Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usijibizane na huyo anakuzingua tu, mara anasema umeiba halafu anasema tena usiitoe story yako bure, wakati keshasema umeiba
 
Ndugu muandishi
Achana na Kelele
Kuna watu waachache tuna appreciate unachokifanya,
Endelea tuu

Stori Ina uhalisia na. Unajua unachokiandika
 
Vipi kama huyo binadugu ndiye Akili Sina alafu we ni nani unayempangia matumizi ya nafsi kwenye kuwasilisha stori yake.Shule ulienda kuwachungulia madame zako
 
Kuku wewe acha sisi tupate madini Kama wewe hutaki pita kushoto
 
Hakika una wivu wa kike kabisa. Ukiulizwa unawashwa wapi huwezi sema
 
Achana naye mhandisi we shusha mambo sisi tumetulia kwenye vimbweta tunakula DS ya maisha.... Fanya hiphop kama unashuka na pascal language au C.....

Huyo anataka kukutoa kwenye reli apate likes na comments tu.
 
SIO RAHISI HIVYO. ANZISHA GROUP LA WHATSAPP KISHA ANZA KUCHAJI WATU BUKU BUKU UONE KAMA NI RAHISI.
 
Ulisha ondoka kwa dada yako?
 
Usiwaamini Waganga ata chembe apo Mungu anamuadhibu Akili sina na wala sio mganga
waganga ni waongo mnoo
 
kawaulize hao watu wanavoshinda mahospitalini yni Mungu anakuadhibu kwa njia nyingi mnoo
Utasikia huyu anaumwa kensa ya damu,mishipa imeziba yte hayo ni Mateso unayopewa na Mungu kwa yale uloyatenda
 
Kwa hiyo hauamini ktk dawa ile ya bibi wa Bagamoyo?
Mm sio Muumini wa waganga ata chembe mm namuamini Mungu tu ndo muweza wa yote hayo Akitaka jambo lake litakua tu na sio mganga ambae anakojoa kma mimi
 
kawaulize hao watu wanavoshinda mahospitalini yni Mungu anakuadhibu kwa njia nyingi mnoo
Utasikia huyu anaumwa kensa ya damu,mishipa imeziba yte hayo ni Mateso unayopewa na Mungu kwa yale uloyatenda
Mungu ana adhibu? Wakuu msiwe mnasoma Biblia kama riwaya! Ngoja niishie hapa huenda kwa imani yako upo sahihi.
 
Mkuu ukiachiwa gerezani hupewi chochote hata nauli?
Nijuavyo mie Magereza wanauwezo wa kumfikisha mfungwa aliyemaliza kifungo nyumbani kwake hata kwa basi,wanachotakiwa kufanya ni kumchukua mfungwa na kwenda nae stendi/kituo cha basi na kumpandisha gari uwezo huo wanao ila sheria ndivyo inavyotaka ila kutokana na mazingira yetu kibongobongo siku ukitoka unatoka getini mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…