Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA

Ilipo ishia,,,,,,,,,,,,

Basi nikamaliza pale, nikatafuta sehemu nikaenda kupiga maji maana nna siku kadhaa sijaoga, Tukarudi kwenye gari abduli akanipa kadeti yake nyeusi na t-sheti nikavaa kidogo na mimi nikaonekana mtu, akaniambia wanasubiri mida ya saa kumi hivi jua likipungue waamshe, kumbe yule jamaa mwingine na yeye ni dereva gari lake kapaki nyuma ya lile, basi tukakaa ndani ya gari tunaendeleza stori, safari ya msewe ndo ikaishia hapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Mida ya jioni hivi jua limepungua chuma ikainga road, nimekaa kushoto mzee naona Abdul anavyocheza na gear basi naona raha kweli, natamani na mimi ningeweza, Chuma ni kubwa lakini anavyoendesha utazani anaendesha gari ndogo, anavyokwepa magari kwenye foleni utazani nyuma hana kitu kumbe ana bonge la tanki huko nyuma,

Basi bana tukapambana na foleni ya ubungo palee mpaka tukatoboa, tukakamata morogoro road nikaona kidaraja chetu kile cha kwenda msewe, nikakumbuka mbali sana, Basi chuma hiyo inaambaa mzee, Kisoda ananikumbusha stori zake za shule pale ili mradi stori ziendelee,

Basi nikawa kama utingo sasa, tukikaribia mizani chuma inapaki pembeni tunaanza kuikagua, maana kisoda aliniambia mizani wanazingua kichizi, tairi ikiwa haina upepo au umepungua, au busta haina upepo au gari ikidondosha mafuta faini ni dola elf 2, basi nipo na tambara langu nikiona hata dalili ya mafuta nafuta, gonga gonga matairi yote yapo freshi, cheki busta ziko freshi basi ngoma ikaingia mizani vigwaza pale, nikashuka nikapeleka kadi dirishani akaniuliza mnaenda wapi nikamwambi kongo, akaniprintia risiti pale tukaamsha zetu,

Kwaiyo hiyo ndo ikawa kazi yangu, tulipofika mikese giza limeshaingia tayari, tukakuta ile mizani haifanyi kazi siku ile jamaa wakatuambia tuamshe basi kisoda akatia gia tukatambaa,

Morogoro tukaingia kama saa mbili mbili hivi, kisoda akaniambia tusogee tukalale melela nikamwambia poa , Basi chuma inaamsha tu , huko ndani inapiga mziki basi ni burudani a/c kama yote, yaani ile chuma mule ndani hata geto halifikii,

Kweli bana tukafika melela pale kuna parking kubwa tu malori mengi hasa ya mafuta yanapaki pale sikujua kwa nini,
Basi tukapaki gari pale tukaanza kutafuta msosi, tukapiga msosi tukarudi, pale kuna bar wanaonyesha mpira tukakaa pale tunacheki gemu ya man u na chelsea, muda ukafika tukarudi kwenye gari tukalala, ile gari ina vitanda viwili cha juu na cha chini,

Basi kesho yake saa kumi na moja alfajiri chuma ikakamata road, ni mpera mpera tu, sema uzuri wa ile gari huchoki humo ndani, basi tukapita mikumi tukaona wanyama, swala kama wote, punda milia, twiga, simba tu ndo sikubaatika kuona, basi kazi yangu ndo ikawa ileile tulipofika mzani wa mikumi, tukapita pale chuma inatambaa usiseme, basi chuma ina lala na kona balaa, kisoda akaniambia ukisikia kona za iyovi ndo hizi, mabasi yanaanguka sana kule,

Haya bana tukafika kitonga, mi nlikuwa napasikia tu kumbe pana tisha sana ukichungulia huko chini, gari ikawa inapanda mdogo mdogo, naambiwa ni kilomita 8 tu lakini magari mengine yanaweza kupanda kuanzia asubuhi paka jioni,

Tukasimama ruaha mmbuyuni pale tukapiga lunch, tukamaliza ngoma ikaamsha hiyo, tukaingia makambako jioji jioni hivi, Kisoda akasema tulale hapa ili kesho tukate pasport hapa, nikasema sawa,

Tukalala pale, baridi kishenzi yani, Asubuhi tukaenda ofisi za uhamiaji pale kukata passport ila mtandao ukawa unasumbua, tukakaa sana pale mwisho tukasema tuondoke tutakatia mbele, basi chuma ikaamsha, tukaingia tunduma jioni hivi, tukapaki sehemu mmoja paitwa uzunguni,

Basi kesho yake Kisoda akanipa hela niende vwawa ndo kuna ofisi za uhamiaji nikakate pasport, yeye akaenda castum kufatilia documents, basi nikapanda dala dala paka vwawa, nikaulizia nikafika hapo uhamiaji, nikafanikiwa kupata passport, nikageuza mpaka uzunguni, Nikamkuta kisoda pale tukaenda kupiga menyu pale fresh,

Kesho yake akasema inabidi twende boder ili nikakate chanjo, basi tukapanda daladala tukaenda, basi tukaingia mule ndani ya ule mjengo pale custom, tukafanya process zetu pale fresh, basi ikatakiwa nikachome sindano nikaelekezwa chumba kimoja hivi, kisoda nikamuacha pale ananisubiri,

Nikachomwa pale, nikapewa na cheti changu cha chanjo, sasa wakati natoka ule mjengo ni mkubwa sa sielewi tena njia ya kutokea, nikasema haina shida si kuna vibao vya exit, nikawa nafata vile vibao, kweli nikafanikiwa kutoka nje,

Sasa ile naondoka mara mlinzi mmoja akaniita, nikaenda pale kwenye chumba chao, akaniambia we umetokea mlango gani, nikamwambia ule pale, akasema unajua kazi ya ule mlango, nikamwambia mi sijui, nimeona mshale unanionesha kutoka mi nikatoka,

Ebwanaee!! Acha wanicharukie, wakasema unajua maana ya ule mlango wewe, ule ni mlango wa dharura , yaani ukifungua tu ule mlango alarm inalia hadi kwa mkurugenzi, sa mi nikawaambia mi nlikuwa sijui, na kama ni wa dharura mbona haujaandikwa, basi wakasema we unajifanya una kiburi eeh, kwanza kaa chini, nikaona isiwe shida nikakaa, kuna kamlinzi kadada hako ndo kamenicharukia balaa, we utaenda kutusaidia kujibu kwa mkurugenzi wewe, basi mi nikakaa kimya tu nawaacha wanabwabwaja pale,

Wakawa sasa wanataka hela ili waniachie, nikawambia hapa nilipo sina hata mia mbovu, wakasema we unakiburi wewe basi utakaa sana hapo, basi mi nikakaa, nawaza kisoda atakuwa kanitafuta sana,

Wakaniweka pale kama masaa manne hivi , walipoona nimekomaa sina hela wakaniambia pita pale usepe, nikapita getini pale nikatokea barabara ambayo ndo magari yanavuka kuingia zambia,

Sasa hii ishakuwa balaa , sina simu na hata ningekuwa na simu namba ya kisoda sikuchukua,

Niikatembea mpaka round about, nikasema sasa hapa nitembee mpaka uzunguni maana ningekuwa na hela ningepanda daladala, wakati natembea nikapata wazo, kwanini nisiombe lift, nikaona lori linakuja taratibu, nikamwomba suka , naomba niache uzunguni broo, kweli akasimama nikapanda, nikafika mpaka uzunguni, nikafika kwenye gari nikamkuta kisoda pale yupo na yule dereva mwimgine aliyeniita pale tabata ,

Kisoda akasema ulipotelea wapi tena, nimekutafuta mule ndani mpaka nikachoka, nikajua labda umekuja kwenye gari nako haupo, nikamweleza masahibu yaliyonikuta, akasema wale wahuni tu walitaka kukuchomoa hela , ila kwa vile umefanikiwa basi fresh, kesho tuta vuka,

Nikakuta kanunua mazaga zaga ya kupika huko njiani, unga, mchele, dagaa, samaki, nyanya, vitunguu yaani vitu chungu nzima , nikasema kweli hii safari,

Kesho yake tukapanda tena daladala tukaenda kule, akaenda kwenye ofisi za agent wao akachukua documents, tukaenda kugonga passport, tukarudi uzunguni chuma zikawashwa tukaondoka, tukafanikiwa kuvuka boda, chuma zikaamsha, sema tulipoingia zambia hapo mwanzoni barabara ni mbaya kishenzi, nikasema sasa kwa mwendo huu tutafika kweli!!

Tukafika mbelembele tukaacha barabara ya mpika, tukakata kulia tukakamata barabara ya mbala, kumbe ile barabara mbaya ni pale mwanzo tu, basi chuma zikakamata road, zinaambaa hizo, yule dereva mwingine jina lake Anko yupo hapo nyuma na gari yake anafata moto,

Tulitembea , tulitembea sana, tukafika mahali vyuma vikapaki, tukashusha jiko la gesi tukaangusha ugali na samaki, tukala tukamaliza, nikaosha vyombo pale vyuma vikaamka tena,

Tukafika sehemu panaitwat Kasama, wakasema tuvungeni pale kesho tutaendelea, basi tukavunga pale , jioni tukaangusha tena ugali, tukalala pale,

Saa kumi alfajiri ngoma zikaamka, maeneo nnayo yakumbuka tulipita ni mansa, kawambwa hayo ni baadhi nayakumbuka, ila kuna down za hatari sana huko, tulifika sehemu kuna down paka unaona kama gari inaangukia mbele vile, we fikiri unakuta down inakona alafu ina daraja, kibao chenyewe kimechorwa fuvu alafu speed umeandikiwa 10km/h ndo ujue ni hatari,

Basi bana tulitembea mpaka tukafika sehemu panaitwa Nchelenge, hapo nchelenge ndo kama mji wa mwisho kabla hujakuta boda ya kuingia kongo, Pale kuna yard kubwa magari yanayoenda kongo yanapaki pale,

Hapo nchelenge kuna ziwa kubwa sana, wakazi wa pale ni wavuvi, pale tulikula samaki balaa, yaani samaki wa kwacha 20 sawa nae elf 2 ya huku unapewa samaki sufuria limejaa,

Pale ndo kuna ofisi za migration kwaiyo processes zote za kuvuka boda zinafanyikia pale, huko boda kuna ofisi ndogo tu ambazo ni za kupokea documents tu, Pale nchelenge tulifika ijumaa jioni, ofisi zimeshafungwa, kwaiyo inabidi tukae pale mpka jumatatu ndo tuanze process,

Basi tukalala pale, sasa bana kesho yake paka kucha, tukatoka tukawa tunatembea tembea huko mtaani kuangalia maisha ya wenzetu, kule hawaongei kiswahili kabisa, ni kilugha chao na kingereza tu,

Sasa bana kumbe Anko ni mtu wa mademu sana, katika pitapita zake huko akafumania demu wa kizambia sisi hata hatujui, basi jioni tukapika wali wetu na samaki tukala, tukamwachia anko maana toka tumeondoka ule muda hajarudi,

Kwenye mida ya saa mbili hivi tukiwa tunajiandaa kulala mara mlango unagongwa, kufungua ni mlimzi, akaongea kwa kingereza chake hakieleweki vizuri, ila alituambia twendeni mwenzenu kazua ugomvi huko,

Tukatoka mi na kisoda na yule mlinzi haoo mpaka kwenye gest moja hivi, Kumbe bana Mchana Anko alikuwa na demu mmoja wa kizambia, wakala maisha fresh, sasa jioni Anko kafumania mademu wa kikongo wawili, akaenda nao pale gesti kuwaburuza wote wawili, sasa kumbe yule demu wa kizambia kapata habari, akaenda mpaka pale gest, akagonga kile chumba cha kina Anko,

Walipofungua akazama ndani akaanzisha timbwili kwamba wale mademu wamemuibia mme wake, hapa na pale wale mademu wakampa kichapo yule demu wa kizambia, akaondoka akaenda kuwaita majamaa ya kizambia yakaja pale kwaiyo ikawa fujo,

Ndo yule mlinzi akaja kutushtua tukamwokoe mwenzetu, basi bana tukafika pale tukakuta varangati la kufa mtu, wale jamaa wanataka kuondoka na Anko, tulipofika pale tukawaamshia, tukawaamshia, tukamchukua Anko tukasepa, jamaa wenyewe walevi walevi tu hata hutumii nguvu,

Tukarudi kwenye magari tukaanza kupiga stori, kumbe wale jamaa wameenda kujikusanya limekuwa kundi kubwa wamekuja pale yard wanataka wafunguliwe waingie lasivyo wanavunja geti, wapo na mawe, mapanga, mafimbo, basi ikawa fujo pale, kesi ikawa kwamba Wakongo wameshirikiana na Watanzania kuwapiga wazambia, fujo zilipozidi wale walinzi ikabidi wapige simu polisi, Polisi wakaja pale wakapewa maelezo na wananchi na wale walinzi, wakaja kwenye magari wakatuchukua,

Itaendel
Naona balaa lingine linazuka.
 
Misamaki mkulu umenikumbusha Mwanza Iloganzala misamaki mijike yenye vichwa vyekundu ilikua ni kuitafuna tu na kupeleke mnyeke/amapiano kwa watoto wa SAUT na CBE.Samaki oyeee.
 
Anko nimesubiri sana hii episode ya 21 hadi saa hizi saa tano usiku.nashukuru nimeisoma naomba nilale sasa,ila kesho panapo majaaliwa jitahidi uctuchomeshe sana mahindi!
 
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA

Ilipo ishia,,,,,,,,,,,,

Basi nikamaliza pale, nikatafuta sehemu nikaenda kupiga maji maana nna siku kadhaa sijaoga, Tukarudi kwenye gari abduli akanipa kadeti yake nyeusi na t-sheti nikavaa kidogo na mimi nikaonekana mtu, akaniambia wanasubiri mida ya saa kumi hivi jua likipungue waamshe, kumbe yule jamaa mwingine na yeye ni dereva gari lake kapaki nyuma ya lile, basi tukakaa ndani ya gari tunaendeleza stori, safari ya msewe ndo ikaishia hapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Mida ya jioni hivi jua limepungua chuma ikainga road, nimekaa kushoto mzee naona Abdul anavyocheza na gear basi naona raha kweli, natamani na mimi ningeweza, Chuma ni kubwa lakini anavyoendesha utazani anaendesha gari ndogo, anavyokwepa magari kwenye foleni utazani nyuma hana kitu kumbe ana bonge la tanki huko nyuma,

Basi bana tukapambana na foleni ya ubungo palee mpaka tukatoboa, tukakamata morogoro road nikaona kidaraja chetu kile cha kwenda msewe, nikakumbuka mbali sana, Basi chuma hiyo inaambaa mzee, Kisoda ananikumbusha stori zake za shule pale ili mradi stori ziendelee,

Basi nikawa kama utingo sasa, tukikaribia mizani chuma inapaki pembeni tunaanza kuikagua, maana kisoda aliniambia mizani wanazingua kichizi, tairi ikiwa haina upepo au umepungua, au busta haina upepo au gari ikidondosha mafuta faini ni dola elf 2, basi nipo na tambara langu nikiona hata dalili ya mafuta nafuta, gonga gonga matairi yote yapo freshi, cheki busta ziko freshi basi ngoma ikaingia mizani vigwaza pale, nikashuka nikapeleka kadi dirishani akaniuliza mnaenda wapi nikamwambi kongo, akaniprintia risiti pale tukaamsha zetu,

Kwaiyo hiyo ndo ikawa kazi yangu, tulipofika mikese giza limeshaingia tayari, tukakuta ile mizani haifanyi kazi siku ile jamaa wakatuambia tuamshe basi kisoda akatia gia tukatambaa,

Morogoro tukaingia kama saa mbili mbili hivi, kisoda akaniambia tusogee tukalale melela nikamwambia poa , Basi chuma inaamsha tu , huko ndani inapiga mziki basi ni burudani a/c kama yote, yaani ile chuma mule ndani hata geto halifikii,

Kweli bana tukafika melela pale kuna parking kubwa tu malori mengi hasa ya mafuta yanapaki pale sikujua kwa nini,
Basi tukapaki gari pale tukaanza kutafuta msosi, tukapiga msosi tukarudi, pale kuna bar wanaonyesha mpira tukakaa pale tunacheki gemu ya man u na chelsea, muda ukafika tukarudi kwenye gari tukalala, ile gari ina vitanda viwili cha juu na cha chini,

Basi kesho yake saa kumi na moja alfajiri chuma ikakamata road, ni mpera mpera tu, sema uzuri wa ile gari huchoki humo ndani, basi tukapita mikumi tukaona wanyama, swala kama wote, punda milia, twiga, simba tu ndo sikubaatika kuona, basi kazi yangu ndo ikawa ileile tulipofika mzani wa mikumi, tukapita pale chuma inatambaa usiseme, basi chuma ina lala na kona balaa, kisoda akaniambia ukisikia kona za iyovi ndo hizi, mabasi yanaanguka sana kule,

Haya bana tukafika kitonga, mi nlikuwa napasikia tu kumbe pana tisha sana ukichungulia huko chini, gari ikawa inapanda mdogo mdogo, naambiwa ni kilomita 8 tu lakini magari mengine yanaweza kupanda kuanzia asubuhi paka jioni,

Tukasimama ruaha mmbuyuni pale tukapiga lunch, tukamaliza ngoma ikaamsha hiyo, tukaingia makambako jioji jioni hivi, Kisoda akasema tulale hapa ili kesho tukate pasport hapa, nikasema sawa,

Tukalala pale, baridi kishenzi yani, Asubuhi tukaenda ofisi za uhamiaji pale kukata passport ila mtandao ukawa unasumbua, tukakaa sana pale mwisho tukasema tuondoke tutakatia mbele, basi chuma ikaamsha, tukaingia tunduma jioni hivi, tukapaki sehemu mmoja paitwa uzunguni,

Basi kesho yake Kisoda akanipa hela niende vwawa ndo kuna ofisi za uhamiaji nikakate pasport, yeye akaenda castum kufatilia documents, basi nikapanda dala dala paka vwawa, nikaulizia nikafika hapo uhamiaji, nikafanikiwa kupata passport, nikageuza mpaka uzunguni, Nikamkuta kisoda pale tukaenda kupiga menyu pale fresh,

Kesho yake akasema inabidi twende boder ili nikakate chanjo, basi tukapanda daladala tukaenda, basi tukaingia mule ndani ya ule mjengo pale custom, tukafanya process zetu pale fresh, basi ikatakiwa nikachome sindano nikaelekezwa chumba kimoja hivi, kisoda nikamuacha pale ananisubiri,

Nikachomwa pale, nikapewa na cheti changu cha chanjo, sasa wakati natoka ule mjengo ni mkubwa sa sielewi tena njia ya kutokea, nikasema haina shida si kuna vibao vya exit, nikawa nafata vile vibao, kweli nikafanikiwa kutoka nje,

Sasa ile naondoka mara mlinzi mmoja akaniita, nikaenda pale kwenye chumba chao, akaniambia we umetokea mlango gani, nikamwambia ule pale, akasema unajua kazi ya ule mlango, nikamwambia mi sijui, nimeona mshale unanionesha kutoka mi nikatoka,

Ebwanaee!! Acha wanicharukie, wakasema unajua maana ya ule mlango wewe, ule ni mlango wa dharura , yaani ukifungua tu ule mlango alarm inalia hadi kwa mkurugenzi, sa mi nikawaambia mi nlikuwa sijui, na kama ni wa dharura mbona haujaandikwa, basi wakasema we unajifanya una kiburi eeh, kwanza kaa chini, nikaona isiwe shida nikakaa, kuna kamlinzi kadada hako ndo kamenicharukia balaa, we utaenda kutusaidia kujibu kwa mkurugenzi wewe, basi mi nikakaa kimya tu nawaacha wanabwabwaja pale,

Wakawa sasa wanataka hela ili waniachie, nikawambia hapa nilipo sina hata mia mbovu, wakasema we unakiburi wewe basi utakaa sana hapo, basi mi nikakaa, nawaza kisoda atakuwa kanitafuta sana,

Wakaniweka pale kama masaa manne hivi , walipoona nimekomaa sina hela wakaniambia pita pale usepe, nikapita getini pale nikatokea barabara ambayo ndo magari yanavuka kuingia zambia,

Sasa hii ishakuwa balaa , sina simu na hata ningekuwa na simu namba ya kisoda sikuchukua,

Niikatembea mpaka round about, nikasema sasa hapa nitembee mpaka uzunguni maana ningekuwa na hela ningepanda daladala, wakati natembea nikapata wazo, kwanini nisiombe lift, nikaona lori linakuja taratibu, nikamwomba suka , naomba niache uzunguni broo, kweli akasimama nikapanda, nikafika mpaka uzunguni, nikafika kwenye gari nikamkuta kisoda pale yupo na yule dereva mwimgine aliyeniita pale tabata ,

Kisoda akasema ulipotelea wapi tena, nimekutafuta mule ndani mpaka nikachoka, nikajua labda umekuja kwenye gari nako haupo, nikamweleza masahibu yaliyonikuta, akasema wale wahuni tu walitaka kukuchomoa hela , ila kwa vile umefanikiwa basi fresh, kesho tuta vuka,

Nikakuta kanunua mazaga zaga ya kupika huko njiani, unga, mchele, dagaa, samaki, nyanya, vitunguu yaani vitu chungu nzima , nikasema kweli hii safari,

Kesho yake tukapanda tena daladala tukaenda kule, akaenda kwenye ofisi za agent wao akachukua documents, tukaenda kugonga passport, tukarudi uzunguni chuma zikawashwa tukaondoka, tukafanikiwa kuvuka boda, chuma zikaamsha, sema tulipoingia zambia hapo mwanzoni barabara ni mbaya kishenzi, nikasema sasa kwa mwendo huu tutafika kweli!!

Tukafika mbelembele tukaacha barabara ya mpika, tukakata kulia tukakamata barabara ya mbala, kumbe ile barabara mbaya ni pale mwanzo tu, basi chuma zikakamata road, zinaambaa hizo, yule dereva mwingine jina lake Anko yupo hapo nyuma na gari yake anafata moto,

Tulitembea , tulitembea sana, tukafika mahali vyuma vikapaki, tukashusha jiko la gesi tukaangusha ugali na samaki, tukala tukamaliza, nikaosha vyombo pale vyuma vikaamka tena,

Tukafika sehemu panaitwat Kasama, wakasema tuvungeni pale kesho tutaendelea, basi tukavunga pale , jioni tukaangusha tena ugali, tukalala pale,

Saa kumi alfajiri ngoma zikaamka, maeneo nnayo yakumbuka tulipita ni mansa, kawambwa hayo ni baadhi nayakumbuka, ila kuna down za hatari sana huko, tulifika sehemu kuna down paka unaona kama gari inaangukia mbele vile, we fikiri unakuta down inakona alafu ina daraja, kibao chenyewe kimechorwa fuvu alafu speed umeandikiwa 10km/h ndo ujue ni hatari,

Basi bana tulitembea mpaka tukafika sehemu panaitwa Nchelenge, hapo nchelenge ndo kama mji wa mwisho kabla hujakuta boda ya kuingia kongo, Pale kuna yard kubwa magari yanayoenda kongo yanapaki pale,

Hapo nchelenge kuna ziwa kubwa sana, wakazi wa pale ni wavuvi, pale tulikula samaki balaa, yaani samaki wa kwacha 20 sawa nae elf 2 ya huku unapewa samaki sufuria limejaa,

Pale ndo kuna ofisi za migration kwaiyo processes zote za kuvuka boda zinafanyikia pale, huko boda kuna ofisi ndogo tu ambazo ni za kupokea documents tu, Pale nchelenge tulifika ijumaa jioni, ofisi zimeshafungwa, kwaiyo inabidi tukae pale mpka jumatatu ndo tuanze process,

Basi tukalala pale, sasa bana kesho yake paka kucha, tukatoka tukawa tunatembea tembea huko mtaani kuangalia maisha ya wenzetu, kule hawaongei kiswahili kabisa, ni kilugha chao na kingereza tu,

Sasa bana kumbe Anko ni mtu wa mademu sana, katika pitapita zake huko akafumania demu wa kizambia sisi hata hatujui, basi jioni tukapika wali wetu na samaki tukala, tukamwachia anko maana toka tumeondoka ule muda hajarudi,

Kwenye mida ya saa mbili hivi tukiwa tunajiandaa kulala mara mlango unagongwa, kufungua ni mlimzi, akaongea kwa kingereza chake hakieleweki vizuri, ila alituambia twendeni mwenzenu kazua ugomvi huko,

Tukatoka mi na kisoda na yule mlinzi haoo mpaka kwenye gest moja hivi, Kumbe bana Mchana Anko alikuwa na demu mmoja wa kizambia, wakala maisha fresh, sasa jioni Anko kafumania mademu wa kikongo wawili, akaenda nao pale gesti kuwaburuza wote wawili, sasa kumbe yule demu wa kizambia kapata habari, akaenda mpaka pale gest, akagonga kile chumba cha kina Anko,

Walipofungua akazama ndani akaanzisha timbwili kwamba wale mademu wamemuibia mme wake, hapa na pale wale mademu wakampa kichapo yule demu wa kizambia, akaondoka akaenda kuwaita majamaa ya kizambia yakaja pale kwaiyo ikawa fujo,

Ndo yule mlinzi akaja kutushtua tukamwokoe mwenzetu, basi bana tukafika pale tukakuta varangati la kufa mtu, wale jamaa wanataka kuondoka na Anko, tulipofika pale tukawaamshia, tukawaamshia, tukamchukua Anko tukasepa, jamaa wenyewe walevi walevi tu hata hutumii nguvu,

Tukarudi kwenye magari tukaanza kupiga stori, kumbe wale jamaa wameenda kujikusanya limekuwa kundi kubwa wamekuja pale yard wanataka wafunguliwe waingie lasivyo wanavunja geti, wapo na mawe, mapanga, mafimbo, basi ikawa fujo pale, kesi ikawa kwamba Wakongo wameshirikiana na Watanzania kuwapiga wazambia, fujo zilipozidi wale walinzi ikabidi wapige simu polisi, Polisi wakaja pale wakapewa maelezo na wananchi na wale walinzi, wakaja kwenye magari wakatuchukua,

Itaendel
Dah maisha yana fumbo kubwa sana
 
Ngoja nisogeze ili jiwe niikalie safari ya kongo kupitia njia ya Buluo kama mtu ajakutana na M23 cjui mbeleni
20220426_132004.jpg
 
Anko alimpa pete ya uchumba kabisa huyo Mzambia?
Tukatoka mi na kisoda na yule mlinzi haoo mpaka kwenye gest moja hivi, Kumbe bana Mchana Anko alikuwa na demu mmoja wa kizambia, wakala maisha fresh, sasa jioni Anko kafumania mademu wa kikongo wawili, akaenda nao pale gesti kuwaburuza wote wawili, sasa kumbe yule demu wa kizambia kapata habari, akaenda mpaka pale gest, akagonga kile chumba cha kina Anko,
 
Acheni kutafutiza visababu sababu kama tatzo n laptop basi naamin wazungu wote wangekua washakufa Mana wameiba sana mali afrika lakn wao ndo wanazid kuendelea kuwa juu kila uchwao
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ila kweli asee
 
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA

Ilipo ishia,,,,,,,,,,,,

Basi nikamaliza pale, nikatafuta sehemu nikaenda kupiga maji maana nna siku kadhaa sijaoga, Tukarudi kwenye gari abduli akanipa kadeti yake nyeusi na t-sheti nikavaa kidogo na mimi nikaonekana mtu, akaniambia wanasubiri mida ya saa kumi hivi jua likipungue waamshe, kumbe yule jamaa mwingine na yeye ni dereva gari lake kapaki nyuma ya lile, basi tukakaa ndani ya gari tunaendeleza stori, safari ya msewe ndo ikaishia hapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Mida ya jioni hivi jua limepungua chuma ikainga road, nimekaa kushoto mzee naona Abdul anavyocheza na gear basi naona raha kweli, natamani na mimi ningeweza, Chuma ni kubwa lakini anavyoendesha utazani anaendesha gari ndogo, anavyokwepa magari kwenye foleni utazani nyuma hana kitu kumbe ana bonge la tanki huko nyuma,

Basi bana tukapambana na foleni ya ubungo palee mpaka tukatoboa, tukakamata morogoro road nikaona kidaraja chetu kile cha kwenda msewe, nikakumbuka mbali sana, Basi chuma hiyo inaambaa mzee, Kisoda ananikumbusha stori zake za shule pale ili mradi stori ziendelee,

Basi nikawa kama utingo sasa, tukikaribia mizani chuma inapaki pembeni tunaanza kuikagua, maana kisoda aliniambia mizani wanazingua kichizi, tairi ikiwa haina upepo au umepungua, au busta haina upepo au gari ikidondosha mafuta faini ni dola elf 2, basi nipo na tambara langu nikiona hata dalili ya mafuta nafuta, gonga gonga matairi yote yapo freshi, cheki busta ziko freshi basi ngoma ikaingia mizani vigwaza pale, nikashuka nikapeleka kadi dirishani akaniuliza mnaenda wapi nikamwambi kongo, akaniprintia risiti pale tukaamsha zetu,

Kwaiyo hiyo ndo ikawa kazi yangu, tulipofika mikese giza limeshaingia tayari, tukakuta ile mizani haifanyi kazi siku ile jamaa wakatuambia tuamshe basi kisoda akatia gia tukatambaa,

Morogoro tukaingia kama saa mbili mbili hivi, kisoda akaniambia tusogee tukalale melela nikamwambia poa , Basi chuma inaamsha tu , huko ndani inapiga mziki basi ni burudani a/c kama yote, yaani ile chuma mule ndani hata geto halifikii,

Kweli bana tukafika melela pale kuna parking kubwa tu malori mengi hasa ya mafuta yanapaki pale sikujua kwa nini,
Basi tukapaki gari pale tukaanza kutafuta msosi, tukapiga msosi tukarudi, pale kuna bar wanaonyesha mpira tukakaa pale tunacheki gemu ya man u na chelsea, muda ukafika tukarudi kwenye gari tukalala, ile gari ina vitanda viwili cha juu na cha chini,

Basi kesho yake saa kumi na moja alfajiri chuma ikakamata road, ni mpera mpera tu, sema uzuri wa ile gari huchoki humo ndani, basi tukapita mikumi tukaona wanyama, swala kama wote, punda milia, twiga, simba tu ndo sikubaatika kuona, basi kazi yangu ndo ikawa ileile tulipofika mzani wa mikumi, tukapita pale chuma inatambaa usiseme, basi chuma ina lala na kona balaa, kisoda akaniambia ukisikia kona za iyovi ndo hizi, mabasi yanaanguka sana kule,

Haya bana tukafika kitonga, mi nlikuwa napasikia tu kumbe pana tisha sana ukichungulia huko chini, gari ikawa inapanda mdogo mdogo, naambiwa ni kilomita 8 tu lakini magari mengine yanaweza kupanda kuanzia asubuhi paka jioni,

Tukasimama ruaha mmbuyuni pale tukapiga lunch, tukamaliza ngoma ikaamsha hiyo, tukaingia makambako jioji jioni hivi, Kisoda akasema tulale hapa ili kesho tukate pasport hapa, nikasema sawa,

Tukalala pale, baridi kishenzi yani, Asubuhi tukaenda ofisi za uhamiaji pale kukata passport ila mtandao ukawa unasumbua, tukakaa sana pale mwisho tukasema tuondoke tutakatia mbele, basi chuma ikaamsha, tukaingia tunduma jioni hivi, tukapaki sehemu mmoja paitwa uzunguni,

Basi kesho yake Kisoda akanipa hela niende vwawa ndo kuna ofisi za uhamiaji nikakate pasport, yeye akaenda castum kufatilia documents, basi nikapanda dala dala paka vwawa, nikaulizia nikafika hapo uhamiaji, nikafanikiwa kupata passport, nikageuza mpaka uzunguni, Nikamkuta kisoda pale tukaenda kupiga menyu pale fresh,

Kesho yake akasema inabidi twende boder ili nikakate chanjo, basi tukapanda daladala tukaenda, basi tukaingia mule ndani ya ule mjengo pale custom, tukafanya process zetu pale fresh, basi ikatakiwa nikachome sindano nikaelekezwa chumba kimoja hivi, kisoda nikamuacha pale ananisubiri,

Nikachomwa pale, nikapewa na cheti changu cha chanjo, sasa wakati natoka ule mjengo ni mkubwa sa sielewi tena njia ya kutokea, nikasema haina shida si kuna vibao vya exit, nikawa nafata vile vibao, kweli nikafanikiwa kutoka nje,

Sasa ile naondoka mara mlinzi mmoja akaniita, nikaenda pale kwenye chumba chao, akaniambia we umetokea mlango gani, nikamwambia ule pale, akasema unajua kazi ya ule mlango, nikamwambia mi sijui, nimeona mshale unanionesha kutoka mi nikatoka,

Ebwanaee!! Acha wanicharukie, wakasema unajua maana ya ule mlango wewe, ule ni mlango wa dharura , yaani ukifungua tu ule mlango alarm inalia hadi kwa mkurugenzi, sa mi nikawaambia mi nlikuwa sijui, na kama ni wa dharura mbona haujaandikwa, basi wakasema we unajifanya una kiburi eeh, kwanza kaa chini, nikaona isiwe shida nikakaa, kuna kamlinzi kadada hako ndo kamenicharukia balaa, we utaenda kutusaidia kujibu kwa mkurugenzi wewe, basi mi nikakaa kimya tu nawaacha wanabwabwaja pale,

Wakawa sasa wanataka hela ili waniachie, nikawambia hapa nilipo sina hata mia mbovu, wakasema we unakiburi wewe basi utakaa sana hapo, basi mi nikakaa, nawaza kisoda atakuwa kanitafuta sana,

Wakaniweka pale kama masaa manne hivi , walipoona nimekomaa sina hela wakaniambia pita pale usepe, nikapita getini pale nikatokea barabara ambayo ndo magari yanavuka kuingia zambia,

Sasa hii ishakuwa balaa , sina simu na hata ningekuwa na simu namba ya kisoda sikuchukua,

Niikatembea mpaka round about, nikasema sasa hapa nitembee mpaka uzunguni maana ningekuwa na hela ningepanda daladala, wakati natembea nikapata wazo, kwanini nisiombe lift, nikaona lori linakuja taratibu, nikamwomba suka , naomba niache uzunguni broo, kweli akasimama nikapanda, nikafika mpaka uzunguni, nikafika kwenye gari nikamkuta kisoda pale yupo na yule dereva mwimgine aliyeniita pale tabata ,

Kisoda akasema ulipotelea wapi tena, nimekutafuta mule ndani mpaka nikachoka, nikajua labda umekuja kwenye gari nako haupo, nikamweleza masahibu yaliyonikuta, akasema wale wahuni tu walitaka kukuchomoa hela , ila kwa vile umefanikiwa basi fresh, kesho tuta vuka,

Nikakuta kanunua mazaga zaga ya kupika huko njiani, unga, mchele, dagaa, samaki, nyanya, vitunguu yaani vitu chungu nzima , nikasema kweli hii safari,

Kesho yake tukapanda tena daladala tukaenda kule, akaenda kwenye ofisi za agent wao akachukua documents, tukaenda kugonga passport, tukarudi uzunguni chuma zikawashwa tukaondoka, tukafanikiwa kuvuka boda, chuma zikaamsha, sema tulipoingia zambia hapo mwanzoni barabara ni mbaya kishenzi, nikasema sasa kwa mwendo huu tutafika kweli!!

Tukafika mbelembele tukaacha barabara ya mpika, tukakata kulia tukakamata barabara ya mbala, kumbe ile barabara mbaya ni pale mwanzo tu, basi chuma zikakamata road, zinaambaa hizo, yule dereva mwingine jina lake Anko yupo hapo nyuma na gari yake anafata moto,

Tulitembea , tulitembea sana, tukafika mahali vyuma vikapaki, tukashusha jiko la gesi tukaangusha ugali na samaki, tukala tukamaliza, nikaosha vyombo pale vyuma vikaamka tena,

Tukafika sehemu panaitwat Kasama, wakasema tuvungeni pale kesho tutaendelea, basi tukavunga pale , jioni tukaangusha tena ugali, tukalala pale,

Saa kumi alfajiri ngoma zikaamka, maeneo nnayo yakumbuka tulipita ni mansa, kawambwa hayo ni baadhi nayakumbuka, ila kuna down za hatari sana huko, tulifika sehemu kuna down paka unaona kama gari inaangukia mbele vile, we fikiri unakuta down inakona alafu ina daraja, kibao chenyewe kimechorwa fuvu alafu speed umeandikiwa 10km/h ndo ujue ni hatari,

Basi bana tulitembea mpaka tukafika sehemu panaitwa Nchelenge, hapo nchelenge ndo kama mji wa mwisho kabla hujakuta boda ya kuingia kongo, Pale kuna yard kubwa magari yanayoenda kongo yanapaki pale,

Hapo nchelenge kuna ziwa kubwa sana, wakazi wa pale ni wavuvi, pale tulikula samaki balaa, yaani samaki wa kwacha 20 sawa nae elf 2 ya huku unapewa samaki sufuria limejaa,

Pale ndo kuna ofisi za migration kwaiyo processes zote za kuvuka boda zinafanyikia pale, huko boda kuna ofisi ndogo tu ambazo ni za kupokea documents tu, Pale nchelenge tulifika ijumaa jioni, ofisi zimeshafungwa, kwaiyo inabidi tukae pale mpka jumatatu ndo tuanze process,

Basi tukalala pale, sasa bana kesho yake paka kucha, tukatoka tukawa tunatembea tembea huko mtaani kuangalia maisha ya wenzetu, kule hawaongei kiswahili kabisa, ni kilugha chao na kingereza tu,

Sasa bana kumbe Anko ni mtu wa mademu sana, katika pitapita zake huko akafumania demu wa kizambia sisi hata hatujui, basi jioni tukapika wali wetu na samaki tukala, tukamwachia anko maana toka tumeondoka ule muda hajarudi,

Kwenye mida ya saa mbili hivi tukiwa tunajiandaa kulala mara mlango unagongwa, kufungua ni mlimzi, akaongea kwa kingereza chake hakieleweki vizuri, ila alituambia twendeni mwenzenu kazua ugomvi huko,

Tukatoka mi na kisoda na yule mlinzi haoo mpaka kwenye gest moja hivi, Kumbe bana Mchana Anko alikuwa na demu mmoja wa kizambia, wakala maisha fresh, sasa jioni Anko kafumania mademu wa kikongo wawili, akaenda nao pale gesti kuwaburuza wote wawili, sasa kumbe yule demu wa kizambia kapata habari, akaenda mpaka pale gest, akagonga kile chumba cha kina Anko,

Walipofungua akazama ndani akaanzisha timbwili kwamba wale mademu wamemuibia mme wake, hapa na pale wale mademu wakampa kichapo yule demu wa kizambia, akaondoka akaenda kuwaita majamaa ya kizambia yakaja pale kwaiyo ikawa fujo,

Ndo yule mlinzi akaja kutushtua tukamwokoe mwenzetu, basi bana tukafika pale tukakuta varangati la kufa mtu, wale jamaa wanataka kuondoka na Anko, tulipofika pale tukawaamshia, tukawaamshia, tukamchukua Anko tukasepa, jamaa wenyewe walevi walevi tu hata hutumii nguvu,

Tukarudi kwenye magari tukaanza kupiga stori, kumbe wale jamaa wameenda kujikusanya limekuwa kundi kubwa wamekuja pale yard wanataka wafunguliwe waingie lasivyo wanavunja geti, wapo na mawe, mapanga, mafimbo, basi ikawa fujo pale, kesi ikawa kwamba Wakongo wameshirikiana na Watanzania kuwapiga wazambia, fujo zilipozidi wale walinzi ikabidi wapige simu polisi, Polisi wakaja pale wakapewa maelezo na wananchi na wale walinzi, wakaja kwenye magari wakatuchukua,

Itaendel
[emoji28][emoji28] Kuna tukio baya linakuja sio
 
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA

Ilipo ishia,,,,,,,,,,,,

Basi nikamaliza pale, nikatafuta sehemu nikaenda kupiga maji maana nna siku kadhaa sijaoga, Tukarudi kwenye gari abduli akanipa kadeti yake nyeusi na t-sheti nikavaa kidogo na mimi nikaonekana mtu, akaniambia wanasubiri mida ya saa kumi hivi jua likipungue waamshe, kumbe yule jamaa mwingine na yeye ni dereva gari lake kapaki nyuma ya lile, basi tukakaa ndani ya gari tunaendeleza stori, safari ya msewe ndo ikaishia hapo,

Endelea,,,,,,,,,,,,,,,

Mida ya jioni hivi jua limepungua chuma ikainga road, nimekaa kushoto mzee naona Abdul anavyocheza na gear basi naona raha kweli, natamani na mimi ningeweza, Chuma ni kubwa lakini anavyoendesha utazani anaendesha gari ndogo, anavyokwepa magari kwenye foleni utazani nyuma hana kitu kumbe ana bonge la tanki huko nyuma,

Basi bana tukapambana na foleni ya ubungo palee mpaka tukatoboa, tukakamata morogoro road nikaona kidaraja chetu kile cha kwenda msewe, nikakumbuka mbali sana, Basi chuma hiyo inaambaa mzee, Kisoda ananikumbusha stori zake za shule pale ili mradi stori ziendelee,

Basi nikawa kama utingo sasa, tukikaribia mizani chuma inapaki pembeni tunaanza kuikagua, maana kisoda aliniambia mizani wanazingua kichizi, tairi ikiwa haina upepo au umepungua, au busta haina upepo au gari ikidondosha mafuta faini ni dola elf 2, basi nipo na tambara langu nikiona hata dalili ya mafuta nafuta, gonga gonga matairi yote yapo freshi, cheki busta ziko freshi basi ngoma ikaingia mizani vigwaza pale, nikashuka nikapeleka kadi dirishani akaniuliza mnaenda wapi nikamwambi kongo, akaniprintia risiti pale tukaamsha zetu,

Kwaiyo hiyo ndo ikawa kazi yangu, tulipofika mikese giza limeshaingia tayari, tukakuta ile mizani haifanyi kazi siku ile jamaa wakatuambia tuamshe basi kisoda akatia gia tukatambaa,

Morogoro tukaingia kama saa mbili mbili hivi, kisoda akaniambia tusogee tukalale melela nikamwambia poa , Basi chuma inaamsha tu , huko ndani inapiga mziki basi ni burudani a/c kama yote, yaani ile chuma mule ndani hata geto halifikii,

Kweli bana tukafika melela pale kuna parking kubwa tu malori mengi hasa ya mafuta yanapaki pale sikujua kwa nini,
Basi tukapaki gari pale tukaanza kutafuta msosi, tukapiga msosi tukarudi, pale kuna bar wanaonyesha mpira tukakaa pale tunacheki gemu ya man u na chelsea, muda ukafika tukarudi kwenye gari tukalala, ile gari ina vitanda viwili cha juu na cha chini,

Basi kesho yake saa kumi na moja alfajiri chuma ikakamata road, ni mpera mpera tu, sema uzuri wa ile gari huchoki humo ndani, basi tukapita mikumi tukaona wanyama, swala kama wote, punda milia, twiga, simba tu ndo sikubaatika kuona, basi kazi yangu ndo ikawa ileile tulipofika mzani wa mikumi, tukapita pale chuma inatambaa usiseme, basi chuma ina lala na kona balaa, kisoda akaniambia ukisikia kona za iyovi ndo hizi, mabasi yanaanguka sana kule,

Haya bana tukafika kitonga, mi nlikuwa napasikia tu kumbe pana tisha sana ukichungulia huko chini, gari ikawa inapanda mdogo mdogo, naambiwa ni kilomita 8 tu lakini magari mengine yanaweza kupanda kuanzia asubuhi paka jioni,

Tukasimama ruaha mmbuyuni pale tukapiga lunch, tukamaliza ngoma ikaamsha hiyo, tukaingia makambako jioji jioni hivi, Kisoda akasema tulale hapa ili kesho tukate pasport hapa, nikasema sawa,

Tukalala pale, baridi kishenzi yani, Asubuhi tukaenda ofisi za uhamiaji pale kukata passport ila mtandao ukawa unasumbua, tukakaa sana pale mwisho tukasema tuondoke tutakatia mbele, basi chuma ikaamsha, tukaingia tunduma jioni hivi, tukapaki sehemu mmoja paitwa uzunguni,

Basi kesho yake Kisoda akanipa hela niende vwawa ndo kuna ofisi za uhamiaji nikakate pasport, yeye akaenda castum kufatilia documents, basi nikapanda dala dala paka vwawa, nikaulizia nikafika hapo uhamiaji, nikafanikiwa kupata passport, nikageuza mpaka uzunguni, Nikamkuta kisoda pale tukaenda kupiga menyu pale fresh,

Kesho yake akasema inabidi twende boder ili nikakate chanjo, basi tukapanda daladala tukaenda, basi tukaingia mule ndani ya ule mjengo pale custom, tukafanya process zetu pale fresh, basi ikatakiwa nikachome sindano nikaelekezwa chumba kimoja hivi, kisoda nikamuacha pale ananisubiri,

Nikachomwa pale, nikapewa na cheti changu cha chanjo, sasa wakati natoka ule mjengo ni mkubwa sa sielewi tena njia ya kutokea, nikasema haina shida si kuna vibao vya exit, nikawa nafata vile vibao, kweli nikafanikiwa kutoka nje,

Sasa ile naondoka mara mlinzi mmoja akaniita, nikaenda pale kwenye chumba chao, akaniambia we umetokea mlango gani, nikamwambia ule pale, akasema unajua kazi ya ule mlango, nikamwambia mi sijui, nimeona mshale unanionesha kutoka mi nikatoka,

Ebwanaee!! Acha wanicharukie, wakasema unajua maana ya ule mlango wewe, ule ni mlango wa dharura , yaani ukifungua tu ule mlango alarm inalia hadi kwa mkurugenzi, sa mi nikawaambia mi nlikuwa sijui, na kama ni wa dharura mbona haujaandikwa, basi wakasema we unajifanya una kiburi eeh, kwanza kaa chini, nikaona isiwe shida nikakaa, kuna kamlinzi kadada hako ndo kamenicharukia balaa, we utaenda kutusaidia kujibu kwa mkurugenzi wewe, basi mi nikakaa kimya tu nawaacha wanabwabwaja pale,

Wakawa sasa wanataka hela ili waniachie, nikawambia hapa nilipo sina hata mia mbovu, wakasema we unakiburi wewe basi utakaa sana hapo, basi mi nikakaa, nawaza kisoda atakuwa kanitafuta sana,

Wakaniweka pale kama masaa manne hivi , walipoona nimekomaa sina hela wakaniambia pita pale usepe, nikapita getini pale nikatokea barabara ambayo ndo magari yanavuka kuingia zambia,

Sasa hii ishakuwa balaa , sina simu na hata ningekuwa na simu namba ya kisoda sikuchukua,

Niikatembea mpaka round about, nikasema sasa hapa nitembee mpaka uzunguni maana ningekuwa na hela ningepanda daladala, wakati natembea nikapata wazo, kwanini nisiombe lift, nikaona lori linakuja taratibu, nikamwomba suka , naomba niache uzunguni broo, kweli akasimama nikapanda, nikafika mpaka uzunguni, nikafika kwenye gari nikamkuta kisoda pale yupo na yule dereva mwimgine aliyeniita pale tabata ,

Kisoda akasema ulipotelea wapi tena, nimekutafuta mule ndani mpaka nikachoka, nikajua labda umekuja kwenye gari nako haupo, nikamweleza masahibu yaliyonikuta, akasema wale wahuni tu walitaka kukuchomoa hela , ila kwa vile umefanikiwa basi fresh, kesho tuta vuka,

Nikakuta kanunua mazaga zaga ya kupika huko njiani, unga, mchele, dagaa, samaki, nyanya, vitunguu yaani vitu chungu nzima , nikasema kweli hii safari,

Kesho yake tukapanda tena daladala tukaenda kule, akaenda kwenye ofisi za agent wao akachukua documents, tukaenda kugonga passport, tukarudi uzunguni chuma zikawashwa tukaondoka, tukafanikiwa kuvuka boda, chuma zikaamsha, sema tulipoingia zambia hapo mwanzoni barabara ni mbaya kishenzi, nikasema sasa kwa mwendo huu tutafika kweli!!

Tukafika mbelembele tukaacha barabara ya mpika, tukakata kulia tukakamata barabara ya mbala, kumbe ile barabara mbaya ni pale mwanzo tu, basi chuma zikakamata road, zinaambaa hizo, yule dereva mwingine jina lake Anko yupo hapo nyuma na gari yake anafata moto,

Tulitembea , tulitembea sana, tukafika mahali vyuma vikapaki, tukashusha jiko la gesi tukaangusha ugali na samaki, tukala tukamaliza, nikaosha vyombo pale vyuma vikaamka tena,

Tukafika sehemu panaitwat Kasama, wakasema tuvungeni pale kesho tutaendelea, basi tukavunga pale , jioni tukaangusha tena ugali, tukalala pale,

Saa kumi alfajiri ngoma zikaamka, maeneo nnayo yakumbuka tulipita ni mansa, kawambwa hayo ni baadhi nayakumbuka, ila kuna down za hatari sana huko, tulifika sehemu kuna down paka unaona kama gari inaangukia mbele vile, we fikiri unakuta down inakona alafu ina daraja, kibao chenyewe kimechorwa fuvu alafu speed umeandikiwa 10km/h ndo ujue ni hatari,

Basi bana tulitembea mpaka tukafika sehemu panaitwa Nchelenge, hapo nchelenge ndo kama mji wa mwisho kabla hujakuta boda ya kuingia kongo, Pale kuna yard kubwa magari yanayoenda kongo yanapaki pale,

Hapo nchelenge kuna ziwa kubwa sana, wakazi wa pale ni wavuvi, pale tulikula samaki balaa, yaani samaki wa kwacha 20 sawa nae elf 2 ya huku unapewa samaki sufuria limejaa,

Pale ndo kuna ofisi za migration kwaiyo processes zote za kuvuka boda zinafanyikia pale, huko boda kuna ofisi ndogo tu ambazo ni za kupokea documents tu, Pale nchelenge tulifika ijumaa jioni, ofisi zimeshafungwa, kwaiyo inabidi tukae pale mpka jumatatu ndo tuanze process,

Basi tukalala pale, sasa bana kesho yake paka kucha, tukatoka tukawa tunatembea tembea huko mtaani kuangalia maisha ya wenzetu, kule hawaongei kiswahili kabisa, ni kilugha chao na kingereza tu,

Sasa bana kumbe Anko ni mtu wa mademu sana, katika pitapita zake huko akafumania demu wa kizambia sisi hata hatujui, basi jioni tukapika wali wetu na samaki tukala, tukamwachia anko maana toka tumeondoka ule muda hajarudi,

Kwenye mida ya saa mbili hivi tukiwa tunajiandaa kulala mara mlango unagongwa, kufungua ni mlimzi, akaongea kwa kingereza chake hakieleweki vizuri, ila alituambia twendeni mwenzenu kazua ugomvi huko,

Tukatoka mi na kisoda na yule mlinzi haoo mpaka kwenye gest moja hivi, Kumbe bana Mchana Anko alikuwa na demu mmoja wa kizambia, wakala maisha fresh, sasa jioni Anko kafumania mademu wa kikongo wawili, akaenda nao pale gesti kuwaburuza wote wawili, sasa kumbe yule demu wa kizambia kapata habari, akaenda mpaka pale gest, akagonga kile chumba cha kina Anko,

Walipofungua akazama ndani akaanzisha timbwili kwamba wale mademu wamemuibia mme wake, hapa na pale wale mademu wakampa kichapo yule demu wa kizambia, akaondoka akaenda kuwaita majamaa ya kizambia yakaja pale kwaiyo ikawa fujo,

Ndo yule mlinzi akaja kutushtua tukamwokoe mwenzetu, basi bana tukafika pale tukakuta varangati la kufa mtu, wale jamaa wanataka kuondoka na Anko, tulipofika pale tukawaamshia, tukawaamshia, tukamchukua Anko tukasepa, jamaa wenyewe walevi walevi tu hata hutumii nguvu,

Tukarudi kwenye magari tukaanza kupiga stori, kumbe wale jamaa wameenda kujikusanya limekuwa kundi kubwa wamekuja pale yard wanataka wafunguliwe waingie lasivyo wanavunja geti, wapo na mawe, mapanga, mafimbo, basi ikawa fujo pale, kesi ikawa kwamba Wakongo wameshirikiana na Watanzania kuwapiga wazambia, fujo zilipozidi wale walinzi ikabidi wapige simu polisi, Polisi wakaja pale wakapewa maelezo na wananchi na wale walinzi, wakaja kwenye magari wakatuchukua,

Itaendel
Mji wa mwisho kuingia custom ya lumbumbashi kutokea zambia unaitwa chilabombwe upo njia panda kidogo kuicha Kitwe hiyo chelenji sijailewa au ulikuwa una maanisha selenji mji mdogo baada kuimaliza Mpika . Twende kazi.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Mlisema passport ni picha?
Kama jirani na ulipo kuna stationery (hata ndogo ya kawaida) nenda, kisha waambie wahusika unahitaji passport.

Vitu vingine sio vya kuvutana hat kidogo. Anayesema barabara akimaanisha "sawia" na anayesema barabara akimaanisha "njia ya kupita magari" wote wako sahihi kutegemea na aina ya mazungumzo na sehemu husika.
 
Back
Top Bottom