Sport ladyy
JF-Expert Member
- May 9, 2024
- 263
- 524
Hivo hivo ulivyoelewa mahiNDIO nini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivo hivo ulivyoelewa mahiNDIO nini!?
Achia NambaHivo hivo ulivyoelewa mahi
Ya NIDA 😜Achia Namba
Ya TIGOYa NIDA 😜
Weka ww si unayo? Mi nna ya NIDAYa TIGO
Haina msaadaWeka ww si unayo? Mi nna ya NIDA
Kumgeuka shetani ni kutangaza vita na kuzimu... sasa kumzingua kaka yake sijui inakuwaje walah🤣Wengi wetu tumekuwa tukilalamika njinsi marafiki, ndugu na n.k tunapo wapa mwangaza asilimia 100 na kujikuta wanakuwa wabaya kwako.
Nilimchukua jamaa mmoja nika mpeleka nchi za nje kwa roho ya kutaka na yeye kufunguka ila mwisho wa siku ndio yeye anayenizunguka nilipo mpeleka kuniwekea vizingiti.
Mambo mengine tuangalie watu walivyo sio tu kwenye biashara na mengine tu ambayo unaweza kujikuta tatizo kwako.
Mkuu mimi nataka kuchimba madini ..nelekeze sehemu ya kupata ndagu nitoe raia kafara hapa nipige helaWabongo sio wa kuwasaidia wana roho za cashew nuts
Code hizo hazitolewi hovyo hovyo mkuuMkuu mimi nataka kuchimba madini ..nelekeze sehemu ya kupata ndagu nitoe raia kafara hapa nipige hela
Niko kasitu wilaya kalambo,Karibu kwa ndagohazitolewi