Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utetezi wako huwa unamwaribia muhusika badala ya kumjenga, maana huwa unaandika vitu vya ajabu mpaka muhusika anaona aibu. Kumbuka ulivyomtia aibu 2mbili humu mpaka akasema uache kumpamba maana ni aibu.Mwaka huu mpaka ushikwe na ukichaa maana dkt Tulia anakupa kiwewe na kuweweseka sana .Tangia umeona namna anavyokubalika na kupendwa na wanambeya umekuwa ukihaha sana kutunga vi uzushi vyako. Mbeya inampenda dkt Tulia ni haijawahi kutokea katika Historia ya jiji la mbeya. Dkt Tulia amebebwa na wana Mbeya katika mioyo yao na kuungwa mkono sana kwa namna mtoto wao huyu wa nyumbani anavyowajali na kuwapenda.
Wana Mbeya wameona namna alivyowaletea maendeleo kila eneo.ni ushawishi wa dkt ulioleta mradi wa barabara za lami njia nne kutoka igawa mkoani Mbeya mpaka Tunduma mkoani Songwe km 237.9.
Ni dkt Tulia amejenga mabweni ya wanafunzi maeneo mbalimbali kama alivyofanya kwenye shule ya Samora.
Ni dkt Tulia amegawa mpaka sasa bima za afya bure karibu elfu kumi ,ambapo mwaka huu tu ametoa bima za afya elfu sita .na hata mwaka jana alitoa bure bima za afya zaidi ya elfu tatu.
Hii ndio sababu hata akiitisha mkutano kwa kupiga tu filimbi watu watamiminika na kufurika utafikiri wamevutwa kwa kamba au sumaku. Hii ndio sababu wana Mbeya hawataki kabisa kusikia jina wala kuiona sura ya Sugu aliyeendesha jimbo utafikiri ana matatizo ya ufikiri.
Vijana ni wengi kuliko hao kina Mwa wanaoingia katika kundi la wastaafu. Umeshajiuliza ni kwanini Diamond alipiga sana pesa wakati wa kampeni ya 2020?.Zamani kidogo nilidhani unapokuwa na Cheo kikubwa basi waweza kushawishi watu wengi wakupende, na hasa watu wa Kwenu, kumbe sikuwa sahihi.
Wakati mwingine huwa najiuliza huyu Tulia Ackson alichaguliwa na nani kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini? Inashangaza sana! huyu Mama hana Ushawishi kabisa, Hana Uwezo wa kuitisha Mkutano wa hadhara hata Soko Matola tu, achilia mbali Uyole.
Halafu ni kama Mbeya yenyewe haijui, Sijui kakulia wapi, Kwa Mbeya ni afadhali hata uweke Tamasha la Kwaya kuliko hawa Wahuni wanaotukana na Kufungiwa na BASATA kila uchao, Wazee wa Mbeya waliojaa Heshima na Busara hawawezi kuja kwenye Matamasha ya Matusi.
View attachment 2986782
Dr Tulia anafanya mengi sana yenye kugusa maisha ya watu, hizi kampeni zako nyepesi za humu JF hazina mashiko kulinganisha na uhusika wa moja kwa moja wa spika kwenye miradi mbalimbali ya wananchi.Akiwa Spika wa Bunge amesaidiaje sera ya Elimu?
Siku hizi marathon na jogging zote ni za viongozi wa ccm ft wasaniiZamani kidogo nilidhani unapokuwa na Cheo kikubwa basi waweza kushawishi watu wengi wakupende, na hasa watu wa Kwenu, kumbe sikuwa sahihi.
Wakati mwingine huwa najiuliza huyu Tulia Ackson alichaguliwa na nani kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini? Inashangaza sana! huyu Mama hana Ushawishi kabisa, Hana Uwezo wa kuitisha Mkutano wa hadhara hata Soko Matola tu, achilia mbali Uyole.
Halafu ni kama Mbeya yenyewe haijui, Sijui kakulia wapi, Kwa Mbeya ni afadhali hata uweke Tamasha la Kwaya kuliko hawa Wahuni wanaotukana na Kufungiwa na BASATA kila uchao, Wazee wa Mbeya waliojaa Heshima na Busara hawawezi kuja kwenye Matamasha ya Matusi.
View attachment 2986782
Weka alichokifanya ili uniumbue, mmelekezwa na Mama mjibu hoja zetu, ila mjibu kwa kuweka vielelezoDr Tulia anafanya mengi sana yenye kugusa maisha ya watu, hizi kampeni zako nyepesi za humu JF hazina mashiko kulinganisha na uhusika wa moja kwa moja wa spika kwenye miradi mbalimbali ya wananchi.
Nenda huko Mbeya ukaone kuliko kudai kuelezwa kilichofanyika wakati ushahidi ni mwingi, na unapoletwa huwa mnakuja na mada nyingine, mnahamisha magoli.Weka alichokifanya ili uniumbue, mmelekezwa na Mama mjibu hoja zetu, ila mjibu kwa kuweka vielelezo
Niko Mbeya, hiyo unayoisema wewe ni Mbeya Ipi?Nenda huko Mbeya ukaone kuliko kudai kuelezwa kilichofanyika wakati ushahidi ni mwingi, na unapoletwa huwa mnakuja na mada nyingine, mnahamisha magoli.
Ni kweliSUGU ni Msanii..
Na ndiyo maana mchezo wa Riadha umekufa kabisa kwa kunajisiwa na hawa mumiani wa CCM.Siku hizi marathon na jogging zote ni za viongozi wa ccm ft wasanii
Ile sura ya kuzimu kabisaHuwezi kumpenda huyo ajuza mwenye sura mbaya kama una akili timamu
Nafuu ya shetani aseeIle sura ya kuzimu kabisa
Lazima zife harakaSiku hizi marathon na jogging zote ni za viongozi wa ccm ft wasanii
Wewe ni mtu wa Mbowe huwezi kuliona zuri hata moja la mbunge wa CCM, nina uhakika anafanya mengi.Niko Mbeya, hiyo unayoisema wewe ni Mbeya Ipi?
😆😆😆 Tuonyeshe basiWewe ni mtu wa Mbowe huwezi kuliona zuri hata moja la mbunge wa CCM, nina uhakika anafanya mengi.
Chawa wa Mbowe unajulikana sana humu jukwaani.😆😆😆 Tuonyeshe basi
Kingine ni hiki, Mimi ni Mtu wa Chadema, si mtu wa Mbowe