ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 569
- 888
kosa vyote upate akili kasema amezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80 wala sio kusoma sawa bintiKwanza story ni ya uongo,miaka ya 80 Sikonge yote ilikuwa haina sekondari hata moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kosa vyote upate akili kasema amezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80 wala sio kusoma sawa bintiKwanza story ni ya uongo,miaka ya 80 Sikonge yote ilikuwa haina sekondari hata moja
Uwe unasoma na kuelewa, umeambiwa amezaliwa miaka ya 80mwishoni, na sio kasoma sekondari 80 mwishoni.Kwanza story ni ya uongo,miaka ya 80 Sikonge yote ilikuwa haina sekondari hata moja
Kama kazaliwa 80 mwishoni labda tuseme 88 ina maana hiyo 95 alikuwa ana miaka 7 na labda darasa la pili. Kwahiyo hakuna cha maana unachobisha.Sikonge,Tutuo,Ipole,Chabutwa ,Mibono,Usunga one,kulikuwa hakuna Shule ya sekondari hata moja,hadi ilipofika 1995 ndiyo ikaanziahwa Ngulu sekondari.
Mtunzi ni wa mchongo.
Soma ueleweKwanza story ni ya uongo,miaka ya 80 Sikonge yote ilikuwa haina sekondari hata moja
Wewe kwani alisoma Sikonge miaka hiyo? Huyu kamaliza sekondari miaka ya 2007- hadi 2009 hukoSikonge,Tutuo,Ipole,Chabutwa ,Mibono,Usunga one,kulikuwa hakuna Shule ya sekondari hata moja,hadi ilipofika 1995 ndiyo ikaanziahwa Ngulu sekondari.
Mtunzi ni wa mchongo.
Miaka ya 80 ndio alizaliwa, sekondari nafikiri alimaliza O level miaka ya 2007 hadi 2009Kwanza story ni ya uongo,miaka ya 80 Sikonge yote ilikuwa haina sekondari hata moja
Kwanza story ni ya uongo,miaka ya 80 Sikonge yote ilikuwa haina sekondari hata moja
Dah...we buree kabisaaaSikonge,Tutuo,Ipole,Chabutwa ,Mibono,Usunga one,kulikuwa hakuna Shule ya sekondari hata moja,hadi ilipofika 1995 ndiyo ikaanziahwa Ngulu sekondari.
Mtunzi ni wa mchongo.
Haaaah linaona aibu limejikunyata kwa akili zake fupi.Dah...we buree kabisaaa
Punguza ujuaji.Sikonge,Tutuo,Ipole,Chabutwa ,Mibono,Usunga one,kulikuwa hakuna Shule ya sekondari hata moja,hadi ilipofika 1995 ndiyo ikaanziahwa Ngulu sekondari.
Mtunzi ni wa mchongo.
Akili kisoda huyo haaah haaa.Uwe unasoma na kuelewa, umeambiwa amezaliwa miaka ya 80mwishoni, na sio kasoma sekondari 80 mwishoni.
Acha kukariri jamaa kasema amezaliwa miaka ya 80 mwishoniSikonge,Tutuo,Ipole,Chabutwa ,Mibono,Usunga one,kulikuwa hakuna Shule ya sekondari hata moja,hadi ilipofika 1995 ndiyo ikaanziahwa Ngulu sekondari.
Mtunzi ni wa mchongo.
Atakuwa amelewa double kick huyu kengeAkili kisoda huyo haaah haaa.
Akae kwa kutulia atamponza mwaikimba double kick sio poa.Atakuwa amelewa double kick huyu kenge
Yule dada anaweza kulaumiwa ila huenda asiwe na kosa sana maana na yeye aliona mtu anamkimbilia na huenda alipata hofu kuwa simu yake inataka kukwapuliwa..Dah!! Huyo Dada aliekusingizia ulimfukuza na kutaka kumuibia simu yake mhh
Mkuu wezi wapo na wanaiba kila siku na maisha yanaendelea na wanajenga kwa pesa za kuiba. Laptop haiwezi Kuwa adhabu ya yote haya. Kwangu Mimi naweza sema kila mtu anamapito yake hapa duniani.Ila Mkuu mm niwe muwazi tu wizi ulomfanyia mwenzako wa PC ndo sababu ya yote hayo yalokukuta fimbo ya Mungu imekuchapa haswaaa na hili ni funzo kwa wengine wizi sio mzuri ona sasa ulivoteseka vyote hivo
ila Pole mkuu ndo Maisha
Sisi ndo tunataka tumchangie kama wewe huwezi Kaa Kimya.Watanzania mmeanza 5abia za ajabu Sana.Mtoa mada usije ukatuchangisha tu tupo kuna kula nondo zako