Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Daaaah kote tumecheka na kusikitika lkn hapa #15 its too sad. Hili jaribu lilikuwa zito sana. Pole sana mkuu kwa uliyopitia hizi elimu zetu hizi daaah.
 
Vp kuhusu mwanao yule wa kijijini mbona humgusii tena kwenye stori zako
 
Ukisoma story yote ndio utagundua uhalisia wa hiyo Title.

Msimuliaji Yupo sahihi. Hekaheka za kunusurika kufa kazipata akiwa Arusha.
 
Kama ulikwisha safiri nje ya Tanzania unajua passport ni nini. Wakati mi naonyesha ujuaji, wee unaonyesha umbumbumbu. Kwamba kwenu picha zinaitwa passport. Katika akili yako unajua kabisa kuwa picha zinajulikana kama passport!!??
Acha ujuaji, wakati unaelewa kabisa anamaanisha passport size
 
Akili nyingi mtu wangu, umeandika ki uanaume sana.
 
Mtoa story kama ni story ya ukweli basi mtoa mada ni msimulizi mzuri na mwandishi hodari, kama niyakutunga mmsimulizi ni mwerevu sna , kama kakopy mahali basi mtoa mada anajua watu wanataka nini na anafaa kuwa kiongozi hodari.[emoji122]
 
Kwa Sasa nimeanza kuelewa mahusiano ya kichwa Cha Uzi na masimulizi yako. Nategemea utakuja kuishia baada ya kuamua kurudi nyumbani na kuaga vizuri maisha yalikuwa mazuri na Sasa yanaendelea vizuri. Pole sana na hongela kwa simulizi la maisha yako
 
Hii nchi hii, ndiyo maana mtu kama Jiwe aliweza kuwa Rais
 
Uko sahihi mkuu,watoto wali nazi ndio wataona hii ni chai,ila kuna visa tukija kuvitoa humu raia wataona ni chai ilozidi tangawizi tena bila kashata,au ni movie la Kihindi kumbe ndio uhalisia wa maisha yetu.
 
Kama ulikwisha safiri nje ya Tanzania unajua passport ni nini. Wakati mi naonyesha ujuaji, wee unaonyesha umbumbumbu. Kwamba kwenu picha zinaitwa passport. Katika akili yako unajua kabisa kuwa picha zinajulikana kama passport!!??
Huna akili, nyie ndiyo darasani mlikuwa mnakariri tu. Umesema passport huwezi pata ndani ya siku moja ila akili yako imekwambia alipeleka passport ya kusafiria then unabisha, sasa hapo unadhani uko sawa kichwani? Ni sawa na wale wanaosema jamaa aka left group, wewe na akili zako utaanza kubisha kwa kuwa ulitaka waseme jamaa aka leave group. Akili matope hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…