Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,552
- 2,741
Mkuu kama bando shida weka namba tukutumieDaah umenifungua macho mkuu, Ingawa mi nlitaka ku share tu masaibu yaliyonikuta maishani mwangu, kumbe kuna mjinga anaweza kupiga hela bure wakati mi namaliza bandle langu bure,
Basi ngoja niishie hapa, Poleni sana Wadau,
Ntaiandika yote alafu ntaileta yote kwa pamoja,
Ngoja sasa nianze kujibu comment