Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
Ulichoongea kina mantiki kubwa sana.Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
Ila hii avatar yako😄😄inafurahishaShusha vitu boy...
Huyu atakuwa anakula visheti tu,ha concentrate kabisa na topic😁😁Jamaa. Mbona kasema wazi zaidi ya Sehemu 3 gari ilisimamishwa ikiwemo Eneo la TRA.
Na isitoshe kaelezea hata habari za mataa ya Ubungo??
Tajiri,acha kula visheti bhana concentrate na topic tusije sumbuana kwenye testKwa mara ya kwanza gari inatembea moshi tu dar bila mtu kuchungulia kontena.ukaguzi unafanyika bila kuchungulia ata nyuma. Gari inafika dar hakuna mahali imesimama ata kwenye taa au foleni aisee. Simulizi imefika patamu
Huyu alifanya tukio moshi mjini,na kahukumiwa hapohapo Sasa nauli ya nin.Nijuavyo mie Magereza wanauwezo wa kumfikisha mfungwa aliyemaliza kifungo nyumbani kwake hata kwa basi,wanachotakiwa kufanya ni kumchukua mfungwa na kwenda nae stendi/kituo cha basi na kumpandisha gari uwezo huo wanao ila sheria ndivyo inavyotaka ila kutokana na mazingira yetu kibongobongo siku ukitoka unatoka getini mwenyewe
Mkuu hao ndio wale wenye wivu hadi magerezaniIla Kuna watu wa gubu humu,wakiona story ya mtu inasifiwa, wataponda na kuchafua ilimradi wamkere mhusika aache kusimulia. Sijui wanapata faida gan. Hiv mnachukukiaje mtu kupoteza muda wake kuandika, kupoteza bando lake na hatumlipi Wala Senti afu bado tunamzingua.
Kama wewe unaona story ya kutunga c upite mbali uwaachie wengine wanaoipenda hivyo hivyo na uongo wake. Tujifunze kuappreciate kazi za watu jaman
Khaaa! sasa Umemkosea Mungu kwanini na yeye asikuadhibuMungu ana adhibu? Wakuu msiwe mnasoma Biblia kama riwaya! Ngoja niishie hapa huenda kwa imani yako upo sahihi.
Shangaa na weweKwa mara ya kwanza gari inatembea moshi tu dar bila mtu kuchungulia kontena.ukaguzi unafanyika bila kuchungulia ata nyuma. Gari inafika dar hakuna mahali imesimama ata kwenye taa au foleni aisee. Simulizi imefika patamu
Sawa.Acha upumbavu...potezea uzi
Muda mwngi alikuwa kalala bhn alichokaKwa mara ya kwanza gari inatembea moshi tu dar bila mtu kuchungulia kontena.ukaguzi unafanyika bila kuchungulia ata nyuma. Gari inafika dar hakuna mahali imesimama ata kwenye taa au foleni aisee. Simulizi imefika patamu
Mkuu nia yako Nini haswa?Unataka utamu uishie njiani?Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
Nashukuru,hii anafanya decisions by hindsight logic. Kwa wale ambao tuna damu ya trading yaani we don't know what's going to happen to make money tunaujua hii kitu. Kama Annie Duke a professional poker player alivyodai how to decide and how to bet.Mkuu nia yako Nini haswa?Unataka utamu uishie njiani?