Usimamizi mbovu ndio unaosababisha bandari kuchangia 37% ya bajeti ya taifa

Usimamizi mbovu ndio unaosababisha bandari kuchangia 37% ya bajeti ya taifa

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema pamoja na Serikali kuwekeza tsh 1 trillion pale Bandarini bado performance imekuwa hairidhishi.

Tatizo la bandari yetu kuchangia bajeti 37% ni kwasababu ya usimamizi mbovu ambapo hupelekea baadhi ya vigogo wa serikali na watu mashuhuri kipitisha mizigo yao bila kulipa kodi yoyote si hayo tu pesa za ukarabati wa bandari na kutengeneza mifumo mizuri ya teknolojia imekuwa ikiharibiwa na watendaji wa bandari na kutonunuliwa kabisa,tumekuwa tunaona matukio mbalimbali kama hayo nchini yanasemwa na serikali yenyewe. kwa hiyo uzembe wa serikali katika usimamizi na kupeana vyeo kwa kujuana ndiyo unapelekea uchangiaji mbovu.

Prof. kutuambia kwamba DP WORLD itachangia kiasi cha 67% ya bajeti ya taifa ni hisia zake mwenyewe. pesa mmekopa kwa ajiri ya upanuzi wa bandari zaidi ya trion moja hizo pesa kumbukeni mtatesa watanzania kuzilipa.

Tanzania hii haitokuja kuendelea kwa mifumo hii ya kupeana vyeo kwa kujuana na kulindana kwani kufanya hivo ndiyo imepekekea utendaji mbovu katika sekta mbalimbali.

Mashirika mengi ya umma yatakufa kwa mtindo huu ccm inavyoendesha nchi kwa kujuana.

Nasema endeleeni kupeana vyeo mara huyu anastaafu mara yule mnapeana board.
 
Mkataba unaenda kuwa kero sugu ya Muungano. Tahadhari ichukuliwe. Watanganyika tumekuwa wavumilivu kwenye Muungano. Lakn sasa naona uvumilivu unakuwa mgumu kwa mikataba ya aina hii.
 
Kila kitu ni usimamizi nakubaliana na wewe.
 
Hawa Wazanzibari wanatudanganya mchana kweupee.
 
Kila kitu ni usimamizi nakubaliana na wewe.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] bandari ya daresalaam
 
mtanzania ukimwajiri bila fimbo mgongoni hawezi kufanya kazi kwa ufanisi.yani anawaza akuibieje.
Aliyezindika nchi yetu sijui alitumia nini .🙆‍♂️🙆‍♂️
miaka 60 ya uhuru hatywezi kufanya mambo yetu kwa ufanisi.ni aibu kwa kweli.
ukimwajiri injinia anakujengea nyumba ya remove control ya simu yake .daah
 
Back
Top Bottom