Usimchukie mwanamke anayekukataa

hii iliwai kunitoea kwa madem wawili, niliwatongoza wakanichomolea baadae nikawachukia nikakata ata mawasiliano nao, baadae nikaja kugundua kwamba yanini niwachukie, tatizo liko wapi, nikawa nikionana nao salam fresh, baadae mmoja alivyoona nipo normal simuhangaikii tena kumtaka akajishtukia akaanza kunitaka yey kwa udi na uvumba mim nikawa ninawasiwasi nae nikamtema.

wapili anaishi mkoani uko amepata ajira ndogo kwenye taasisi fulani uyo ananipigaga genji mara kwa mara mim namkwepa
 
And it's vice-versa is true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…