Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Jela, kel,jela, daaah pole Sana ninamiezi 9 toka nitoke huko, nilikaa miezi 8 huko nikiwa mahabusu. Ogopa Jela kwenye Biblia wanasema dini iliyosafi ni kutembelea wafungwa. Hakika wafungwa wote siyo wabaya na siyo wote wametenda uhalifu. Pole sana.
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Nasikia uko jela mnalala mchongoma,vipi uko jela mahali ulipokuwaga
 
Kweli bongo nyoso hadi gerezani tunaoneana wivu na chuki
Gereza ni Kama Kijiji fulani hivi chenye Sheria Kali. Mle Kuna matajiri wanyonge kila kitu. Wachawi ,waganga . Pia wambeya waongo bila kusahau humo kunavibaka pia. Walawiti wapo. Mkuu huko kunawafanyabiashara wa nyanya, dagaa, kalanga mboga za majani etc. Mkuu hicho ni Kijiji kamili kabisa
 
Hadi sasa Nilichojifunza toka kwenye hii simulizi:
  • Ni kweli ukiingia kwenye Mji/ Nchi ya ugenini ni rahisi kuingia matatizoni hasa kama huna mwenyeji wa kukuongoza. Hii inatoa uhalisia hata wale wanaokwenda kutafuta maisha nje ya Nchi bila connection, nao wanapitia matatizo mengi.
  • Vijana wengi wasomi baada ya ajira kusitishwa na JPM, wamejikuta wanaishia kufanya kazi ambazo hawakuzisomea na kupelekea ndoto zao za mafanikio kufifia
  • Sio Wote wanaochomwa moto kwa kuhisiwa Vibaka kumbe wengine sio wezi, ni vibaka wanawageuzia kibao watu wema na kuwaingiza matatizoni. (Tujenge tabia ya kupata ukweli kabla ya kuhukumu mtu)
  • Sio wote wanaofungwa wanakuwa ni wakosaji, wengine wanafungwa wakiwa hawana hatia
  • Wanawake wanauwezo wa kujiegesha sehemu kwa lengo la kupata Mchumba/Mume wamtakae. Mfano tumeona jinsi Sity alivyojenga tabia ya kwenda kujisomea UDSM huku akiwa na mawindo yake. Alifanikiwa kumtega mtoa mada kwa kumtanulia mapaja ili amchungulie vizuri, kisha akajipeleka mwenyewe akakae na kupiga story na mtoa mada kisha akafanikiwa alichokitaka.
  • Sity huyohuyo ametuonyesha matendo ya wife material anavyotakiwa kuwa, kumsapoti mtu unayempenda hasa anapokuwa kwenye matatizo. Alijaribu kumpambania japo hakuwa na uwezo, na namna alivyokuwa anamuamsha usiku ili agegedwe. Hii kitu binafsi sijawahi kuiona kwa wanawake wengine niliowahi kuwaonja.
  • Sehemu tunazoishi tujifunze kuishi vizuri na majirani. Tumeona jinsi jirani Da J alivyokuwa anamsaidia mtoa mada kwenye hali ngumu na kimawazo.
  • Baadhi yetu hatuna utamaduni wa kwenda Msikitini wala Kanisani, hivyo hatuoni haja ya kumshirikisha Mungu matatizo yetu hata tunapookuwa kwenye matatizo.
Yaaah
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Ila Mkuu mm niwe muwazi tu wizi ulomfanyia mwenzako wa PC ndo sababu ya yote hayo yalokukuta fimbo ya Mungu imekuchapa haswaaa na hili ni funzo kwa wengine wizi sio mzuri ona sasa ulivoteseka vyote hivo

ila Pole mkuu ndo Maisha
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Dah!!! We jamaa wewe. Mbona unatisha hivyo, kila sehemu mtego sasa huda ya jela nini tena
 
Mkuu uku raia wanakusubiria ushushe nondo
20220403_201135.jpg
 
Unataka aanze kulingana ubongo ama mind itakavyo comply or contemplate. Mbona watu hamuheshimu tofauti tulizo nazo binadamu mkuu. Mie mfano mpira sipendi yaani naonaga watu wanajazana nawatani kuwa suala la kuona mwanaume mwenzangu akimeki mane namie napoteza muda hiyo jobu Sina.
Ila Sasa akija hapa like Shakira hata Kama kiingilio 10M ninayo nitaenda kumcheki MTT wa kilatino. Ama wanamieleka akina Huko Hougan na Cena wakija hapa bongo kwa show nahudhuria Kama iyo gharama naimudu.
Hujui kuwa Ana Mana gani kuanza kuelezea ivyo. Yaani Kuna logic behind so Kama huwezi Iona subiria huko mbele mkuu.
Kila mtu huwa Ana namna ya kuwasilisha kitu. Yaani umeshawahi kuwa na marafiki wa madhehebu yote ama dini ambazo sio asili ya afrika ukawauliza ni kwa Nini unasali ama kuswali ama kuabudu hapo ulipo kila mtu Ana reasons zake na ziko sawa kulingana na yeye.
Listen two men, one says impossible and onother says possible both are equal/alright.
Halafu Sasa mfano kupinga baadhi ya vitu vya maana huo ubavu hatuna. Mfano umeshawahi kuona detects zilizopo katika Newton's laws kweli. Ama Tesla alivyogundua umeme umeshawahi fanya research ukatoa andiko kuwa ni kwa Nini alianza vibaya wewe ukaweka vizuri.
Ama hizi chanjo u critize mkuu negative sides zake uje na njia mzuri ya chanjo.
Ama namna ya barabara zinavyojengwa uje na materials mbadala ya kutumia tusitumie lami Mana ghali sana.uje na option ya material simple Sana cheap ili uokoe our global Kama watu walivyokuja na magari ya umeme ili kuiokoa our global na global warming Mana tunaharibu ozone.

Sasa Kama huwezi Bora ukakaa kimya ili tupeane koneksheni na kupeana ujanja wa kula mbususu mpaka itetemeke Mana blacks hatuna zaidi ya akili ya kuichakata mbususu ili ituheshimu.

Yaani mie unakuta mtu anakuwa makini kinouma nukta kwa nukta badala hata uje na mbadala wa songaz, bandari ya bagamoyo kwa mustakabali wa Taifa letu. Ama elimu gani kizazi Cheri kipate ili kisitegemee ajira Bali waweze kujiajiri.
Unajua wakati mwingine ili hata stori inoge wakosoaji kama sisi ndo tuna fanya uzi uwe na ladha ...si kwa ubaya lakini eb fikiria watu wote humu tuseme stori ni nzuri ni kitu ambacho hakiwezekani watu kama sisi tuna nafasi yetu pia tuheshimiwe ....... natamani nikujibu hoja yako ya kumsahihisha mtoa uzi sema mimi ni mvivu kuandika ....inshort challenge ni sehemu ya stori [emoji1666][emoji1666]
 
Ila Mkuu mm niwe muwazi tu wizi ulomfanyia mwenzako wa PC ndo sababu ya yote hayo yalokukuta fimbo ya Mungu imekuchapa haswaaa na hili ni funzo kwa wengine wizi sio mzuri ona sasa ulivoteseka vyote hivo

ila Pole mkuu ndo Maisha
Hii inawezekana ikawa ndio chanzo cha matatizo.

Kumbuka yule Mganga aliwapa dawa Room mate wote na kuna maneno aliyanuia ndio hayo yamesababisha hekaheka hizi. Ili awe salama inabidi arudi kule kwa yule Mganga akakiri kosa lake kisha akamuondolee hii laana inayomuandama.

Jamaa anaweza kuwa mtu wa mateso maisha yake yote.
 
Hakuna kitu kibaya kama kumaliza chuo tena umesomea kozi ngumu kama hiyo afu unakosa ajira,nimejipanga kuhakikisha wanangu wasipitie hii hali kama nitakuwepo.

Niliwahi kuhahirisha kozi ya mechanical engineering baada ya kusikiliza story za lecture wetu alituambia kama huwezi kupata GPA ya 4 sahau kupata kazi sehemu nzuri sana sana utaishia kufanya kazi kwenye viwanda vya wahindi na mshahara hautazidi laki 4,pia niliangalia mtaani kuna mafundi kibao tu tena wazuri hata vyeti hawana kwanini mimi nihangaike kusoma madude magumu hivi afu huko mtaani hapaeleweki.
Niliacha chuo,baada ya mwaka mmoja nikaomba kusoma kozi nyingine
nina mwanangu wa DIT anauza kahawa na kashata tanga mjini
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,

Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi ningesepaga home kama Kidosho, Nikamkumbuka Happy na Mwanamgu Joyce, toka nimwone kwenye picha sijawahi kumwona tena, nikawaza saivi atakuwa mkubwa, sijui kama nitawaona tena

Endelea,,,,,,,,,,,,,,

Siku ile ni kama sikulala kabisa, nawaza mambo kibao, nawaza sijui hukumu itakuwaje, Upande mmoja naona kama ntaachiwa huru,upande mwingine naona kama nitafungwa, Najiuliza hivi nikifungwa itakuwaje,

Kesho yake asubuhi wale ambao tuna kesi mahakamani tukapandishwa kwenye karandinga la magereza tukaelekea mahakamani, Tulipofika mahakamani tukafungiwa kwenye chumba kimoja pale mahakamani, hakina dirisha, mlango ni wa grili kwaiyo mnajazana mlangoni mnachungulia uone kama utaotea mtu unae mjua, basi wengine wakipiga makelele pale mlangoni wakiwasemesha watu wanaopita karibu mi nimetulia zangu kwenye kona naskilizia,

Muda wa kesi yangu kutajwa ukafika, nikaitwa jina pale, mlango ukafunguliwa nikatoka kuelekea kizimbani, Mwendesha mashtaka akaisoma kesi pale, akasema mahakama ipo tayari kwa ajili ya kutoa hukumu,

Wote tukawa kimya tunamsubiri hakimu aseme, basi hakimu akasema kutokana na ushahidi uliotolewa na kwa jinsi mtuhumiwa alivyojitetea, mahakama imememkuta mtuhumiwa na hatia, Kabla ya kutoa hukumu akawapa nafasi wale wazee wa mahakama nao watoe maoni yao,

Mzee mmoja akasimama akasema kutokana na vitendo vya wizi kuongezeka katika manispaa ya moshi,anaiomba mahakama itoe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine, Nikaona kama mwili umeisha nguvu, kama kizunguzungu vile,

Hakimu akaendelea, akasoma vipengele vyake vya sheria, mwisho akasema nimehukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani,

Nikatolewa pale nikarudishwa kwenye kile chumba nisubiri muda wa kurudishwa magereza, Sasa nawaza nivipi nitaanza maisha mapya ya gerezani, zile stori zote za gerezani nilizokuwa nazisikia sasa naenda kukutana nazo, Yaani sasa nikajua watu ni wabaya aiseeh!,

Muda ukafika tukapandishwa karandinga haoo gerezani, Kufika pale nikapelekwa kwa mkuu wa gereza, nikapewa maelezo ya jinsi ya kuishi mule gerezani, Nikapewa jezi zangu za orange zimeandikwa magereza tanzania, fulu suti kuanzia kofia paka chini, askari mmoja akaniletea maviatu flani hivi kama mabuti mabaya mabaya maana nilikuwa sina hata ndala,

Maisha ya jela yakaanza,
Mule ndani nikakutana na jamaa mmoja hivi ni mtu wa dini sana, yani yeye kuswali muda wote, ana bonge la singda usoni, Jamaa alinisaidia sana kunijenga kisaikolojia, akaniambia miezi sita si mingi, tena akapiga hesabu zake akasema hapa ni miezi minne tu unakaa, kwaiyo usiwaze, Wenzio hapa tuna namba ndefu, we unatoka kesho tu hapa, kwanza shukuru huyo hakimu kakuhurumia,kwa kesi yako ulitakiwa kula kuanzia mvua tatu,

Mi nikamwambia sawa,shida yangu ni kuwa mi sijafanya hilo kosa, akasema hiyo kawaida mbona, Akanionesha mzee mmoja, akaniambia unamwona yule, kala maisha na kosa hajafanya, akanionesha mwingine unamwona yule kala 30 na kosa hajafanya ,kwaiyo wala usiwaze, ila nikusihi tu ukitaka kuishi vizuri humu ndani we fata sheria,usiwe mkorofi, usipende makundi, usipende vitu vya watu, Basi tukapiga stori sana na jamaa paka usiku sana tukalala,

Mule ndani si kubaya kama nilivyokuwa nasikiaga, hakuna tofauti na shule, Kuna TV kubwa tu tunakula muvi,news, kuna draft, kuna uwanja wa mpira,yaani pako poa tu,

Maisha ya jela ndo hivyo yakaendelea,mwanzoni ni magumu sana, ugali maharage saa nane ndo imetoka hiyo, Kulima ndo usiseme, gereza lina shamba kubwa hilo, tunalima mahindi, maharage, kahawa ndo usiseme, mboga mboga, kuna mabwawa ya kufuga samaki, ng'ombe utachunga, kuna kiwanda cha mabuti ya jeshi, kuna kiwanda cha mikate ila huko ni wafungwa wanawake ndo wanapelekwa,

Sehemu nzuri za kula bata ni huko viwandani ila huku kwingine ni tabu tupu, yaani unasimamiwa na nyapara kulima unachapwa kama mtoto, Siku nyingine tunabebwa na karandinga tunapelekwa mbali huko kuna mashamba makubwa mzee unalima trekta likasome,

Basi mi nikafata yale jamaa aliyonihusia,nikawa sina time na mtu, nikiambiwa na afande fanya hivi chap kwa haraka nafanya, vitu vya watu sina time navyo, rafiki yangu ni yule jamaa tu,

Basi hakuna kazi nilikuwa siipendi kama kulima, nilikuwa natamani sana nipangiwe huko kiwandani, Basi siku moja tumeenda huko kiungi kulima, askari aliyekuwa anatusimamia nikamsikia anaongea na mwenzake kuwa kesho yeye atakuwa kiwandani, basi nikasema chance ndo hii, badae nikamfta yule afande, Nikamwomba anifanyie mpango na mimi nifanye huko kiwandani, Akasema basi kesho ukiniona nakuja kuchukua wafungwa na wewe uje,nikasema sawa,

Kweli kesho nikamwona kaja kuchukua wafungwa,na mimi nikajipeleka basi akanihesabu, tukaingia huko kiwandani, huko kweli ni bata, hakuna cha nyapara wala nini, ni nyinyi tu na maafande, hakuna kufatiliana, ni kugonga kazi tu, Kwanza mnafanya kazi mme rilax, mmekaa kwenye viti mnapiga stori,muda ukifika mnagonga chai, saa ngapi ngapi mnagonga maziwa yaani fresh, nikasema maisha ndo haya sasa, sio kule kuchapana mafimbo kama ng'ombe,

Basi nikawa nna nidhamu kweli,yule askari akanipenda sana, siku nyingine kama hatuingii kiwandani basi ananipangia kazi ambazo haziumizi, basi maisha yakawa yanaenda,

Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,

Itaendelea


,
Aisee mkuu duh sio pouwa
 
Hadi sasa Nilichojifunza toka kwenye hii simulizi:
1. Ni kweli ukiingia kwenye Mji/ Nchi ya ugenini ni rahisi kuingia matatizoni hasa kama huna mwenyeji wa kukuongoza. Hii inatoa uhalisia hata wale wanaokwenda kutafuta maisha nje ya Nchi bila connection, nao wanapitia matatizo mengi.

2. Vijana wengi wasomi baada ya ajira kusitishwa na JPM, wamejikuta wanaishia kufanya kazi ambazo hawakuzisomea na kupelekea ndoto zao za mafanikio kufifia

3. Sio Wote wanaochomwa moto kwa kuhisiwa Vibaka kumbe wengine sio wezi, ni vibaka wanawageuzia kibao watu wema na kuwaingiza matatizoni. (Tujenge tabia ya kupata ukweli kabla ya kuhukumu mtu)

4. Sio wote wanaofungwa wanakuwa ni wakosaji, wengine wanafungwa wakiwa hawana hatia

5. Wanawake wanauwezo wa kujiegesha sehemu kwa lengo la kupata Mchumba/Mume wamtakae. Mfano tumeona jinsi Sity alivyojenga tabia ya kwenda kujisomea UDSM huku akiwa na mawindo yake. Alifanikiwa kumtega mtoa mada kwa kumtanulia mapaja ili amchungulie vizuri, kisha akajipeleka mwenyewe akakae na kupiga story na mtoa mada kisha akafanikiwa alichokitaka.

6. Sity huyohuyo ametuonyesha matendo ya wife material anavyotakiwa kuwa, kumsapoti mtu unayempenda hasa anapokuwa kwenye matatizo. Alijaribu kumpambania japo hakuwa na uwezo, na namna alivyokuwa anamuamsha usiku ili agegedwe. Hii kitu binafsi sijawahi kuiona kwa wanawake wengine niliowahi kuwaonja.

7. Sehemu tunazoishi tujifunze kuishi vizuri na majirani. Tumeona jinsi jirani Da J alivyokuwa anamsaidia mtoa mada kwenye hali ngumu na kimawazo.

8. Baadhi yetu hatuna utamaduni wa kwenda Msikitini wala Kanisani, hivyo hatuoni haja ya kumshirikisha Mungu matatizo yetu hata tunapookuwa kwenye matatizo.
Hyo namba 7 ni changamoto. Mana kuna majiran ukijuana juana nao ndo mwanzo wa kufatiliana maisha utaskia oooh unafanya kaz gan, kwenu wapi, unamiliki nn yaan full kuchorana. Mm izo mambo hua spendi
 
Back
Top Bottom