Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
Tena walivo wabichi/watamu af washamba kwenye mapenzi, wahuni wa mujini wanajichukulia point tatu comfortably kwa kuwadanganya kwa shopping za nairobi (westgate mall, nakumat, shoprite.. ....
jioni jioni utaona v8, ford, prado imepaki pale kando ya chuo, jamaa anatoa kichwa kwenye tinted glasses, anaitwa msuper (xi xxx xi xi), mtoto wa watu huyooo fastafasta downstairs, anaingia kwa ndinga af stori inaenda kuishia paramela lodge..... hatareeee
Yani wa hivyo ,mens we use them for dating not for marrying
For me, No documents!!
Unakuta demu kaja vizuri ,wiki moja tu kachange nguo zote alizokuja nazo anadai anaenda na wakati ,
Unakuta demu kaja vizuri ,wiki moja tu kachange nguo zote alizokuja nazo anadai anaenda na wakati ,
Usinichekeshe,hiyo ipo hata kwenye vyuo vya walimu?
na usiombe kuwa na demu wa design hiyo utajutaaaa majangaaa majukumu yote kwako kama wewe ndio babayake
eti xir jyerphy anasema umetoka Meatu!
Ndo unakuja oa kabinti kama hako nakuambia lazima ujue kilichosababisha mkia wa mbwa kujikunja.
chatts55 usinivunje mbavuuu mie kwkwikwikwi Eshy.ms Karibu sans mujini lakini michezo ya ajabu, nope......:: joke::eti xir jyerphy anasema umetoka Meatu!
mi mtoto wa Maswa kwa mh.Shibuda hahahaha
asantee! ila mi michezo iyo sina naiogopaga sana!
Eeeh ndo nyinyi mlikua mnataka muwe host wa mkoa mpya wa simiu, muwachape fimbo bariadi... lol
Eeeh ndo nyinyi mlikua mnataka muwe host wa mkoa mpya wa simiu, muwachape fimbo bariadi... lol