Usile chakula bila kuwa na njaa, na kama humpendi mpishi furahia chakula kwa njaa zako maana

Usile chakula bila kuwa na njaa, na kama humpendi mpishi furahia chakula kwa njaa zako maana

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shibe na njaa vyote si shuruti huanza na kiu yako au njaa yako, mahaba kwa mpishi na mahaba kwa aina ya chakula.

Kama njaa Ina chakula basi nayo mapenzi ya njaa yake na kiu yake.

Sirudii mwenye akili aelewe mapenzi sio Gereza shiriki penzi kwa njaa na kiu yako sidhani kama mapenzi ni ujenzi wa nyumba.

Maisha ni sanaa na maisha ni akili

Pang Fung Mi
 
Nasikia huko ndoani ni kila siku sijui napo ni njaa ama ni tamaa ya ulafi ?
 
Shibe na njaa vyote si shuruti huanza na kiu yako au njaa yako, mahaba kwa mpishi na mahaba kwa aina ya chakula.

Kama njaa Ina chakula basi nayo mapenzi ya njaa yake na kiu yake.

Sirudii mwenye akili aelewe mapenzi sio Gereza shiriki penzi kwa njaa na kiu yako sidhani kama mapenzi ni ujenzi wa nyumba.

Maisha ni sanaa na maisha ni akili

Pang Fung Mi
Salimia wazee kwanza.Mbona umefika tu na kutorokea mjini?
 
Back
Top Bottom