Ni dkt Tulia Acksoni Mwansasu amesaidia vikundi mbalimbali vya vijana na akina mama kujipatia mitaji ya kuendeshea shughuli zao mbalimbali za kujipatia kipato ,ambapo kupitia utaratibu huu vijana wengi sana wamejikwamua kiuchumi na kuondokana na utegemezi.
Wakati yeye sugu alikuwaga anafanya kazi ya kuwakimbia vijana na kwenda bungeni kulidhalilisha jimbo kwa kuonyesha kidole kinachoashilia matusi.na kufanya wanambeya wate kuonekana ni wahuni.