Pre GE2025 Usilolifahamu ni hili: Bila wasanii Tulia Ackson hawezi kupata watu kwenye Mkutano wa Hadhara Mbeya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulia Ackson mitano tena ipo palepale
 
Uko nje ya mada ungefungua uzi wako
 
Usiogope kukataliwa na Wananchi, ndio Demokrasia yenyewe
Huwezi kujenga zahanati na kuleta madawa halafu wananchi wakakukataa, anakataliwa na nyinyi wanyakyusa wachache mliomo humu JF huko kwa wananchi wengi wa kawaida wanaojielewa hawezi kukataliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…