Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Usiogope kukataliwa na Wananchi, ndio Demokrasia yenyeweChawa wa Mbowe unajulikana sana humu jukwaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope kukataliwa na Wananchi, ndio Demokrasia yenyeweChawa wa Mbowe unajulikana sana humu jukwaani.
Uko nje ya mada ungefungua uzi wakoNi dkt Tulia Acksoni Mwansasu amesaidia vikundi mbalimbali vya vijana na akina mama kujipatia mitaji ya kuendeshea shughuli zao mbalimbali za kujipatia kipato ,ambapo kupitia utaratibu huu vijana wengi sana wamejikwamua kiuchumi na kuondokana na utegemezi.
Wakati yeye sugu alikuwaga anafanya kazi ya kuwakimbia vijana na kwenda bungeni kulidhalilisha jimbo kwa kuonyesha kidole kinachoashilia matusi.na kufanya wanambeya wate kuonekana ni wahuni.
Mwenzio Zuchu kala mvua ya mawe kwa kauli kama hiyoTulia Ackson mitano tena ipo palepale
Huwezi kujenga zahanati na kuleta madawa halafu wananchi wakakukataa, anakataliwa na nyinyi wanyakyusa wachache mliomo humu JF huko kwa wananchi wengi wa kawaida wanaojielewa hawezi kukataliwa.Usiogope kukataliwa na Wananchi, ndio Demokrasia yenyewe