Usimfungue mtumwa ambaye yupo kwenye utumwa wake, anaweza kukugeuka

Kumgeuka shetani ni kutangaza vita na kuzimu... sasa kumzingua kaka yake sijui inakuwaje walah🤣
 
Usije ukamsaidia mswahili. Utakuja juta. Msaidie mwanao tu au mkeo.
 
Fanya Kwa wengine kama upendavyo kufanyiwa,hatufanyi Kwa sababu tutalipwa na tuliowafanyia ila kwasababu na sisi tulisaidiwa na hata tusiowafahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…