National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Ndio maana yake mkuuPoor intelligence assessment sio ?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana yake mkuuPoor intelligence assessment sio ?...
Wewe akili huna. Hiyo ID ingekuwa haina 2025 ndo ingekuwa na maana unayodhani wewe. Siku nyingine ficha upumbavu wako.Duuh 🙄
Kumbe we dume, kwanini unajiita mama kwenye I'd?!!
Mbona wewe ndo mpumbavu og sasa🙄 ngoja niishie hapo!Wewe akili huna. Hiyo ID ingekuwa haina 2025 ndo ingekuwa na maana unayodhani wewe. Siku nyingine ficha upumbavu wako.
Wewe ni Dr wa mbuzi au binadamu? Hiyo Phd ulitunukiwa na University of Gamboshi?Wamekuwa single mother na kushindwa ndoa kisa walikukataa wewe?
Hivi ukiwa Ccm ni lazima akili zifyatuke?
Ukimshangaa huyo mama Samia basi hujayaona ya Mpwayungu kutamani kuwa mwanamke.Duuh 🙄
Kumbe we dume, kwanini unajiita mama kwenye I'd?!!
Noma sana!Aisee Bora ulivokimbia, wale ni mtego. Ni hatari sana kwa mwanaume kumkubali msichana aliyemkataa mwanzoni, akipata mwingine mwenye characteristics kama za aliyeachana naye atakuacha tena.
Masculinity principle.
And it's vice-versa is trueKuna wanawake wanakataa kwasabb mbingu zinafahamu umri wa huyo ni mfupi. Hivyo zinampa muongozo akukatae. Ungemuoa soon ungebaki mgane.
Kuna mwanamke anakukataa kwasabb mbingu zinajua wewe ni mwema, mnyenyekevu na mwaminifu wakati huyo mke ni kicheche, purukushani nguo kuchanika. Ukimuoa utakufa mapema.
Ndiyo maana tunaambiwa na maandiko kuwa "shukuruni kwa kila jambo"