nguvu
Haya sasa naenda kukitoa halafu naliamsha dude nione mziki wake🤣
Kwa kweli naona nimechelewa, na Unadhani hata lilikuwa lengo, ni hivi tu kwenye pilika za kununua kabati kwa ajili ya upangaji wa mavazi basi chaguo likaja na kioo fulani ndani yake na ndio hiki nachozungumziaUmechelewa sana kugundua Hilo,mabaharia hatukai na kioo geto
Hizo ni hekaya za abunuasi mkuu,,Habarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo
Habarini wakuu ndugu ,@ mshana.
Nlisoma mahali kuwwa kioo sio kitu kizuri, mm chumbani kabati la nguo katikati lina kioo kikubwa sana. Sasa nikilala nakuwa kama sijalalaa yaan nikiamka asubuhi kichwa kimevurugika, kimecgoka nina usingizi balaa na hauishi, sasa nina siku ya 4 nikilala naufungua mlango wenye kioo unalalia kwenye mlango mwingine nabana na begi ili usirudi, nashangaa hii hali imeisha nalala vizuri naamka sina uchovu wowote, na tangu nimeweka hiki kioo