Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Daah..mawanang..umenikumbushaa mbaal..na mie nlishawah ona tangazo Kama uliloliona aww..cemaa m wahusikaa walikua sinzaa..@nlienda nmechomekeaa kinomaa cku iyo..kufikaa palee..nlichokaa. washenz wale et.nitembezeee mabakuli@daah..kugonga nyumba za watu kwa kwel hapanaa !boraa kuchomaa mahind!thanks God now nko pazur Kia's!it was 2014
 
Halafu passport wanaitamkaje?
Inategemea na muktadha sasa..., Passport ya kusafiria sio document common kihivyo hadi mtu aichanganye na passport picture, kwani huko kwenye interview aliyosema jamaa watahitaji passport ya kusafiria ya nini?

Mimi mara kibao nikishughulikia mambo yangu ofisi za serikali naambiwa inahitajika nyaraka kadhaa na passport, na kulingana na muktadha naelewa ni picha wanamaanisha
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Sasa baada ya kusota sana bila mafanikio nikaanza kwenda kushinda kwenye beting center, Pale riverside kwa ndani kuna sehemu kulikiwa na beting ya primier pale nikawa naenda kushinda pale, Sity akinipa buku tano nabania paka inabaki jero naenda kubeti pale, kulikuwa na mpira, michezo ya namba, michezo ya mmbwa, farasi na mingine, ikawa ndo hivyo ili mradi muda uende nirudi geto nilale,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Maisha yangu yakawa magumu sana, sema namshukuru sana Sity alinipiga tafu sana, mbali na kunipa mbusu ila mambo mengine ya kimaisha alikuwa ana nisave sana, nlichokuwa nampendea si mchoyo,

Alafu anapenda kugegedwa ile mbaya, yaani mi nlikuwa siombi eti, yaan ye akija tu anajua nini cha kufanya, kuna wakati night kali ananishtua usingizini anataka mambo, basi mi najipigia tu nnavyotaka, Au mda mwingine anapika kajifunga mtandio mwepesi tu kila kitu ndani unaona, basi mzuka ukinipanda namfata pale pale jikoni ananibanjulia mzee nakula mzigo,

Daah niliinjoy sana maisha na Sity, alafu anapenda nikiwa nae nijifeel proud kuwa naye, Utakuta tunatembea barabarani mara kaniegemea mara kanishika kiuno, Au tupo sehemu tunakula anajua kabisa sina hela, basi anatoa hela ananipitishia chini ya meza kisiri siri ili nilipie mimi, Au yupo na class mate wenzake mara anilalie kifuani, daah sa haya mambo mi mtoto wa kijijini naona aibu, ila ndo hivo maisha yalikuwa,

Sasa baada ya kutafuta kazi sana bila mafanikio, kuna siku nikaona tangazo la kazi kwenye nguzo, mshahara lak 3, nikasema huu mbona unanitosha, nikachukua namba zao nikawavutia waya, wakanielekeza wapi walipo, wakasema ni Tabata kinyerezi kesho niende, basi kesho yake nikabeba cv zangu huyoo, sina hata mia mfukoni, hivyo ikabidi nikanyage kwa mguu, ni mbali kichizi ila nikafika, kuna nyumba ina geti jeusi,

Nikaelekezwa nikaingia, basi nikawapa cv zangu pale wakasema watanipigia, nikatoka nikarudi paka tabata mataa pale nikashika njia naelekea vetenari hapo, kuna sheli ya Oil com pale nliona tangazo lao nao wana kazi,

Basi nikakanyaga paka nikafika , nikamuulizia jamaa anauza mafuta pale akaniambia hakuna tangazo kama hilo, hao ni matapeli ndo wanabandika hayo matangazo, tena nna bahati nimeenda mwenyewe ningewapigia lazima wangenitapeli, nikasema poa, nikaondoka nikarudi hadi tazara, nikashika njia kuelekea kiwanda cha soda cha pepsi, nikakanyaga nikafika, nikaacha cv yangu pale kwa walinzi nikaondoka, kwa vile kampuni ya tata ipo maeneo yale nako nikaenda ingawa wao wakasema wanatumiaga zaidi agents kupata wafanyakazi ila nikawaomba tu wachukie cv yangu huwez jua huko mbele,basi wakachukua,

Nikaanza sasa safari ya kurudi geto, hapo miguu inauma balaa, Nikafika geto nimechoka vibaya sana nikaishia kulala, nakuja kushtuliwa na Da J kanletea msosi, akaniambia we vipi unalala lala una mimba, au upo period, unajua tena Da J tunataniana,

Mi namwambiaga yaan we siku ukiingia kwenye 18 zangu nakupinda nakula mzigo huo na nna kupa mimba siku hiyohiyo, anasema aaaah wapi wewe, labda usubiri nimekufa, basi tunataniana hivyo yaan, ni mdada flani kanizidi age ila ni mcheshi sana alafu yupo simple,

Basi nikala nikalala siku ikaisha, basi maisha yangu yakawa hivyo, kutembea kutoka geto hadi posta na kurudi kwangu kawaida sana,

Basi kesho yake wale jamaa wakanicheki, wakasema kesho yake niende asubuhi na barua ya mwenyekiti wa mtaa na passport, nikafanya mpango nikapata hivyo vitu, kesho yake nikadamka mapema sana ili niwahi kufika pale, nikakanyaga kama kawaida yangu, nikafika pale , kuingia nakuta vijana wengi wamepanga mstari kama jeshini vile, wanapiga jaramba na mazoezi, basi mi nikapita nikaenda huko ndani, Nikakutana na meneja pale akanihoji hoji pale, mara akamwita jamaa mmoja akamwambia anipe mafunzo, basi nikaenda na yule jamaa,

Kutoka nje nakuta nawengine nao wanatawanyika wamebeba mifuko yao, mabeseni na vyombo, na sisi tukabeba yetu, nikasema khaa!!! kazi yenyewe ndo hii, nikacheka sana moyoni, leo injinia anaenda kutembeza mabeseni hatari,

Basi tukatoka nje getini pale, bana mi nikamchana jamaa live, nikamwambia mwanangu kazi yenyewe ndo hii, mi staweza kwa kweli akaniliza kwanini? Nikamwambia nimekwambia siwezi, nikaanza kuondoka zangu, jamaa ananiita, oya twende basi kwa meneja ukamwambie, nikamwambia we mwehu nini, meneja unamjua wewe, nikala zangu kona nikimwacha jamaa kasimama pale kapigwa na butwaa asijue cha kifanya,

Basi nikarudi geto, Sity akaja nikamsimulia acha acheke, alicheka paka aka kaa chini machozi yanamtooka,

Siku moja natoka zangu pale meridian bet ( Ni meridian bet na si primier beti kama nlivyosema mwanzo), nikapita zangu short cut moja pale riverside, unapita nyuma ya ukuta wa tanesco unakuja kutokea kanisa la ufufuo na uzima, una vuka barabara ya morogoro, unashuka bondeni unavuka daraja la mbao una ebukia msewe,

Basi nikiwa kwenye ile njia kabla sijafika kwenye ile mitambo ya gesi, sina hili wala lile mwanangu nilishtukia nimekula roba iyo, Nikahisi kama koo linatoka vile, wakati najibaraguza niichomoe machizi wengine wananizama mifukoni, kuja kuniachia nikapata kama wenge kwanza, macho hayaoni vizuri, kugeuka nyuma sioni mtu, mzee nataka kupiga kelele ila sauti haitoki,

Nikajinyoosha shingo pale, kujisachi nikakuta simu yangu smart hamna, nlikuwa na buku 2 mfuko wa nyuma nayo hamna,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Itaendelea

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii part[emoji91]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] injinia soma iyo
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,

Nikajikokota taratibu paka geto, shingo inauma balaa, Basi nikamsimulia Da J yaliyotokea akanipa pole sana, Akachemsha maji akanikanda shingoni angalau ikaachia kidogo,

Basi Da J akanipa elf 20 kesho nikatafute simu, Kesho yake nikiwa najiandaa kwenda kutafuta simu Mara Sity naye akaingia, Akauliza simu imepatwa na nini toka jana haipatikani, basi nikamsimulia pale akasikitika sana, basi tukatoka kwenda kutafuta simu, Pia tukafanya mpango wa ku renew line,

Maisha yakazidi kuwa magumu maana simu ndo nilikiwa nategemea kutafutia kazi mtandaoni, maana Pc nilisha iuza ili kulipa kodi ya chumba, Basi nikawa sasa ni kusambaza cv ofisi kwa ofisi,

Basi nikatafuta panga langu nalichomeka kiunoni alafu napita ile njia ili nikutane na wale vibaka lakini sikufanikiwa, Basi maisha yakaenda hivyo, Mda mwingi naenda kushinda pale beting jioni narudi geto kulala hivyo yani,

Siku moja nikaondoka geto niende kule beting, geto nikaacha kumetuliaa maana hakukuwa na mtu nyumbani, Basi jioni niliporudi nikamkuta Da J anafua nje, Akaniuliza we chizi vitu umepeleka wapi, au umeenda kuhonga huko kwa malaya zako, sa mi sikumwelewa, kuingia geto nakuta geto jeupe kimebaki kitanda tu na chaga, yaani hadi godoro hakuna,

Nikashtula sana, Da J akaja, Nikamwambia Da J nimeibiwa vitu, Da J hakuamini, Akasema, mi nimekuja nikakuta mlango upo wazi, nikajua upo ndani, sa nakuita naona kimya, kuingia nashangaa hakuna vitu nikajua umeamua kuhama,

Daah ukisikia majanga ndo haya sasa, basi nikatoka nikaulizia kwa majirani nao wanaishia kushangaa tu, Daah haya maisha acheni tu, Nikampigia Sity akaja, akanikuta pale nimekaa kama bwege, yaan sijui hata nafanya nini, Sity akaniambia hivi wewe utakuwa umemkosea nini Mungu, yaani juzi tu hapa umekabwa ukaibiwa simu, hata mwezi haujaisha unavunjiwa unaibiwa vitu, hapana bwana ebu jichunguze umemkosea nini Mungu,

Sa mi nikifikiria sioni nlipokosea, au sababu siendi kanisani, lakini ni muda tu siendagi kanisani, tangu nianze chuo paka namaliza sijawahi kwenda kanisani, sasa iweje sasa hivi ndo yatokee haya, Basi tukakaa pale paka giza likaingia,

Sity akaomdoka, Mimi ikabidi nifungue tu kile kitanda nitafute mabox nitandike chini, maana nisingeweza kulala juu ya chaga bila godoro, Da J akanipa mashuka ndo nikatandika chini na mabox nikalala, Cha kushukuru ni kuwa nyuma ya mlango nlikuwa nimetundika begi langu ambapo kuna material tuliokuwa tunasoma na vyeti vyangu vipo huko, sa sijui hawakuliona, au waliona ni makaratasi tu na mavitabu hayana ishu, mi sijui ila Mungu saidia lilikwepo,

Basi usiku sikulala nikawa nawaza sana haya yote yanatokana na nini, nikakumbuka yale maneno ya Sity kwamba nijichunguze huenda kuna sehemu nimemkosea Mungu, Basi nikaamka nikapiga magoti nikasali ili kama kuna nilipokosea Mungu anisamehe,

Nikiwa bado nawaza nikaona kabisa kuwa siwezi kuendelea kukaa dar, Huu mji umenikataa nisilazimishe, swali sasa niondoke niende wapi, Kurudi nyumbani hapana yani akili ndo haitaki kabisa kusikia hicho kitu, Sasa nitaenda wapi,

Basi wazo likanijia kule Arusha naskia kuna kiwanda cha nguo, alafu kuna jamaa zangu kama watatu tumemaliza nao chuo naskia wamepata kazi huko,Namba zao nlikuwa nazo sema ndo zikasepa na ile simu iliyoibiwa, ila sio case,Ni bora niende huko huko ntawatafuta tu huko, Ni bora niende tu na mimi nikajaribu maisha, Ila sasa nikifika ntafikia kwa nani, Daah maswali yakawa mengi ila majibu machache, ila moyo ukawa umeshakufa ganzi lazima lazima niondoke huu mji,

Basi kesho yake Sity akaja, nikamshirikisha wazo langu, akakubali kishingo upande ila na yeye maswali yakawa yaleyale niliyojiuliza usiku, Ila nikamtoa hofu kwamba mimi ni mwanaume lazima nipigane nisikae kizembe tu, na maisha ni popote, Basi akakubali ,shida ikaja ni nauli napata wapi, Basi nikasema nitafute mteja wa kile kitanda ndo nipate nauli,

Kweli nikatangaza kwa wadau mbalimbali mmoja tu ndo akasema atanipa elf 50, nikasema fine, Basi nikaanza maamdalizi ya kuamsha zangu Arusha, Da J alipokuja jioni nikamwelezea, akasema bana usiende , nikamwambia sa nikibaki hapa ntakaaje , sina chochote, lazima niondoke, akasema usiende huko utakufa, nikamwambia mwanaume haogopi kufa,

Basi yule jamaa akaja akachukua kile kitanda akanipa hela, Mda huo Sity alikuwa kaondoka akasema atakuja badae alale huku ili kesho anisindikize stand, Basi kweli badae badae hivi Sity akaja, Tukaongea pale, Akanipa elf 30 akasema ameenda kutafuta ndo kapata hiyo, Basi nikawa na elf 80 tayari, Usiku ukaingia tukatandika mabox tukalala, Nikala zangu mzigo wa mwisho mwisho huku nnasikitika huu mzigo ndo nauacha hivyo daah,

Basi saa 11 Sity akanishtua nijiandae, nikaoga pale fresh, nikawa najiandaa andaa pale, wakati najiandaa nikimwangalia Sity usoni machozi yanatiririka tu, Basi nikakaa nianze kum bembeleza, nikamwambia we ndo mke wangu, ngoja nikatafute ntakuja kukuchukua niamini mimi, basi akatulia,

Basi Sity akabeba begi tukatoka, Nikamgongea Da J , nikamuaga pale, Daah alihuzunika sana, Basi akanipa elf 10 akasema utakula njiani, Basi nikampa ufunguo wa geto aje ampe mwenye nyumba, ingawa kitasa kilikuwa kimevunjwa na wezi, Basi tukaaga pale tukasepa,

Tukafika ubungo, nikapata gari la saibaba, lilikuwa bado halija jaa basi tuka kaa na Sity siti moja tukaongea mengi tu, ila Sity alikuwa anajizuia lakini machozi bado yanatoka, Ilipofika saa moja gari ikataka kuanza kuondoka, Sity akashuka tukawa tunapungiana kwa chini, Basi chuma ikaamsha taratibu, Sity akawa analikimbiza gari paka likatoka nje ya kituo, Basi gari ikakamata morogoro road, Sity tukamuacha kasimama tu pale kaduwaa gari inaondoka, Basi chuma ikaamsha Arusha moja hiyo

Itaendelea
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,

Nikajikokota taratibu paka geto, shingo inauma balaa, Basi nikamsimulia Da J yaliyotokea akanipa pole sana, Akachemsha maji akanikanda shingoni angalau ikaachia kidogo,

Basi Da J akanipa elf 20 kesho nikatafute simu, Kesho yake nikiwa najiandaa kwenda kutafuta simu Mara Sity naye akaingia, Akauliza simu imepatwa na nini toka jana haipatikani, basi nikamsimulia pale akasikitika sana, basi tukatoka kwenda kutafuta simu, Pia tukafanya mpango wa ku renew line,

Maisha yakazidi kuwa magumu maana simu ndo nilikiwa nategemea kutafutia kazi mtandaoni, maana Pc nilisha iuza ili kulipa kodi ya chumba, Basi nikawa sasa ni kusambaza cv ofisi kwa ofisi,

Basi nikatafuta panga langu nalichomeka kiunoni alafu napita ile njia ili nikutane na wale vibaka lakini sikufanikiwa, Basi maisha yakaenda hivyo, Mda mwingi naenda kushinda pale beting jioni narudi geto kulala hivyo yani,

Siku moja nikaondoka geto niende kule beting, geto nikaacha kumetuliaa maana hakukuwa na mtu nyumbani, Basi jioni niliporudi nikamkuta Da J anafua nje, Akaniuliza we chizi vitu umepeleka wapi, au umeenda kuhonga huko kwa malaya zako, sa mi sikumwelewa, kuingia geto nakuta geto jeupe kimebaki kitanda tu na chaga, yaani hadi godoro hakuna,

Nikashtula sana, Da J akaja, Nikamwambia Da J nimeibiwa vitu, Da J hakuamini, Akasema, mi nimekuja nikakuta mlango upo wazi, nikajua upo ndani, sa nakuita naona kimya, kuingia nashangaa hakuna vitu nikajua umeamua kuhama,

Daah ukisikia majanga ndo haya sasa, basi nikatoka nikaulizia kwa majirani nao wanaishia kushangaa tu, Daah haya maisha acheni tu, Nikampigia Sity akaja, akanikuta pale nimekaa kama bwege, yaan sijui hata nafanya nini, Sity akaniambia hivi wewe utakuwa umemkosea nini Mungu, yaani juzi tu hapa umekabwa ukaibiwa simu, hata mwezi haujaisha unavunjiwa unaibiwa vitu, hapana bwana ebu jichunguze umemkosea nini Mungu,

Sa mi nikifikiria sioni nlipokosea, au sababu siendi kanisani, lakini ni muda tu siendagi kanisani, tangu nianze chuo paka namaliza sijawahi kwenda kanisani, sasa iweje sasa hivi ndo yatokee haya, Basi tukakaa pale paka giza likaingia,

Sity akaomdoka, Mimi ikabidi nifungue tu kile kitanda nitafute mabox nitandike chini, maana nisingeweza kulala juu ya chaga bila godoro, Da J akanipa mashuka ndo nikatandika chini na mabox nikalala, Cha kushukuru ni kuwa nyuma ya mlango nlikuwa nimetundika begi langu ambapo kuna material tuliokuwa tunasoma na vyeti vyangu vipo huko, sa sijui hawakuliona, au waliona ni makaratasi tu na mavitabu hayana ishu, mi sijui ila Mungu saidia lilikwepo,

Basi usiku sikulala nikawa nawaza sana haya yote yanatokana na nini, nikakumbuka yale maneno ya Sity kwamba nijichunguze huenda kuna sehemu nimemkosea Mungu, Basi nikaamka nikapiga magoti nikasali ili kama kuna nilipokosea Mungu anisamehe,

Nikiwa bado nawaza nikaona kabisa kuwa siwezi kuendelea kukaa dar, Huu mji umenikataa nisilazimishe, swali sasa niondoke niende wapi, Kurudi nyumbani hapana yani akili ndo haitaki kabisa kusikia hicho kitu, Sasa nitaenda wapi,

Basi wazo likanijia kule Arusha naskia kuna kiwanda cha nguo, alafu kuna jamaa zangu kama watatu tumemaliza nao chuo naskia wamepata kazi huko,Namba zao nlikuwa nazo sema ndo zikasepa na ile simu iliyoibiwa, ila sio case,Ni bora niende huko huko ntawatafuta tu huko, Ni bora niende tu na mimi nikajaribu maisha, Ila sasa nikifika ntafikia kwa nani, Daah maswali yakawa mengi ila majibu machache, ila moyo ukawa umeshakufa ganzi lazima lazima niondoke huu mji,

Basi kesho yake Sity akaja, nikamshirikisha wazo langu, akakubali kishingo upande ila na yeye maswali yakawa yaleyale niliyojiuliza usiku, Ila nikamtoa hofu kwamba mimi ni mwanaume lazima nipigane nisikae kizembe tu, na maisha ni popote, Basi akakubali ,shida ikaja ni nauli napata wapi, Basi nikasema nitafute mteja wa kile kitanda ndo nipate nauli,

Kweli nikatangaza kwa wadau mbalimbali mmoja tu ndo akasema atanipa elf 50, nikasema fine, Basi nikaanza maamdalizi ya kuamsha zangu Arusha, Da J alipokuja jioni nikamwelezea, akasema bana usiende , nikamwambia sa nikibaki hapa ntakaaje , sina chochote, lazima niondoke, akasema usiende huko utakufa, nikamwambia mwanaume haogopi kufa,

Basi yule jamaa akaja akachukua kile kitanda akanipa hela, Mda huo Sity alikuwa kaondoka akasema atakuja badae alale huku ili kesho anisindikize stand, Basi kweli badae badae hivi Sity akaja, Tukaongea pale, Akanipa elf 30 akasema ameenda kutafuta ndo kapata hiyo, Basi nikawa na elf 80 tayari, Usiku ukaingia tukatandika mabox tukalala, Nikala zangu mzigo wa mwisho mwisho huku nnasikitika huu mzigo ndo nauacha hivyo daah,

Basi saa 11 Sity akanishtua nijiandae, nikaoga pale fresh, nikawa najiandaa andaa pale, wakati najiandaa nikimwangalia Sity usoni machozi yanatiririka tu, Basi nikakaa nianze kum bembeleza, nikamwambia we ndo mke wangu, ngoja nikatafute ntakuja kukuchukua niamini mimi, basi akatulia,

Basi Sity akabeba begi tukatoka, Nikamgongea Da J , nikamuaga pale, Daah alihuzunika sana, Basi akanipa elf 10 akasema utakula njiani, Basi nikampa ufunguo wa geto aje ampe mwenye nyumba, ingawa kitasa kilikuwa kimevunjwa na wezi, Basi tukaaga pale tukasepa,

Tukafika ubungo, nikapata gari la saibaba, lilikuwa bado halija jaa basi tuka kaa na Sity siti moja tukaongea mengi tu, ila Sity alikuwa anajizuia lakini machozi bado yanatoka, Ilipofika saa moja gari ikataka kuanza kuondoka, Sity akashuka tukawa tunapungiana kwa chini, Basi chuma ikaamsha taratibu, Sity akawa analikimbiza gari paka likatoka nje ya kituo, Basi gari ikakamata morogoro road, Sity tukamuacha kasimama tu pale kaduwaa gari inaondoka, Basi chuma ikaamsha Arusha moja hiyo

Itaendelea
sity anafkuzana na bus
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,

Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,

Nikajikokota taratibu paka geto, shingo inauma balaa, Basi nikamsimulia Da J yaliyotokea akanipa pole sana, Akachemsha maji akanikanda shingoni angalau ikaachia kidogo,

Basi Da J akanipa elf 20 kesho nikatafute simu, Kesho yake nikiwa najiandaa kwenda kutafuta simu Mara Sity naye akaingia, Akauliza simu imepatwa na nini toka jana haipatikani, basi nikamsimulia pale akasikitika sana, basi tukatoka kwenda kutafuta simu, Pia tukafanya mpango wa ku renew line,

Maisha yakazidi kuwa magumu maana simu ndo nilikiwa nategemea kutafutia kazi mtandaoni, maana Pc nilisha iuza ili kulipa kodi ya chumba, Basi nikawa sasa ni kusambaza cv ofisi kwa ofisi,

Basi nikatafuta panga langu nalichomeka kiunoni alafu napita ile njia ili nikutane na wale vibaka lakini sikufanikiwa, Basi maisha yakaenda hivyo, Mda mwingi naenda kushinda pale beting jioni narudi geto kulala hivyo yani,

Siku moja nikaondoka geto niende kule beting, geto nikaacha kumetuliaa maana hakukuwa na mtu nyumbani, Basi jioni niliporudi nikamkuta Da J anafua nje, Akaniuliza we chizi vitu umepeleka wapi, au umeenda kuhonga huko kwa malaya zako, sa mi sikumwelewa, kuingia geto nakuta geto jeupe kimebaki kitanda tu na chaga, yaani hadi godoro hakuna,

Nikashtula sana, Da J akaja, Nikamwambia Da J nimeibiwa vitu, Da J hakuamini, Akasema, mi nimekuja nikakuta mlango upo wazi, nikajua upo ndani, sa nakuita naona kimya, kuingia nashangaa hakuna vitu nikajua umeamua kuhama,

Daah ukisikia majanga ndo haya sasa, basi nikatoka nikaulizia kwa majirani nao wanaishia kushangaa tu, Daah haya maisha acheni tu, Nikampigia Sity akaja, akanikuta pale nimekaa kama bwege, yaan sijui hata nafanya nini, Sity akaniambia hivi wewe utakuwa umemkosea nini Mungu, yaani juzi tu hapa umekabwa ukaibiwa simu, hata mwezi haujaisha unavunjiwa unaibiwa vitu, hapana bwana ebu jichunguze umemkosea nini Mungu,

Sa mi nikifikiria sioni nlipokosea, au sababu siendi kanisani, lakini ni muda tu siendagi kanisani, tangu nianze chuo paka namaliza sijawahi kwenda kanisani, sasa iweje sasa hivi ndo yatokee haya, Basi tukakaa pale paka giza likaingia,

Sity akaomdoka, Mimi ikabidi nifungue tu kile kitanda nitafute mabox nitandike chini, maana nisingeweza kulala juu ya chaga bila godoro, Da J akanipa mashuka ndo nikatandika chini na mabox nikalala, Cha kushukuru ni kuwa nyuma ya mlango nlikuwa nimetundika begi langu ambapo kuna material tuliokuwa tunasoma na vyeti vyangu vipo huko, sa sijui hawakuliona, au waliona ni makaratasi tu na mavitabu hayana ishu, mi sijui ila Mungu saidia lilikwepo,

Basi usiku sikulala nikawa nawaza sana haya yote yanatokana na nini, nikakumbuka yale maneno ya Sity kwamba nijichunguze huenda kuna sehemu nimemkosea Mungu, Basi nikaamka nikapiga magoti nikasali ili kama kuna nilipokosea Mungu anisamehe,

Nikiwa bado nawaza nikaona kabisa kuwa siwezi kuendelea kukaa dar, Huu mji umenikataa nisilazimishe, swali sasa niondoke niende wapi, Kurudi nyumbani hapana yani akili ndo haitaki kabisa kusikia hicho kitu, Sasa nitaenda wapi,

Basi wazo likanijia kule Arusha naskia kuna kiwanda cha nguo, alafu kuna jamaa zangu kama watatu tumemaliza nao chuo naskia wamepata kazi huko,Namba zao nlikuwa nazo sema ndo zikasepa na ile simu iliyoibiwa, ila sio case,Ni bora niende huko huko ntawatafuta tu huko, Ni bora niende tu na mimi nikajaribu maisha, Ila sasa nikifika ntafikia kwa nani, Daah maswali yakawa mengi ila majibu machache, ila moyo ukawa umeshakufa ganzi lazima lazima niondoke huu mji,

Basi kesho yake Sity akaja, nikamshirikisha wazo langu, akakubali kishingo upande ila na yeye maswali yakawa yaleyale niliyojiuliza usiku, Ila nikamtoa hofu kwamba mimi ni mwanaume lazima nipigane nisikae kizembe tu, na maisha ni popote, Basi akakubali ,shida ikaja ni nauli napata wapi, Basi nikasema nitafute mteja wa kile kitanda ndo nipate nauli,

Kweli nikatangaza kwa wadau mbalimbali mmoja tu ndo akasema atanipa elf 50, nikasema fine, Basi nikaanza maamdalizi ya kuamsha zangu Arusha, Da J alipokuja jioni nikamwelezea, akasema bana usiende , nikamwambia sa nikibaki hapa ntakaaje , sina chochote, lazima niondoke, akasema usiende huko utakufa, nikamwambia mwanaume haogopi kufa,

Basi yule jamaa akaja akachukua kile kitanda akanipa hela, Mda huo Sity alikuwa kaondoka akasema atakuja badae alale huku ili kesho anisindikize stand, Basi kweli badae badae hivi Sity akaja, Tukaongea pale, Akanipa elf 30 akasema ameenda kutafuta ndo kapata hiyo, Basi nikawa na elf 80 tayari, Usiku ukaingia tukatandika mabox tukalala, Nikala zangu mzigo wa mwisho mwisho huku nnasikitika huu mzigo ndo nauacha hivyo daah,

Basi saa 11 Sity akanishtua nijiandae, nikaoga pale fresh, nikawa najiandaa andaa pale, wakati najiandaa nikimwangalia Sity usoni machozi yanatiririka tu, Basi nikakaa nianze kum bembeleza, nikamwambia we ndo mke wangu, ngoja nikatafute ntakuja kukuchukua niamini mimi, basi akatulia,

Basi Sity akabeba begi tukatoka, Nikamgongea Da J , nikamuaga pale, Daah alihuzunika sana, Basi akanipa elf 10 akasema utakula njiani, Basi nikampa ufunguo wa geto aje ampe mwenye nyumba, ingawa kitasa kilikuwa kimevunjwa na wezi, Basi tukaaga pale tukasepa,

Tukafika ubungo, nikapata gari la saibaba, lilikuwa bado halija jaa basi tuka kaa na Sity siti moja tukaongea mengi tu, ila Sity alikuwa anajizuia lakini machozi bado yanatoka, Ilipofika saa moja gari ikataka kuanza kuondoka, Sity akashuka tukawa tunapungiana kwa chini, Basi chuma ikaamsha taratibu, Sity akawa analikimbiza gari paka likatoka nje ya kituo, Basi gari ikakamata morogoro road, Sity tukamuacha kasimama tu pale kaduwaa gari inaondoka, Basi chuma ikaamsha Arusha moja hiyo

Itaendelea
Mkuu unaweka mwendelezo au nilale?
 
Back
Top Bottom