π₯π₯π₯βοΈFor your information JPM yupo kuume kwa Mungu
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kubaki madarakani kimabavuLowassa: Chadema siyo wanasiasa bali ni wanaharakati
Mkurugenzi aliamrisha polisi kufyatua risasi? Ana hayo mamlaka?..mkurugenzi alikuwa analalamikiwa na hao unaodai walifanya " unlawful assembly. "
..mkurugenzi angefanya kazi yake kwa kufuata sheria na taratibu kusingekuwa na maandamano, polisi wasingefyatua risasi hovyo, na Akwilina asingeuwawa.
Nyinyi nyumbu mnapenda kusema "serikali ya CCM" hamtofautishi baina ya serikali na chama. Sasa wao CCM wakichanganya mnalia lia...Ccm mnaharibu nchi.
..mmejaza watu wa hovyo kama Karugumjuli kila mahali ikiwemo polisi, tiss, mahakamani etc
..hii nchi ni yetu sote.
Rafiki yako Sabaya bado yupo Jela pale Karanga,sioni nyuzi zako za kumlilia ili aachiwe,umechoka enh??Sawa alikuwa mkurugenzi wakati ule Akwilina alipouwawa. Sasa yeye kushiriki chaguzi za CCM kama mwanaCCM kunq ubaya gani? Je kama alishastaafu utumishi wa umma?
Acheni siasa njaa bana.View attachment 2381711
Uwajibikaji zuzu wewe, someone lost her life ,its not a joking matter, mazuzu wa working class wa nchi hii mnashangaza mno yaani hamshituki au kuguswa kuwa uhai wa binadamu mwenzetu ulikatishwa, huyu jamaa ndiye aliyekuwa responsible guy na hakuna kilichofanyika,je unafikiria familia ya Akwilina (rip)wamepata closure ya mpendwa wao?,kuna mazuzu makatili mpaka najiuliza kama mtoa hoja hii unaingia kwenye nyumba za ibadaHuyu jamaa alipokuwa mkurugenzi ndio alifyatua bunduki?
We kenge uliyejoin Jf mwaka huu unanijua mimi?Rafiki yako Sabaya bado yupo Jela pale Karanga,sioni nyuzi zako za kumlilia ili aachiwe,umechoka enh??
Huu ni ulemavu wa akili, kuhusisha maandamano yenu na uchaguzi wa ccm. Weee pambalu ebu acha kuweweseka na ccm kila kukicha.Kwa wageni wa JF ama labda na Wenyeji lakini Wasahaulifu , Aron Kagurumujuli alikuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni , aliyeshiriki kikamilifu kutokomeza Demokrasia na kuhusika kwa Udi na Uvumba kwenye Mauaji ya Akwilina , Mwanafunzi wa chuo cha NIT , aliyepigwa risasi na Polisi na kupasuliwa kichwa ndani ya Daladala , kwenye Mauaji ambayo walengwa hasa walikuwa viongozi wa Chadema , Kagurumujuli alishirikiana Kikamilifu na RPC wa Kanda Maalum aliyeitwa Lazaro Mambosasa .
Hadithi hii ni ndefu sana , na nina hakika kwa dondoo hizo hapo juu angalau nimewakumbusha jambo .
Bali itoshe tu kusema kwamba Kagurumujuli , aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi unaoandaliwa na Tume ya Uchaguzi , Amechaguliwa kwa kishindo kuwa MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA kutokea Wilaya ya Kinondoni , kwa tafsiri ya haraka , inaonyesha kwamba wanaccm wa Kinondoni wamemlipa Kagurumujuli kwa kazi nzuri ya kukisaidia chama chao na kushiriki mauaji ya Akwilina .
#Katiba mpya ni sasa
Dunia nzima wewe unajua aliyekufa ni Magufuli tuu. Ovyo kabisa.Mbona Magufuli hakupewa uo Muda wa kutubu?
Kwani Kuna yupi amekaa kwenye kuuke?For your information JPM yupo kuume kwa Mungu
Ipo siku inakuja. Sisi CCM tutakuja kulipa haya madhila tunayoyaratibu na hii inaweza kutukuta sisi wengine tupo hai au tumekufa. Lakini malipo yaja.Kwa wageni wa JF ama labda na Wenyeji lakini Wasahaulifu , Aron Kagurumujuli alikuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni , aliyeshiriki kikamilifu kutokomeza Demokrasia na kuhusika kwa Udi na Uvumba kwenye Mauaji ya Akwilina , Mwanafunzi wa chuo cha NIT , aliyepigwa risasi na Polisi na kupasuliwa kichwa ndani ya Daladala , kwenye Mauaji ambayo walengwa hasa walikuwa viongozi wa Chadema , Kagurumujuli alishirikiana Kikamilifu na RPC wa Kanda Maalum aliyeitwa Lazaro Mambosasa .
Hadithi hii ni ndefu sana , na nina hakika kwa dondoo hizo hapo juu angalau nimewakumbusha jambo .
Bali itoshe tu kusema kwamba Kagurumujuli , aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi unaoandaliwa na Tume ya Uchaguzi , Amechaguliwa kwa kishindo kuwa MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA kutokea Wilaya ya Kinondoni , kwa tafsiri ya haraka , inaonyesha kwamba wanaccm wa Kinondoni wamemlipa Kagurumujuli kwa kazi nzuri ya kukisaidia chama chao na kushiriki mauaji ya Akwilina .
#Katiba mpya ni sasa
Nyinyi nyumbu mnapenda kusema "serikali ya CCM" hamtofautishi baina ya serikali na chama. Sasa wao CCM wakichanganya mnalia lia.
Mnafikiri watamzuia asigombee kwa vile nyinyi mmesema?
Mtakatifu tena aliyetabiri kuchukua nafasi ya Malaika Gabrieli unamwingiza huko? Watu wema na watakatifu hufa mapema. Au unasemaje?? I wish he was what he claimed to be.Mbona Magufuli hakupewa uo Muda wa kutubu?
For your information JPM yupo kuume kwa Mungu
[emoji38][emoji38][emoji38]Mungu yupi?
JinyongeKwa wageni wa JF ama labda na Wenyeji lakini Wasahaulifu , Aron Kagurumujuli alikuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni , aliyeshiriki kikamilifu kutokomeza Demokrasia na kuhusika kwa Udi na Uvumba kwenye Mauaji ya Akwilina , Mwanafunzi wa chuo cha NIT , aliyepigwa risasi na Polisi na kupasuliwa kichwa ndani ya Daladala , kwenye Mauaji ambayo walengwa hasa walikuwa viongozi wa Chadema , Kagurumujuli alishirikiana Kikamilifu na RPC wa Kanda Maalum aliyeitwa Lazaro Mambosasa .
Hadithi hii ni ndefu sana , na nina hakika kwa dondoo hizo hapo juu angalau nimewakumbusha jambo .
Bali itoshe tu kusema kwamba Kagurumujuli , aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi unaoandaliwa na Tume ya Uchaguzi , Amechaguliwa kwa kishindo kuwa MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA kutokea Wilaya ya Kinondoni , kwa tafsiri ya haraka , inaonyesha kwamba wanaccm wa Kinondoni wamemlipa Kagurumujuli kwa kazi nzuri ya kukisaidia chama chao na kushiriki mauaji ya Akwilina .
#Katiba mpya ni sasa
Wala sijinyongiJinyonge