Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea na story, ukimsikiliza kila mmoja utakata tamaa bure, huyo mwizi Buyobe yeye ana aina yake ya stories anazoiba (za kiuchunguzi) hivyo hawezi kuchukua hii.Daah umenifungua macho mkuu, Ingawa mi nlitaka ku share tu masaibu yaliyonikuta maishani mwangu, kumbe kuna mjinga anaweza kupiga hela bure wakati mi namaliza bandle langu bure,
Basi ngoja niishie hapa, Poleni sana Wadau,
Ntaiandika yote alafu ntaileta yote kwa pamoja,
Ngoja sasa nianze kujibu comment
Duu yaani hii dunia jamani. Kuna watu inafikia wanasema kuwa hakuna Mungu ila tusimpangie la kufanya juu yetuSEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi,
Endelea,,,,,,,,,,,,
Nikachomoka kiwandani nikapanda daladala pale nje huyoo paka town, Nikashuka pale nikadandia kosta ya moshi nauli buku mbili fresh,
Nikafanikiwa kufika moshi town pale, basi nikaona hieace za majengo, nikamuuliza konda zinafika majengo secondary akasema eeeh!! panda twende, Nikapanda pale ngoma ikajiachia hiyoo,
Basi tukafika sehemu konda akasema we wa sekondary sogea mbele, basi nikajivuta mbele, mara gari ikasimama nikashuka, Kumbe shule ipo njiani kabisa haina hata haja ya kuulizia, Maana nliposhuka tu nikaona wanafunzi, nikaona na kibao Majengo Secondary school nikasema yes mambo si ndo hayo, maana mi nlijua kuna mambo ya kuchukua bodaboda,
Basi nikasogea pale getini nikakuta mlinzi pale, nikamwelezea shida yangu, basi mlinzi akaniambia, bwana hata nikikuruhusu kuingia hutofanikiwa sababu mwalimu mkuu wiki ya pili sasa hayupo, Kaenda dodoma kwenye vikao vyao, na yeye ndo muhusika mkuu, Nikushauri tu uende alafu urudi siku nyingine, Basi nikasema sawa,
Basi nikaondoka zangu sijui hata nielekee wapi, Wakati nawaza au nirudi zangu nikapande gari nirudi Arusha basi nikaona upande wa pili zile fremu za maduka zilivyojipanga lazima zitakuwa zimezunguka uwanja wa mpira,
Basi wazo likanijia niingie huko ndani uwanjani, Basi kuna kageti hivi nikaingia kweli bana ni uwanja mkubwa sana wa mpira, Basi nikawa natembea tembea huko uwanjani na begi langu mgongoni,
Sa wakati natembea nikahisi kama kuna watu nyuma yangu, ile kugeuka hivi kweli bana kuna majamaa mawili yananifata, Nikipinda kushoto nao wana pinda, nikienda kulia nao wanaenda nikasema hawa ni vibaka, sasa hapa cha msingi ni kufunga mota tu, Basi kwa mbele kule kulikuwa kuna dada mmoja na yeye anapita pale uwanjani, Nikasema nikimbilie alipo yule dada,
Basi nikatoka nduki hiyo, jamaa wakaanza kunikimbiza, sasa wakawa wanapiga makelele kamata mwizi huyo!!, kamata mwizi huyoo!! , Basi yule dada alipogeuka akaniona nakimbilia ule upande wake akajua mi ndo mwizi, acha aachie yowe hilo, mwiziiii!!! Mwizi!!! huku anakimbia, heeeh! , Mara naona watu hao wanatoka pande tofauti tofauti wananikimbiza, basi nikasema nisimame, wale vibaka wakanikamata wakaanza kunipiga, wakachukua lile begi langu,
wananipiga wanasema mi mwizi,
Basi watu wakajaa nikaanza kupigwa, Najitetea jamani mimi si mwizi, wezi ni wale wamechukua begi langu, hakuna mtu ananisikiliza, Nikapigwa mtama huo,Nikaanguka chini, nikapigwa, Nikakatwa katwa, najaribu kujitetea hakuna mtu ananisikiliza, mwenye jiwe, mwenyet fimbo, mwenye rungu, mapanga ndo usiseme, nilipoona nimezidiwa nikainama chini wapige tu sehemu zote lakini si usoni,
Basi nikapigwa sana, yaani namaanisha sana yani, Mwili wote umetapakaa damu, basi mi nimejiinamia nalia tu, Nalia paka makamasi yanatoka yanachnganyikana na damu, Nasema jamani mnaniua mimi nimewakosea nini, msiniue jamani mimi si mwizi,
Basi nilipigwa na kitu hicho mgongoni nahisi ni tofali lile, nikasikia kama uti wa mgongo umevunjika yaani, nikajinyoosha nikalala na tumbo, hapo sa ndo naona nakufa sasa, maana nalia hata sauti haitooki, Watu hawajui mzee, waoo wanapiga tu, basi sasa nikawa siskii tena hata maumivu, wanapiga mi hata siskii,
Mara macho yakaingia nuru flani hivi kama miale ya jua la jioni, Basi nikawa naona kama naelea angani vile, Mara nikamwona Sity anakuja kunikumbatia anatabasamu na vidimpo vyake vile, Mara namwona Da J kama ananipa mikono hivi anipokee, Mara anatokea mama kama ananiita vile, namwona baba na yeye, Mara nikaona watu kama malaika hivi wanakuja kunichukua, mara wakapotea, nahisi fahamu zikawa zimenirudi nikawa naskia kelele za watu, kumbe bado wanajipigia tu mi sijui,
Basi nikaona kama nimekalishwa hivi, nikahisi kitu kama tairi nimevalishwa huku nikekaa, Mara namwagiwa kama maji hivi kumbe ni mafuta taa, nikajaribu kufungua macho kwa mbali nikaona watu wamenizunguka, mmoja ana kibiriti anahangaika kukiwasha, Basi nataka nimwambie nisamehe usifanye hivyo ila mdomo haufunguki, nataka ninyooshe mkono nimzuie ila siwezi, Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Itaendelea
[emoji22][emoji22]SEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi,
Endelea,,,,,,,,,,,,
Nikachomoka kiwandani nikapanda daladala pale nje huyoo paka town, Nikashuka pale nikadandia kosta ya moshi nauli buku mbili fresh,
Nikafanikiwa kufika moshi town pale, basi nikaona hieace za majengo, nikamuuliza konda zinafika majengo secondary akasema eeeh!! panda twende, Nikapanda pale ngoma ikajiachia hiyoo,
Basi tukafika sehemu konda akasema we wa sekondary sogea mbele, basi nikajivuta mbele, mara gari ikasimama nikashuka, Kumbe shule ipo njiani kabisa haina hata haja ya kuulizia, Maana nliposhuka tu nikaona wanafunzi, nikaona na kibao Majengo Secondary school nikasema yes mambo si ndo hayo, maana mi nlijua kuna mambo ya kuchukua bodaboda,
Basi nikasogea pale getini nikakuta mlinzi pale, nikamwelezea shida yangu, basi mlinzi akaniambia, bwana hata nikikuruhusu kuingia hutofanikiwa sababu mwalimu mkuu wiki ya pili sasa hayupo, Kaenda dodoma kwenye vikao vyao, na yeye ndo muhusika mkuu, Nikushauri tu uende alafu urudi siku nyingine, Basi nikasema sawa,
Basi nikaondoka zangu sijui hata nielekee wapi, Wakati nawaza au nirudi zangu nikapande gari nirudi Arusha basi nikaona upande wa pili zile fremu za maduka zilivyojipanga lazima zitakuwa zimezunguka uwanja wa mpira,
Basi wazo likanijia niingie huko ndani uwanjani, Basi kuna kageti hivi nikaingia kweli bana ni uwanja mkubwa sana wa mpira, Basi nikawa natembea tembea huko uwanjani na begi langu mgongoni,
Sa wakati natembea nikahisi kama kuna watu nyuma yangu, ile kugeuka hivi kweli bana kuna majamaa mawili yananifata, Nikipinda kushoto nao wana pinda, nikienda kulia nao wanaenda nikasema hawa ni vibaka, sasa hapa cha msingi ni kufunga mota tu, Basi kwa mbele kule kulikuwa kuna dada mmoja na yeye anapita pale uwanjani, Nikasema nikimbilie alipo yule dada,
Basi nikatoka nduki hiyo, jamaa wakaanza kunikimbiza, sasa wakawa wanapiga makelele kamata mwizi huyo!!, kamata mwizi huyoo!! , Basi yule dada alipogeuka akaniona nakimbilia ule upande wake akajua mi ndo mwizi, acha aachie yowe hilo, mwiziiii!!! Mwizi!!! huku anakimbia, heeeh! , Mara naona watu hao wanatoka pande tofauti tofauti wananikimbiza, basi nikasema nisimame, wale vibaka wakanikamata wakaanza kunipiga, wakachukua lile begi langu,
wananipiga wanasema mi mwizi,
Basi watu wakajaa nikaanza kupigwa, Najitetea jamani mimi si mwizi, wezi ni wale wamechukua begi langu, hakuna mtu ananisikiliza, Nikapigwa mtama huo,Nikaanguka chini, nikapigwa, Nikakatwa katwa, najaribu kujitetea hakuna mtu ananisikiliza, mwenye jiwe, mwenyet fimbo, mwenye rungu, mapanga ndo usiseme, nilipoona nimezidiwa nikainama chini wapige tu sehemu zote lakini si usoni,
Basi nikapigwa sana, yaani namaanisha sana yani, Mwili wote umetapakaa damu, basi mi nimejiinamia nalia tu, Nalia paka makamasi yanatoka yanachnganyikana na damu, Nasema jamani mnaniua mimi nimewakosea nini, msiniue jamani mimi si mwizi,
Basi nilipigwa na kitu hicho mgongoni nahisi ni tofali lile, nikasikia kama uti wa mgongo umevunjika yaani, nikajinyoosha nikalala na tumbo, hapo sa ndo naona nakufa sasa, maana nalia hata sauti haitooki, Watu hawajui mzee, waoo wanapiga tu, basi sasa nikawa siskii tena hata maumivu, wanapiga mi hata siskii,
Mara macho yakaingia nuru flani hivi kama miale ya jua la jioni, Basi nikawa naona kama naelea angani vile, Mara nikamwona Sity anakuja kunikumbatia anatabasamu na vidimpo vyake vile, Mara namwona Da J kama ananipa mikono hivi anipokee, Mara anatokea mama kama ananiita vile, namwona baba na yeye, Mara nikaona watu kama malaika hivi wanakuja kunichukua, mara wakapotea, nahisi fahamu zikawa zimenirudi nikawa naskia kelele za watu, kumbe bado wanajipigia tu mi sijui,
Basi nikaona kama nimekalishwa hivi, nikahisi kitu kama tairi nimevalishwa huku nikekaa, Mara namwagiwa kama maji hivi kumbe ni mafuta taa, nikajaribu kufungua macho kwa mbali nikaona watu wamenizunguka, mmoja ana kibiriti anahangaika kukiwasha, Basi nataka nimwambie nisamehe usifanye hivyo ila mdomo haufunguki, nataka ninyooshe mkono nimzuie ila siwezi, Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Itaendelea
Mhh ya kweli Haya?SEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi,
Endelea,,,,,,,,,,,,
Nikachomoka kiwandani nikapanda daladala pale nje huyoo paka town, Nikashuka pale nikadandia kosta ya moshi nauli buku mbili fresh,
Nikafanikiwa kufika moshi town pale, basi nikaona hieace za majengo, nikamuuliza konda zinafika majengo secondary akasema eeeh!! panda twende, Nikapanda pale ngoma ikajiachia hiyoo,
Basi tukafika sehemu konda akasema we wa sekondary sogea mbele, basi nikajivuta mbele, mara gari ikasimama nikashuka, Kumbe shule ipo njiani kabisa haina hata haja ya kuulizia, Maana nliposhuka tu nikaona wanafunzi, nikaona na kibao Majengo Secondary school nikasema yes mambo si ndo hayo, maana mi nlijua kuna mambo ya kuchukua bodaboda,
Basi nikasogea pale getini nikakuta mlinzi pale, nikamwelezea shida yangu, basi mlinzi akaniambia, bwana hata nikikuruhusu kuingia hutofanikiwa sababu mwalimu mkuu wiki ya pili sasa hayupo, Kaenda dodoma kwenye vikao vyao, na yeye ndo muhusika mkuu, Nikushauri tu uende alafu urudi siku nyingine, Basi nikasema sawa,
Basi nikaondoka zangu sijui hata nielekee wapi, Wakati nawaza au nirudi zangu nikapande gari nirudi Arusha basi nikaona upande wa pili zile fremu za maduka zilivyojipanga lazima zitakuwa zimezunguka uwanja wa mpira,
Basi wazo likanijia niingie huko ndani uwanjani, Basi kuna kageti hivi nikaingia kweli bana ni uwanja mkubwa sana wa mpira, Basi nikawa natembea tembea huko uwanjani na begi langu mgongoni,
Sa wakati natembea nikahisi kama kuna watu nyuma yangu, ile kugeuka hivi kweli bana kuna majamaa mawili yananifata, Nikipinda kushoto nao wana pinda, nikienda kulia nao wanaenda nikasema hawa ni vibaka, sasa hapa cha msingi ni kufunga mota tu, Basi kwa mbele kule kulikuwa kuna dada mmoja na yeye anapita pale uwanjani, Nikasema nikimbilie alipo yule dada,
Basi nikatoka nduki hiyo, jamaa wakaanza kunikimbiza, sasa wakawa wanapiga makelele kamata mwizi huyo!!, kamata mwizi huyoo!! , Basi yule dada alipogeuka akaniona nakimbilia ule upande wake akajua mi ndo mwizi, acha aachie yowe hilo, mwiziiii!!! Mwizi!!! huku anakimbia, heeeh! , Mara naona watu hao wanatoka pande tofauti tofauti wananikimbiza, basi nikasema nisimame, wale vibaka wakanikamata wakaanza kunipiga, wakachukua lile begi langu,
wananipiga wanasema mi mwizi,
Basi watu wakajaa nikaanza kupigwa, Najitetea jamani mimi si mwizi, wezi ni wale wamechukua begi langu, hakuna mtu ananisikiliza, Nikapigwa mtama huo,Nikaanguka chini, nikapigwa, Nikakatwa katwa, najaribu kujitetea hakuna mtu ananisikiliza, mwenye jiwe, mwenyet fimbo, mwenye rungu, mapanga ndo usiseme, nilipoona nimezidiwa nikainama chini wapige tu sehemu zote lakini si usoni,
Basi nikapigwa sana, yaani namaanisha sana yani, Mwili wote umetapakaa damu, basi mi nimejiinamia nalia tu, Nalia paka makamasi yanatoka yanachnganyikana na damu, Nasema jamani mnaniua mimi nimewakosea nini, msiniue jamani mimi si mwizi,
Basi nilipigwa na kitu hicho mgongoni nahisi ni tofali lile, nikasikia kama uti wa mgongo umevunjika yaani, nikajinyoosha nikalala na tumbo, hapo sa ndo naona nakufa sasa, maana nalia hata sauti haitooki, Watu hawajui mzee, waoo wanapiga tu, basi sasa nikawa siskii tena hata maumivu, wanapiga mi hata siskii,
Mara macho yakaingia nuru flani hivi kama miale ya jua la jioni, Basi nikawa naona kama naelea angani vile, Mara nikamwona Sity anakuja kunikumbatia anatabasamu na vidimpo vyake vile, Mara namwona Da J kama ananipa mikono hivi anipokee, Mara anatokea mama kama ananiita vile, namwona baba na yeye, Mara nikaona watu kama malaika hivi wanakuja kunichukua, mara wakapotea, nahisi fahamu zikawa zimenirudi nikawa naskia kelele za watu, kumbe bado wanajipigia tu mi sijui,
Basi nikaona kama nimekalishwa hivi, nikahisi kitu kama tairi nimevalishwa huku nikekaa, Mara namwagiwa kama maji hivi kumbe ni mafuta taa, nikajaribu kufungua macho kwa mbali nikaona watu wamenizunguka, mmoja ana kibiriti anahangaika kukiwasha, Basi nataka nimwambie nisamehe usifanye hivyo ila mdomo haufunguki, nataka ninyooshe mkono nimzuie ila siwezi, Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Itaendelea
Acha uwongoSEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi,
Endelea,,,,,,,,,,,,
Nikachomoka kiwandani nikapanda daladala pale nje huyoo paka town, Nikashuka pale nikadandia kosta ya moshi nauli buku mbili fresh,
Nikafanikiwa kufika moshi town pale, basi nikaona hieace za majengo, nikamuuliza konda zinafika majengo secondary akasema eeeh!! panda twende, Nikapanda pale ngoma ikajiachia hiyoo,
Basi tukafika sehemu konda akasema we wa sekondary sogea mbele, basi nikajivuta mbele, mara gari ikasimama nikashuka, Kumbe shule ipo njiani kabisa haina hata haja ya kuulizia, Maana nliposhuka tu nikaona wanafunzi, nikaona na kibao Majengo Secondary school nikasema yes mambo si ndo hayo, maana mi nlijua kuna mambo ya kuchukua bodaboda,
Basi nikasogea pale getini nikakuta mlinzi pale, nikamwelezea shida yangu, basi mlinzi akaniambia, bwana hata nikikuruhusu kuingia hutofanikiwa sababu mwalimu mkuu wiki ya pili sasa hayupo, Kaenda dodoma kwenye vikao vyao, na yeye ndo muhusika mkuu, Nikushauri tu uende alafu urudi siku nyingine, Basi nikasema sawa,
Basi nikaondoka zangu sijui hata nielekee wapi, Wakati nawaza au nirudi zangu nikapande gari nirudi Arusha basi nikaona upande wa pili zile fremu za maduka zilivyojipanga lazima zitakuwa zimezunguka uwanja wa mpira,
Basi wazo likanijia niingie huko ndani uwanjani, Basi kuna kageti hivi nikaingia kweli bana ni uwanja mkubwa sana wa mpira, Basi nikawa natembea tembea huko uwanjani na begi langu mgongoni,
Sa wakati natembea nikahisi kama kuna watu nyuma yangu, ile kugeuka hivi kweli bana kuna majamaa mawili yananifata, Nikipinda kushoto nao wana pinda, nikienda kulia nao wanaenda nikasema hawa ni vibaka, sasa hapa cha msingi ni kufunga mota tu, Basi kwa mbele kule kulikuwa kuna dada mmoja na yeye anapita pale uwanjani, Nikasema nikimbilie alipo yule dada,
Basi nikatoka nduki hiyo, jamaa wakaanza kunikimbiza, sasa wakawa wanapiga makelele kamata mwizi huyo!!, kamata mwizi huyoo!! , Basi yule dada alipogeuka akaniona nakimbilia ule upande wake akajua mi ndo mwizi, acha aachie yowe hilo, mwiziiii!!! Mwizi!!! huku anakimbia, heeeh! , Mara naona watu hao wanatoka pande tofauti tofauti wananikimbiza, basi nikasema nisimame, wale vibaka wakanikamata wakaanza kunipiga, wakachukua lile begi langu,
wananipiga wanasema mi mwizi,
Basi watu wakajaa nikaanza kupigwa, Najitetea jamani mimi si mwizi, wezi ni wale wamechukua begi langu, hakuna mtu ananisikiliza, Nikapigwa mtama huo,Nikaanguka chini, nikapigwa, Nikakatwa katwa, najaribu kujitetea hakuna mtu ananisikiliza, mwenye jiwe, mwenyet fimbo, mwenye rungu, mapanga ndo usiseme, nilipoona nimezidiwa nikainama chini wapige tu sehemu zote lakini si usoni,
Basi nikapigwa sana, yaani namaanisha sana yani, Mwili wote umetapakaa damu, basi mi nimejiinamia nalia tu, Nalia paka makamasi yanatoka yanachnganyikana na damu, Nasema jamani mnaniua mimi nimewakosea nini, msiniue jamani mimi si mwizi,
Basi nilipigwa na kitu hicho mgongoni nahisi ni tofali lile, nikasikia kama uti wa mgongo umevunjika yaani, nikajinyoosha nikalala na tumbo, hapo sa ndo naona nakufa sasa, maana nalia hata sauti haitooki, Watu hawajui mzee, waoo wanapiga tu, basi sasa nikawa siskii tena hata maumivu, wanapiga mi hata siskii,
Mara macho yakaingia nuru flani hivi kama miale ya jua la jioni, Basi nikawa naona kama naelea angani vile, Mara nikamwona Sity anakuja kunikumbatia anatabasamu na vidimpo vyake vile, Mara namwona Da J kama ananipa mikono hivi anipokee, Mara anatokea mama kama ananiita vile, namwona baba na yeye, Mara nikaona watu kama malaika hivi wanakuja kunichukua, mara wakapotea, nahisi fahamu zikawa zimenirudi nikawa naskia kelele za watu, kumbe bado wanajipigia tu mi sijui,
Basi nikaona kama nimekalishwa hivi, nikahisi kitu kama tairi nimevalishwa huku nikekaa, Mara namwagiwa kama maji hivi kumbe ni mafuta taa, nikajaribu kufungua macho kwa mbali nikaona watu wamenizunguka, mmoja ana kibiriti anahangaika kukiwasha, Basi nataka nimwambie nisamehe usifanye hivyo ila mdomo haufunguki, nataka ninyooshe mkono nimzuie ila siwezi, Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Itaendelea
Kama vipi mfiche aka ignore him ili usiwe unapata update zake mkuu.Acha uwongo
Dah vibaka wamekuuzia msala dah nimesikitika sana pole kwa yaliokukutaSEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi,
Endelea,,,,,,,,,,,,
Nikachomoka kiwandani nikapanda daladala pale nje huyoo paka town, Nikashuka pale nikadandia kosta ya moshi nauli buku mbili fresh,
Nikafanikiwa kufika moshi town pale, basi nikaona hieace za majengo, nikamuuliza konda zinafika majengo secondary akasema eeeh!! panda twende, Nikapanda pale ngoma ikajiachia hiyoo,
Basi tukafika sehemu konda akasema we wa sekondary sogea mbele, basi nikajivuta mbele, mara gari ikasimama nikashuka, Kumbe shule ipo njiani kabisa haina hata haja ya kuulizia, Maana nliposhuka tu nikaona wanafunzi, nikaona na kibao Majengo Secondary school nikasema yes mambo si ndo hayo, maana mi nlijua kuna mambo ya kuchukua bodaboda,
Basi nikasogea pale getini nikakuta mlinzi pale, nikamwelezea shida yangu, basi mlinzi akaniambia, bwana hata nikikuruhusu kuingia hutofanikiwa sababu mwalimu mkuu wiki ya pili sasa hayupo, Kaenda dodoma kwenye vikao vyao, na yeye ndo muhusika mkuu, Nikushauri tu uende alafu urudi siku nyingine, Basi nikasema sawa,
Basi nikaondoka zangu sijui hata nielekee wapi, Wakati nawaza au nirudi zangu nikapande gari nirudi Arusha basi nikaona upande wa pili zile fremu za maduka zilivyojipanga lazima zitakuwa zimezunguka uwanja wa mpira,
Basi wazo likanijia niingie huko ndani uwanjani, Basi kuna kageti hivi nikaingia kweli bana ni uwanja mkubwa sana wa mpira, Basi nikawa natembea tembea huko uwanjani na begi langu mgongoni,
Sa wakati natembea nikahisi kama kuna watu nyuma yangu, ile kugeuka hivi kweli bana kuna majamaa mawili yananifata, Nikipinda kushoto nao wana pinda, nikienda kulia nao wanaenda nikasema hawa ni vibaka, sasa hapa cha msingi ni kufunga mota tu, Basi kwa mbele kule kulikuwa kuna dada mmoja na yeye anapita pale uwanjani, Nikasema nikimbilie alipo yule dada,
Basi nikatoka nduki hiyo, jamaa wakaanza kunikimbiza, sasa wakawa wanapiga makelele kamata mwizi huyo!!, kamata mwizi huyoo!! , Basi yule dada alipogeuka akaniona nakimbilia ule upande wake akajua mi ndo mwizi, acha aachie yowe hilo, mwiziiii!!! Mwizi!!! huku anakimbia, heeeh! , Mara naona watu hao wanatoka pande tofauti tofauti wananikimbiza, basi nikasema nisimame, wale vibaka wakanikamata wakaanza kunipiga, wakachukua lile begi langu,
wananipiga wanasema mi mwizi,
Basi watu wakajaa nikaanza kupigwa, Najitetea jamani mimi si mwizi, wezi ni wale wamechukua begi langu, hakuna mtu ananisikiliza, Nikapigwa mtama huo,Nikaanguka chini, nikapigwa, Nikakatwa katwa, najaribu kujitetea hakuna mtu ananisikiliza, mwenye jiwe, mwenyet fimbo, mwenye rungu, mapanga ndo usiseme, nilipoona nimezidiwa nikainama chini wapige tu sehemu zote lakini si usoni,
Basi nikapigwa sana, yaani namaanisha sana yani, Mwili wote umetapakaa damu, basi mi nimejiinamia nalia tu, Nalia paka makamasi yanatoka yanachnganyikana na damu, Nasema jamani mnaniua mimi nimewakosea nini, msiniue jamani mimi si mwizi,
Basi nilipigwa na kitu hicho mgongoni nahisi ni tofali lile, nikasikia kama uti wa mgongo umevunjika yaani, nikajinyoosha nikalala na tumbo, hapo sa ndo naona nakufa sasa, maana nalia hata sauti haitooki, Watu hawajui mzee, waoo wanapiga tu, basi sasa nikawa siskii tena hata maumivu, wanapiga mi hata siskii,
Mara macho yakaingia nuru flani hivi kama miale ya jua la jioni, Basi nikawa naona kama naelea angani vile, Mara nikamwona Sity anakuja kunikumbatia anatabasamu na vidimpo vyake vile, Mara namwona Da J kama ananipa mikono hivi anipokee, Mara anatokea mama kama ananiita vile, namwona baba na yeye, Mara nikaona watu kama malaika hivi wanakuja kunichukua, mara wakapotea, nahisi fahamu zikawa zimenirudi nikawa naskia kelele za watu, kumbe bado wanajipigia tu mi sijui,
Basi nikaona kama nimekalishwa hivi, nikahisi kitu kama tairi nimevalishwa huku nikekaa, Mara namwagiwa kama maji hivi kumbe ni mafuta taa, nikajaribu kufungua macho kwa mbali nikaona watu wamenizunguka, mmoja ana kibiriti anahangaika kukiwasha, Basi nataka nimwambie nisamehe usifanye hivyo ila mdomo haufunguki, nataka ninyooshe mkono nimzuie ila siwezi, Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Itaendelea
Usijali mkuu, ndo imeishia hapoHii story jaribu kuisummarize uimalize haraka ILI usiingie kwenye majaribu ya kusema uongo. Mfano Sity kufukuza basis n.k
Ni ushauri tu mkuu!
Imeishaje sasaUsijali mkuu, ndo imeishia hapo
Si nikafaImeishaje sasa
Si nikafa
Si nikafa
SEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi,
Endelea,,,,,,,,,,,,
Nikachomoka kiwandani nikapanda daladala pale nje huyoo paka town, Nikashuka pale nikadandia kosta ya moshi nauli buku mbili fresh,
Nikafanikiwa kufika moshi town pale, basi nikaona hieace za majengo, nikamuuliza konda zinafika majengo secondary akasema eeeh!! panda twende, Nikapanda pale ngoma ikajiachia hiyoo,
Basi tukafika sehemu konda akasema we wa sekondary sogea mbele, basi nikajivuta mbele, mara gari ikasimama nikashuka, Kumbe shule ipo njiani kabisa haina hata haja ya kuulizia, Maana nliposhuka tu nikaona wanafunzi, nikaona na kibao Majengo Secondary school nikasema yes mambo si ndo hayo, maana mi nlijua kuna mambo ya kuchukua bodaboda,
Basi nikasogea pale getini nikakuta mlinzi pale, nikamwelezea shida yangu, basi mlinzi akaniambia, bwana hata nikikuruhusu kuingia hutofanikiwa sababu mwalimu mkuu wiki ya pili sasa hayupo, Kaenda dodoma kwenye vikao vyao, na yeye ndo muhusika mkuu, Nikushauri tu uende alafu urudi siku nyingine, Basi nikasema sawa,
Basi nikaondoka zangu sijui hata nielekee wapi, Wakati nawaza au nirudi zangu nikapande gari nirudi Arusha basi nikaona upande wa pili zile fremu za maduka zilivyojipanga lazima zitakuwa zimezunguka uwanja wa mpira,
Basi wazo likanijia niingie huko ndani uwanjani, Basi kuna kageti hivi nikaingia kweli bana ni uwanja mkubwa sana wa mpira, Basi nikawa natembea tembea huko uwanjani na begi langu mgongoni,
Sa wakati natembea nikahisi kama kuna watu nyuma yangu, ile kugeuka hivi kweli bana kuna majamaa mawili yananifata, Nikipinda kushoto nao wana pinda, nikienda kulia nao wanaenda nikasema hawa ni vibaka, sasa hapa cha msingi ni kufunga mota tu, Basi kwa mbele kule kulikuwa kuna dada mmoja na yeye anapita pale uwanjani, Nikasema nikimbilie alipo yule dada,
Basi nikatoka nduki hiyo, jamaa wakaanza kunikimbiza, sasa wakawa wanapiga makelele kamata mwizi huyo!!, kamata mwizi huyoo!! , Basi yule dada alipogeuka akaniona nakimbilia ule upande wake akajua mi ndo mwizi, acha aachie yowe hilo, mwiziiii!!! Mwizi!!! huku anakimbia, heeeh! , Mara naona watu hao wanatoka pande tofauti tofauti wananikimbiza, basi nikasema nisimame, wale vibaka wakanikamata wakaanza kunipiga, wakachukua lile begi langu,
wananipiga wanasema mi mwizi,
Basi watu wakajaa nikaanza kupigwa, Najitetea jamani mimi si mwizi, wezi ni wale wamechukua begi langu, hakuna mtu ananisikiliza, Nikapigwa mtama huo,Nikaanguka chini, nikapigwa, Nikakatwa katwa, najaribu kujitetea hakuna mtu ananisikiliza, mwenye jiwe, mwenyet fimbo, mwenye rungu, mapanga ndo usiseme, nilipoona nimezidiwa nikainama chini wapige tu sehemu zote lakini si usoni,
Basi nikapigwa sana, yaani namaanisha sana yani, Mwili wote umetapakaa damu, basi mi nimejiinamia nalia tu, Nalia paka makamasi yanatoka yanachnganyikana na damu, Nasema jamani mnaniua mimi nimewakosea nini, msiniue jamani mimi si mwizi,
Basi nilipigwa na kitu hicho mgongoni nahisi ni tofali lile, nikasikia kama uti wa mgongo umevunjika yaani, nikajinyoosha nikalala na tumbo, hapo sa ndo naona nakufa sasa, maana nalia hata sauti haitooki, Watu hawajui mzee, waoo wanapiga tu, basi sasa nikawa siskii tena hata maumivu, wanapiga mi hata siskii,
Mara macho yakaingia nuru flani hivi kama miale ya jua la jioni, Basi nikawa naona kama naelea angani vile, Mara nikamwona Sity anakuja kunikumbatia anatabasamu na vidimpo vyake vile, Mara namwona Da J kama ananipa mikono hivi anipokee, Mara anatokea mama kama ananiita vile, namwona baba na yeye, Mara nikaona watu kama malaika hivi wanakuja kunichukua, mara wakapotea, nahisi fahamu zikawa zimenirudi nikawa naskia kelele za watu, kumbe bado wanajipigia tu mi sijui,
Basi nikaona kama nimekalishwa hivi, nikahisi kitu kama tairi nimevalishwa huku nikekaa, Mara namwagiwa kama maji hivi kumbe ni mafuta taa, nikajaribu kufungua macho kwa mbali nikaona watu wamenizunguka, mmoja ana kibiriti anahangaika kukiwasha, Basi nataka nimwambie nisamehe usifanye hivyo ila mdomo haufunguki, nataka ninyooshe mkono nimzuie ila siwezi, Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Itaendelea