Usilivunje daraja ambalo unaweza kujikuta unalivuka mara kwa mara

Usilivunje daraja ambalo unaweza kujikuta unalivuka mara kwa mara

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Screenshot_20241118_145036_Google.jpg

Hakika Maisha yana mambo mengi ya kushangaza na kustaajabisha sana,kuna mambo ambayo huenda hukuyategemea ukakuta yanatokea katika namna ambayo hukutarajia kabisa

Unapovuka daraja na kwenda upande wa pili basi usilivunje hilo daraja kwakuwa tu umevuka upande wa pili,huenda kuna siku ukahitaji kuvuka daraja hilo hilo tena na tena,kwani maisha yana njia zake zisizo tarajiwa

Unapofanikiwa katu usiwasahau walio bado kitaani endelea kujenga mahusiano mazuri nao kwani huenda kuna siku ukajikuta unawahitaji kwa namna moja au nyingine,unapokuwa juu vile vile usiwasahau walio chini yako kwani huenda likawa daraja ambalo huenda siku moja ukahitajika kulivuka kwenda katika mafanikio

Napenda kutoa mifano,kama miaka minne iliyopita wakati nipo kampuni fulani nilifahamiana na jamaa fulani ambao walikuja kwenye kampuni yetu kama washauri,niliwapokea vizuri na wakafanya kilicho waleta,sikuvunja daraja baada ya wao kuondoka kwani tuliendelea kuwasiliana hapa na pale

Leo hii daraja lile ambalo sikulivunja nimejikuta nalivuka tena na leo wale jamaa ambao walikuwa washauri wa kampuni yetu ndio maboss wangu wapya mpaka mda huu ninaoandika huu uzi,walinitafuta na sasa nafanya nao kazi

Hii yote imetokana na kutovunja daraja ambalo leo nimejikuta nalipita na kuvuka ng'ambo ya pili,haijalishi upo katika nafasi ipi na neema ipi,hakikisha hauvunji daraja ambalo huenda ipo siku moja litakuwezesha kuvuka upande wa pili na kwenda nchi ya ahadi

Ni hayo tu
 
Lucky Dube
The way it is​

Didn't I raise my voice
High enough for you
I was running like a fugitive all the time
Risking rejection from my own people yeah
Now that you got what you wanted
You don't even know my name
It's so funny, we don't talk anymore

Be good to the people on your
Way up the ladder
Cause you'll need them on your way down

[Chorus:]
That's the way it is

Didn't I raise my fists high enough for you
I guess I can't pat myself on the shoulder
For a job well done
Dodging bullets in the streets
I was there
Risking rejection from my own people
Now that you got what you wanted
You don't even know my name
Remember

Be good to the people on your way
Up the ladder 'cause you'll need
Them on your way down

[Chorus:]
That's the way it is
 
wengine wagumu kupiga simu kweli kweli

maongezi ni kazi

unatushaurije?
Kwanza pole sana kama kuzungumza tu ni kipengele kwenu

Nadhani ushawahi kusikia kwamba maisha ni koneksheni,kwahiyo mawasiliano ndio ambayo huyafanya yote haya kufanikiwa

Kwahiyo kikubwa ni kujitahidi kuwakumbuka baadhi ya wadau hata mara moja moja kwani kwakufanya hivyo nao watakukumbuka kwa namna moja au nyingine

Haihitaji mazungumzo mengi sana,just call na wape heloo yaliyo bakia Muachie Mungu
 
Doja Cat, Young Thug & More Hint At New Music On The Way | Billboard News

Share on Facebook Share on Twitter
Email
Print"The Way It Is" lyrics

Lucky Dube

"The Way It Is"


Didn't I raise my voice
High enough for you
I was running like a fugitive all the time
Risking rejection from my own people yeah
Now that you got what you wanted
You don't even know my name
It's so funny, we don't talk anymore

Be good to the people on your
Way up the ladder
Cause you'll need them on your way down

[Chorus:]
That's the way it is

Didn't I raise my fists high enough for you
I guess I can't pat myself on the shoulder
For a job well done
Dodging bullets in the streets
I was there
Risking rejection from my own people
Now that you got what you wanted
You don't even know my name
Remember

Be good to the people on your way
Up the ladder 'cause you'll need
Them on your way down

[Chorus:]
That's the way it is
Asante sana yani kama ulikuwa katika mawazo yangu yani bado kidogo niende youtube nipandishe hili song

Luck dube anazungumzia vizur kabisa maudhui ya uzi wangu

Thanks
 
Back
Top Bottom