Mimi siye OP, na unaweza kukataa pia kuelewa.Yeye kaandika passport. Wewe unasema passport size photos! Nani aaminiwe sasa ama wewe ni yule yule ila una ID nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siye OP, na unaweza kukataa pia kuelewa.Yeye kaandika passport. Wewe unasema passport size photos! Nani aaminiwe sasa ama wewe ni yule yule ila una ID nyingine?
Passport size picture. Acheni ujuaji
Passport size we kiaziHapa tu ndio umekosea. Passport hauwezi kuipata siku hiyi hiyo...
Passport size we kiazi
Kumbe nyinyi tuvijana tu vya juz mm mwaka huo ndio namaliza six yang naendelea kusaka chuoSawa pugu boy unanikumbusha mbali sana mwaka 2008 nilikuwa hapo bweni mapinduzi 04
Hata mimi nahisi hivyo.USICHOKIJUA mpwayungu village na Akili Sina ni MTU mmoja.
Great thinkers tumeng'amua hilo.
Tunyweni TU mtori nyama zipo chini.
Hongera naamini utaimaliza kbal ya week hiiSEHEMU YA KUMI NA MBILI
Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,
Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,
Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,
Nikajikokota taratibu paka geto, shingo inauma balaa, Basi nikamsimulia Da J yaliyotokea akanipa pole sana, Akachemsha maji akanikanda shingoni angalau ikaachia kidogo,
Basi Da J akanipa elf 20 kesho nikatafute simu, Kesho yake nikiwa najiandaa kwenda kutafuta simu Mara Sity naye akaingia, Akauliza simu imepatwa na nini toka jana haipatikani, basi nikamsimulia pale akasikitika sana, basi tukatoka kwenda kutafuta simu, Pia tukafanya mpango wa ku renew line,
Maisha yakazidi kuwa magumu maana simu ndo nilikiwa nategemea kutafutia kazi mtandaoni, maana Pc nilisha iuza ili kulipa kodi ya chumba, Basi nikawa sasa ni kusambaza cv ofisi kwa ofisi,
Basi nikatafuta panga langu nalichomeka kiunoni alafu napita ile njia ili nikutane na wale vibaka lakini sikufanikiwa, Basi maisha yakaenda hivyo, Mda mwingi naenda kushinda pale beting jioni narudi geto kulala hivyo yani,
Siku moja nikaondoka geto niende kule beting, geto nikaacha kumetuliaa maana hakukuwa na mtu nyumbani, Basi jioni niliporudi nikamkuta Da J anafua nje, Akaniuliza we chizi vitu umepeleka wapi, au umeenda kuhonga huko kwa malaya zako, sa mi sikumwelewa, kuingia geto nakuta geto jeupe kimebaki kitanda tu na chaga, yaani hadi godoro hakuna,
Nikashtula sana, Da J akaja, Nikamwambia Da J nimeibiwa vitu, Da J hakuamini, Akasema, mi nimekuja nikakuta mlango upo wazi, nikajua upo ndani, sa nakuita naona kimya, kuingia nashangaa hakuna vitu nikajua umeamua kuhama,
Daah ukisikia majanga ndo haya sasa, basi nikatoka nikaulizia kwa majirani nao wanaishia kushangaa tu, Daah haya maisha acheni tu, Nikampigia Sity akaja, akanikuta pale nimekaa kama bwege, yaan sijui hata nafanya nini, Sity akaniambia hivi wewe utakuwa umemkosea nini Mungu, yaani juzi tu hapa umekabwa ukaibiwa simu, hata mwezi haujaisha unavunjiwa unaibiwa vitu, hapana bwana ebu jichunguze umemkosea nini Mungu,
Sa mi nikifikiria sioni nlipokosea, au sababu siendi kanisani, lakini ni muda tu siendagi kanisani, tangu nianze chuo paka namaliza sijawahi kwenda kanisani, sasa iweje sasa hivi ndo yatokee haya, Basi tukakaa pale paka giza likaingia,
Sity akaomdoka, Mimi ikabidi nifungue tu kile kitanda nitafute mabox nitandike chini, maana nisingeweza kulala juu ya chaga bila godoro, Da J akanipa mashuka ndo nikatandika chini na mabox nikalala, Cha kushukuru ni kuwa nyuma ya mlango nlikuwa nimetundika begi langu ambapo kuna material tuliokuwa tunasoma na vyeti vyangu vipo huko, sa sijui hawakuliona, au waliona ni makaratasi tu na mavitabu hayana ishu, mi sijui ila Mungu saidia lilikwepo,
Basi usiku sikulala nikawa nawaza sana haya yote yanatokana na nini, nikakumbuka yale maneno ya Sity kwamba nijichunguze huenda kuna sehemu nimemkosea Mungu, Basi nikaamka nikapiga magoti nikasali ili kama kuna nilipokosea Mungu anisamehe,
Nikiwa bado nawaza nikaona kabisa kuwa siwezi kuendelea kukaa dar, Huu mji umenikataa nisilazimishe, swali sasa niondoke niende wapi, Kurudi nyumbani hapana yani akili ndo haitaki kabisa kusikia hicho kitu, Sasa nitaenda wapi,
Basi wazo likanijia kule Arusha naskia kuna kiwanda cha nguo, alafu kuna jamaa zangu kama watatu tumemaliza nao chuo naskia wamepata kazi huko,Namba zao nlikuwa nazo sema ndo zikasepa na ile simu iliyoibiwa, ila sio case,Ni bora niende huko huko ntawatafuta tu huko, Ni bora niende tu na mimi nikajaribu maisha, Ila sasa nikifika ntafikia kwa nani, Daah maswali yakawa mengi ila majibu machache, ila moyo ukawa umeshakufa ganzi lazima lazima niondoke huu mji,
Basi kesho yake Sity akaja, nikamshirikisha wazo langu, akakubali kishingo upande ila na yeye maswali yakawa yaleyale niliyojiuliza usiku, Ila nikamtoa hofu kwamba mimi ni mwanaume lazima nipigane nisikae kizembe tu, na maisha ni popote, Basi akakubali ,shida ikaja ni nauli napata wapi, Basi nikasema nitafute mteja wa kile kitanda ndo nipate nauli,
Kweli nikatangaza kwa wadau mbalimbali mmoja tu ndo akasema atanipa elf 50, nikasema fine, Basi nikaanza maamdalizi ya kuamsha zangu Arusha, Da J alipokuja jioni nikamwelezea, akasema bana usiende , nikamwambia sa nikibaki hapa ntakaaje , sina chochote, lazima niondoke, akasema usiende huko utakufa, nikamwambia mwanaume haogopi kufa,
Basi yule jamaa akaja akachukua kile kitanda akanipa hela, Mda huo Sity alikuwa kaondoka akasema atakuja badae alale huku ili kesho anisindikize stand, Basi kweli badae badae hivi Sity akaja, Tukaongea pale, Akanipa elf 30 akasema ameenda kutafuta ndo kapata hiyo, Basi nikawa na elf 80 tayari, Usiku ukaingia tukatandika mabox tukalala, Nikala zangu mzigo wa mwisho mwisho huku nnasikitika huu mzigo ndo nauacha hivyo daah,
Basi saa 11 Sity akanishtua nijiandae, nikaoga pale fresh, nikawa najiandaa andaa pale, wakati najiandaa nikimwangalia Sity usoni machozi yanatiririka tu, Basi nikakaa nianze kum bembeleza, nikamwambia we ndo mke wangu, ngoja nikatafute ntakuja kukuchukua niamini mimi, basi akatulia,
Basi Sity akabeba begi tukatoka, Nikamgongea Da J , nikamuaga pale, Daah alihuzunika sana, Basi akanipa elf 10 akasema utakula njiani, Basi nikampa ufunguo wa geto aje ampe mwenye nyumba, ingawa kitasa kilikuwa kimevunjwa na wezi, Basi tukaaga pale tukasepa,
Tukafika ubungo, nikapata gari la saibaba, lilikuwa bado halija jaa basi tuka kaa na Sity siti moja tukaongea mengi tu, ila Sity alikuwa anajizuia lakini machozi bado yanatoka, Ilipofika saa moja gari ikataka kuanza kuondoka, Sity akashuka tukawa tunapungiana kwa chini, Basi chuma ikaamsha taratibu, Sity akawa analikimbiza gari paka likatoka nje ya kituo, Basi gari ikakamata morogoro road, Sity tukamuacha kasimama tu pale kaduwaa gari inaondoka, Basi chuma ikaamsha Arusha moja hiyo
Itaendelea
Uandishi wa mpwayungu vile Ni mbovu mbaya mbovu huyu Ni engineer mpayungu ni mwalimu wa physics.
Hata mimi nahisi hivyo.
Nnavosoma natengeneza na picha kichwaniSEHEMU YA KUMI NA MBILI
Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,
Daah haya majanga sasa, basi nikajikokota zangu kuelekea geto, ila shingo naiskia kama vile imefungiwa kamba alafu inavuta gari, Daah hawa jamaa si watu aisee, yan ukicheza unakufa hivi hivi,
Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,
Nikajikokota taratibu paka geto, shingo inauma balaa, Basi nikamsimulia Da J yaliyotokea akanipa pole sana, Akachemsha maji akanikanda shingoni angalau ikaachia kidogo,
Basi Da J akanipa elf 20 kesho nikatafute simu, Kesho yake nikiwa najiandaa kwenda kutafuta simu Mara Sity naye akaingia, Akauliza simu imepatwa na nini toka jana haipatikani, basi nikamsimulia pale akasikitika sana, basi tukatoka kwenda kutafuta simu, Pia tukafanya mpango wa ku renew line,
Maisha yakazidi kuwa magumu maana simu ndo nilikiwa nategemea kutafutia kazi mtandaoni, maana Pc nilisha iuza ili kulipa kodi ya chumba, Basi nikawa sasa ni kusambaza cv ofisi kwa ofisi,
Basi nikatafuta panga langu nalichomeka kiunoni alafu napita ile njia ili nikutane na wale vibaka lakini sikufanikiwa, Basi maisha yakaenda hivyo, Mda mwingi naenda kushinda pale beting jioni narudi geto kulala hivyo yani,
Siku moja nikaondoka geto niende kule beting, geto nikaacha kumetuliaa maana hakukuwa na mtu nyumbani, Basi jioni niliporudi nikamkuta Da J anafua nje, Akaniuliza we chizi vitu umepeleka wapi, au umeenda kuhonga huko kwa malaya zako, sa mi sikumwelewa, kuingia geto nakuta geto jeupe kimebaki kitanda tu na chaga, yaani hadi godoro hakuna,
Nikashtula sana, Da J akaja, Nikamwambia Da J nimeibiwa vitu, Da J hakuamini, Akasema, mi nimekuja nikakuta mlango upo wazi, nikajua upo ndani, sa nakuita naona kimya, kuingia nashangaa hakuna vitu nikajua umeamua kuhama,
Daah ukisikia majanga ndo haya sasa, basi nikatoka nikaulizia kwa majirani nao wanaishia kushangaa tu, Daah haya maisha acheni tu, Nikampigia Sity akaja, akanikuta pale nimekaa kama bwege, yaan sijui hata nafanya nini, Sity akaniambia hivi wewe utakuwa umemkosea nini Mungu, yaani juzi tu hapa umekabwa ukaibiwa simu, hata mwezi haujaisha unavunjiwa unaibiwa vitu, hapana bwana ebu jichunguze umemkosea nini Mungu,
Sa mi nikifikiria sioni nlipokosea, au sababu siendi kanisani, lakini ni muda tu siendagi kanisani, tangu nianze chuo paka namaliza sijawahi kwenda kanisani, sasa iweje sasa hivi ndo yatokee haya, Basi tukakaa pale paka giza likaingia,
Sity akaomdoka, Mimi ikabidi nifungue tu kile kitanda nitafute mabox nitandike chini, maana nisingeweza kulala juu ya chaga bila godoro, Da J akanipa mashuka ndo nikatandika chini na mabox nikalala, Cha kushukuru ni kuwa nyuma ya mlango nlikuwa nimetundika begi langu ambapo kuna material tuliokuwa tunasoma na vyeti vyangu vipo huko, sa sijui hawakuliona, au waliona ni makaratasi tu na mavitabu hayana ishu, mi sijui ila Mungu saidia lilikwepo,
Basi usiku sikulala nikawa nawaza sana haya yote yanatokana na nini, nikakumbuka yale maneno ya Sity kwamba nijichunguze huenda kuna sehemu nimemkosea Mungu, Basi nikaamka nikapiga magoti nikasali ili kama kuna nilipokosea Mungu anisamehe,
Nikiwa bado nawaza nikaona kabisa kuwa siwezi kuendelea kukaa dar, Huu mji umenikataa nisilazimishe, swali sasa niondoke niende wapi, Kurudi nyumbani hapana yani akili ndo haitaki kabisa kusikia hicho kitu, Sasa nitaenda wapi,
Basi wazo likanijia kule Arusha naskia kuna kiwanda cha nguo, alafu kuna jamaa zangu kama watatu tumemaliza nao chuo naskia wamepata kazi huko,Namba zao nlikuwa nazo sema ndo zikasepa na ile simu iliyoibiwa, ila sio case,Ni bora niende huko huko ntawatafuta tu huko, Ni bora niende tu na mimi nikajaribu maisha, Ila sasa nikifika ntafikia kwa nani, Daah maswali yakawa mengi ila majibu machache, ila moyo ukawa umeshakufa ganzi lazima lazima niondoke huu mji,
Basi kesho yake Sity akaja, nikamshirikisha wazo langu, akakubali kishingo upande ila na yeye maswali yakawa yaleyale niliyojiuliza usiku, Ila nikamtoa hofu kwamba mimi ni mwanaume lazima nipigane nisikae kizembe tu, na maisha ni popote, Basi akakubali ,shida ikaja ni nauli napata wapi, Basi nikasema nitafute mteja wa kile kitanda ndo nipate nauli,
Kweli nikatangaza kwa wadau mbalimbali mmoja tu ndo akasema atanipa elf 50, nikasema fine, Basi nikaanza maamdalizi ya kuamsha zangu Arusha, Da J alipokuja jioni nikamwelezea, akasema bana usiende , nikamwambia sa nikibaki hapa ntakaaje , sina chochote, lazima niondoke, akasema usiende huko utakufa, nikamwambia mwanaume haogopi kufa,
Basi yule jamaa akaja akachukua kile kitanda akanipa hela, Mda huo Sity alikuwa kaondoka akasema atakuja badae alale huku ili kesho anisindikize stand, Basi kweli badae badae hivi Sity akaja, Tukaongea pale, Akanipa elf 30 akasema ameenda kutafuta ndo kapata hiyo, Basi nikawa na elf 80 tayari, Usiku ukaingia tukatandika mabox tukalala, Nikala zangu mzigo wa mwisho mwisho huku nnasikitika huu mzigo ndo nauacha hivyo daah,
Basi saa 11 Sity akanishtua nijiandae, nikaoga pale fresh, nikawa najiandaa andaa pale, wakati najiandaa nikimwangalia Sity usoni machozi yanatiririka tu, Basi nikakaa nianze kum bembeleza, nikamwambia we ndo mke wangu, ngoja nikatafute ntakuja kukuchukua niamini mimi, basi akatulia,
Basi Sity akabeba begi tukatoka, Nikamgongea Da J , nikamuaga pale, Daah alihuzunika sana, Basi akanipa elf 10 akasema utakula njiani, Basi nikampa ufunguo wa geto aje ampe mwenye nyumba, ingawa kitasa kilikuwa kimevunjwa na wezi, Basi tukaaga pale tukasepa,
Tukafika ubungo, nikapata gari la saibaba, lilikuwa bado halija jaa basi tuka kaa na Sity siti moja tukaongea mengi tu, ila Sity alikuwa anajizuia lakini machozi bado yanatoka, Ilipofika saa moja gari ikataka kuanza kuondoka, Sity akashuka tukawa tunapungiana kwa chini, Basi chuma ikaamsha taratibu, Sity akawa analikimbiza gari paka likatoka nje ya kituo, Basi gari ikakamata morogoro road, Sity tukamuacha kasimama tu pale kaduwaa gari inaondoka, Basi chuma ikaamsha Arusha moja hiyo
Itaendelea
Ngoja tukachungulie uzi wa kula kimasiharaHivi huyo Hassan hakumla kweli huyo dada aliyemwachia mtoto