Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
 
Tulia story Bado yaendelea usiwe na haraka
Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
 
Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
Ulichoongea kina mantiki kubwa sana.
 
Nijuavyo mie Magereza wanauwezo wa kumfikisha mfungwa aliyemaliza kifungo nyumbani kwake hata kwa basi,wanachotakiwa kufanya ni kumchukua mfungwa na kwenda nae stendi/kituo cha basi na kumpandisha gari uwezo huo wanao ila sheria ndivyo inavyotaka ila kutokana na mazingira yetu kibongobongo siku ukitoka unatoka getini mwenyewe
Huyu alifanya tukio moshi mjini,na kahukumiwa hapohapo Sasa nauli ya nin.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Ila Kuna watu wa gubu humu,wakiona story ya mtu inasifiwa, wataponda na kuchafua ilimradi wamkere mhusika aache kusimulia. Sijui wanapata faida gan. Hiv mnachukukiaje mtu kupoteza muda wake kuandika, kupoteza bando lake na hatumlipi Wala Senti afu bado tunamzingua.

Kama wewe unaona story ya kutunga c upite mbali uwaachie wengine wanaoipenda hivyo hivyo na uongo wake. Tujifunze kuappreciate kazi za watu jaman
Mkuu hao ndio wale wenye wivu hadi magerezani
 
Mungu ana adhibu? Wakuu msiwe mnasoma Biblia kama riwaya! Ngoja niishie hapa huenda kwa imani yako upo sahihi.
Khaaa! sasa Umemkosea Mungu kwanini na yeye asikuadhibu
kwa akili ndogo tu ww ni baba kwenye familia mtoto akifanya kosa utamuadhibu au utamuacha?
 
Kwa mara ya kwanza gari inatembea moshi tu dar bila mtu kuchungulia kontena.ukaguzi unafanyika bila kuchungulia ata nyuma. Gari inafika dar hakuna mahali imesimama ata kwenye taa au foleni aisee. Simulizi imefika patamu
Shangaa na wewe

Ila kuna madogo walisha safiri kutoka arusha mpk dar kwa kukaa kwenye buti
 
Ila mkuu mengi ni kama unajitakia tu, omba msaada mkuu pale unapoona hali imefikia pabaya sasa kwenda kulala vichakani hiyo ni hatari sana aisehh , ulipomkosa mwalimu mkuu majengo pale si ungeerudi zako arusha maana kanauli ka kurudi arusha sio kama ulikosa hata ungeomba tu mkuu kwa watu mpaka ukajajiingiza kwenye matatizo mengine na kupigwa mvua na vyeti umevipoteza, pia wakati umeenda kiboloroni pale kwanini hukumsubiri muhusika umuombe lift wewe ukachukua uwamuzi wa kuzamia kwenye kontena yani kuna kisa sivielewi na usomi wako mkuu shida ipo wapi? Kuna watu wengi sana wanakosa nauli wanaenda kuomba stendi kwa watu na wanapata misaada
Mkuu nia yako Nini haswa?Unataka utamu uishie njiani?
 
Mkuu nia yako Nini haswa?Unataka utamu uishie njiani?
Nashukuru,hii anafanya decisions by hindsight logic. Kwa wale ambao tuna damu ya trading yaani we don't know what's going to happen to make money tunaujua hii kitu. Kama Annie Duke a professional poker player alivyodai how to decide and how to bet.
Yaani before huwezi jua Sasa due to resulting ndio unataka umeki decision.
 
Back
Top Bottom